Top 3 GOAT Tanzania Rappers, Serikali itambue mchango wao ikibidi watunukiwe Phd

Top 3 GOAT Tanzania Rappers, Serikali itambue mchango wao ikibidi watunukiwe Phd

Sugu
Joseph Haule
Selemani Msindi Afande
Solo
Yule jamaa wa watengwa
Juma Nature
NickMbishi
One the incredible
Dizasta, Songa, Young Killer + ++
Juma Nature? Seriously? Huyo mnamuita rapper? Afande sele a.k.a selemani msindi anaimba lakini sio rapper mwandishi IQ ya kutisha, Sugu ni hiphop lifestyle zaidi,Joseph Haule anaimba Hiphop Lifestyle + promo sio pure rapper, angalau One incredible,na Young killer
 
Juma Nature? Seriously? Huyo mnamuita rapper? Afande sele a.k.a selemani msindi anaimba lakini sio rapper mwandishi IQ ya kutisha, Sugu ni hiphop lifestyle zaidi,Joseph Haule anaimba Hiphop Lifestyle + promo sio pure rapper, angalau One incredible,na Young killer
Unafkiri kama tukiweka votes list yangu na yako ipi itashinda?
 
Kwanza utujuze rapper ni nani, ili iwe rahisi kujadili.

Sikiliza fid.com unaweza badili hiyo list.
Ukiwasikiliza wasanii kama Nas, Lil wayne,Eminem,Kendrick Lamar n.k Kisha ukawasikiliza kina 50 cent, Mob deep na Fat Joe utaelewa
 
Fid Q anakidhi vigezo, kaifanyia jamii ya Wana Hip Hop na wasikilizaji wa Kiswahili mengi mno kuyasimulia.

Wa pili ni Professor Jay.
Huyo ndiye rapper aliyeshape njia ya mainstream rap kwa mapana zaidi.
Albums zake kama Machozi, Jasho na damu na J.O.S.E.P.H zilikuwa na michano, content iliyoshiba na burudani ya kutosha.
Prof. Jeezy ndiye rapper ambaye nyimbo zake kama vile Bongo Dar es salaam, Ndiyo Mzee, Zali la mentali n.k zinafanyiwa reference kila mara kwenye media na vijiwe vyetu huku mtaani.. mpaka leo.
Pia ana excellent verses kwenye collabo Kali zaidi za rap Bongo.
Ref: Mtazamo na ni hayo tu.
Pia, longevity yake ni ya kupigia mfano.

Wa tatu ni Niko mbishi.
Niki ana flow, Niki anaandika sana, Niki ana ufahamu wa mambo mengi sana. Ni ujeuri wake tu na kutotaka kulamba miguu ya wakina Ruge ndiyo ikamfanya kuwa King wa the underground na kutoweka kwenye mainstream media.

Uandishi wa Niki kwenye album ya Jogoo uliinfluence kizazi cha rappers wengi sana toka 2012+, wakiwemo hao wakina Dizasta ambao ndiyo wanatamba saa hizi.

Honorable mentions ni pamoja na Afande Sele, Jay Mo na Langa Kileo.
 
Unaelewa maana ya Rappers? Sugu ni myu aliyeishi kwenye misingi ya Hiphop lakini kiuandishi na rap hajafikia ubora wa dizasta vina, huyo Jay mo na Nay wa mitego wana content za kawaida sana kwenye uandishi wao wala sio rappers tishio
Hip hop is not Rap?
 
Uko serious kabisa unamtaja DIZASTA na SONGA Kuwa GOAT wa RAP hapa Tanzania?,Mkuu uko timamu kweli?

Yaani Mapenzi yako Kwa hao jamaa ndiyo yafanye wawe ma GOAT ?
Unadhani nani anaweza kuwa best Rapper mwenye uandishi wa high IQ na flow kumzidi Dizasta?
 
Kama kwenye list umemuweka Songa na young killer ila hakuna chindo,fazza Nelly, Hashim dogo .Jay Mo,Mwana FA ,Joh Makini ..Kala Pina,Afande sele.. Inspector Aroun...mkuu Nina mashaka na uelewa wako wa Rap Game
 
Dah! bila Prof J hapo? kwangu ndo msanii wangu wa muda wote
 
Prof J
Mwana Fa
Afande Sele
Montra the Future
Nash MC
 
Fid Q anakidhi vigezo, kaifanyia jamii ya Wana Hip Hop na wasikilizaji wa Kiswahili mengi mno kuyasimulia.

Wa pili ni Professor Jay.
Huyo ndiye rapper aliyeshape njia ya mainstream rap kwa mapana zaidi.
Albums zake kama Machozi, Jasho na damu na J.O.S.E.P.H zilikuwa na michano, content iliyoshiba na burudani ya kutosha.
Prof. Jeezy ndiye rapper ambaye nyimbo zake kama vile Bongo Dar es salaam, Ndiyo Mzee, Zali la mentali n.k zinafanyiwa reference kila mara kwenye media na vijiwe vyetu huku mtaani.. mpaka leo.
Pia ana excellent verses kwenye collabo Kali zaidi za rap Bongo.
Ref: Mtazamo na ni hayo tu.
Pia, longevity yake ni ya kupigia mfano.

Wa tatu ni Niko mbishi.
Niki ana flow, Niki anaandika sana, Niki ana ufahamu wa mambo mengi sana. Ni ujeuri wake tu na kutotaka kulamba miguu ya wakina Ruge ndiyo ikamfanya kuwa King wa the underground na kutoweka kwenye mainstream media.

Uandishi wa Niki kwenye album ya Jogoo uliinfluence kizazi cha rappers wengi sana toka 2012+, wakiwemo hao wakina Dizasta ambao ndiyo wanatamba saa hizi.

Honorable mentions ni pamoja na Afande Sele, Jay Mo na Langa Kileo.
Ninakupinga hapo kwenye namba 2 na 3 kwa sababu zifuatazo
Kwanza prof J sio msanii wa kumuweka kwenye kundi moja na rappers, aina ya muziki aliokuwa anafanya ni kama mchanganyiko, sometimes anaimba kawaida sana mada mchanganyiko mfano Siasa, mapenzi n.k reffer album zake zote,machozi na damu,mapinduzi,J.O.S.E.P.H n.k ni msanii asiyezingatia misingi ya uandishi wa Rap zaidi bali content na flow.

Nikki Mbishi ni good rapper kiujumla ila kwa ubora sioni akimfikia hata Songa maana hana content na utulivu
 
Back
Top Bottom