VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Songa ndio nani? Hawa watoto wa 2000 bwana! Hamuwajui kina Solo, Mox, Mo na wengine kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiivi mkuu kwako uelewa wa Rap and Hip Hop ni nini?.Mkuu ukimsikiliza Kendrick Lamar unaona amepoa au hajapoa? Hao kina BIG na Jay z wanafanya hiphop zaidi, ila kwenye rap hapana
Nay gani?!..acha utaniList ya hovyo kabisa, unamuachaje SUGU, JAY na NAY .
Punch line inapaswa iweje?..rap ni nini na hip-hop ni nini!?.. usiniambie hip hop ni pana na rap imo ndani yake,define rap from hip hopMwana FA huyuhuyu aliyeimba bado niponipo, mwanaume suruali, mabinti? Nitajie punchline moja tu kwenye hizo nyimbo! Prof jay nineshazungumza hapo juu, Afande sele hao ni bongo fleva
Yaani hata LANGA hayumo kweli?Sugu
Joseph Haule
Selemani Msindi Afande
Solo
Yule jamaa wa watengwa
Juma Nature
NickMbishi
One the incredible
Dizasta, Songa, Young Killer + ++
Babuu na LANGA nao ni kundi gani?Juma Nature? Seriously? Huyo mnamuita rapper? Afande sele a.k.a selemani msindi anaimba lakini sio rapper mwandishi IQ ya kutisha, Sugu ni hiphop lifestyle zaidi,Joseph Haule anaimba Hiphop Lifestyle + promo sio pure rapper, angalau One incredible,na Young killer
Kwanza ana hit song gani huyu?Disasta mkali ila Hana catalogue ya kutosha kufanya awe GOAT
Mtu kua mkali sio lazima awe na Hit songKwanza ana hit song gani huyu?
Huyo nimemsahau alitakiwa kuwepoYaani hata LANGA hayumo kweli?
. Hebu sikiliza kitu inaitwa kikao na nyingine inaitwa mwanajuaHuyo Dizasta vina ni mchumba na vimistar vya kuunga unga.... Hapo mkali Fid... Walau huyo Songa yupo vizuri kwenye story telling
Hhahahaha daahWewe kama sio Songa basi ni Dizasta vina, fid umemuweka kuzuga tu
Wewe kama sio Songa basi ni Dizasta vina, fid umemuweka kuzuga tu