covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Mm nimeangalia hiyo list kwa mshtuko mkubwa sana 🤣🤣🤣Wewe kama sio Songa basi ni Dizasta vina, fid umemuweka kuzuga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nimeangalia hiyo list kwa mshtuko mkubwa sana 🤣🤣🤣Wewe kama sio Songa basi ni Dizasta vina, fid umemuweka kuzuga tu
1. Nitajie wimbo wa Prof. Jay ambao anaimba.Ninakupinga hapo kwenye namba 2 na 3 kwa sababu zifuatazo
Kwanza prof J sio msanii wa kumuweka kwenye kundi moja na rappers, aina ya muziki aliokuwa anafanya ni kama mchanganyiko, sometimes anaimba kawaida sana mada mchanganyiko mfano Siasa, mapenzi n.k reffer album zake zote,machozi na damu,mapinduzi,J.O.S.E.P.H n.k ni msanii asiyezingatia misingi ya uandishi wa Rap zaidi bali content na flow.
Nikki Mbishi ni good rapper kiujumla ila kwa ubora sioni akimfikia hata Songa maana hana content na utulivu
Prof jay yupo vizuri kwenye Contents ila kwenye sanaa ya rap kama rap sioni akimzidi fid qDah! bila Prof J hapo? kwangu ndo msanii wangu wa muda wote
Ni sahihi kumuita prof Jay Mwanahiphop/bongofleva bora, Ila si sawa kumuita rapper bora. Mfano nyimbo kama zali la mentali,kamili gado,starehe,nikusaidieje n.k unaweza kunipa 'mstari kwenzi' hata mmoja hapo? Ni nyimbo za hiphop/bongo fleva za kawaida sana sio pure rap.1. Nitajie wimbo wa Prof. Jay ambao anaimba.
2. Je, unajua kwamba kurap si lazima uwe unarap kama Fid Q, bali kuna delivery styles tofauti.?
Kwanini mkuu?Mm nimeangalia hiyo list kwa mshtuko mkubwa sana 🤣🤣🤣
Mwana FA, Inspector wanaimba bongo fleva sio rappers, Chindo, fazza Nelly,Joh makini wanafanya hardcore hiphop, sio pure rappers. Jay mo hana uandishi, ila ana flow, ila anaimba zaidi bongo fleva tangu enzi za cheza kwa step.Kama kwenye list umemuweka Songa na young killer ila hakuna chindo,fazza Nelly, Hashim dogo .Jay Mo,Mwana FA ,Joh Makini ..Kala Pina,Afande sele.. Inspector Aroun...mkuu Nina mashaka na uelewa wako wa Rap Game
Tunazungumzia Rap sio HiphopItanibidi nikafanye sala ya toba kwa kusoma uzi uliojaa kufuru dhidi ya wakali wa muda wote wa Tanzanian Hiphop.
Ukimtoa Nash na Montra ho wengine wanafanya bongo fleva sio pure rapProf J
Mwana Fa
Afande Sele
Montra the Future
Nash MC
Mpe sikio vina sio shoga kama wote ni kichwa haswaHuyo Dizasta vina ni mchumba na vimistar vya kuunga unga.... Hapo mkali Fid... Walau huyo Songa yupo vizuri kwenye story telling
Rapper ni wale kina ndama mtoto wa yesuKwanza utujuze rapper ni nani, ili iwe rahisi kujadili.
Sikiliza fid.com unaweza badili hiyo list.
Wewe Huwa unakunywa bange kama wewe sio motraProf J
Mwana Fa
Afande Sele
Montra the Future
Nash MC
Hizo nyimbo ulizotaja ni story..focus ya uandishi inakuwa tofauti na nyimbo za mtindi mwingine. (Kasoro hiyo starehe. Professor hana wimbo unaitwa Starehe.)Ni sahihi kumuita prof Jay Mwanahiphop/bongofleva bora, Ila si sawa kumuita rapper bora. Mfano nyimbo kama zali la mentali,kamili gado,starehe,nikusaidieje n.k unaweza kunipa 'mstari kwenzi' hata mmoja hapo? Ni nyimbo za hiphop/bongo fleva za kawaida sana sio pure rap.
Misingi gani ya rap ambayo Fid Q anayo ambayo Professor Jay, Afande Sele au FA hana?Tujifunze kutofautisha, Prof Jay, Afande sele,Juma Nature, Mwana FA sijui kina Jay mo hao ni pioneers wa Bongo fleva sio rappers. Rapper pekee mwenye misingi ya Rap wa kutokea kitambo hicho ni Fid q angalau na Sugu, ila sugu ni hiphop zaidi sio speciffically rapper.
Acha izoKama BAKITA kweli taasisi zingine za Lugha na sanaa zinatambua na kuenzi kazi za sanaa, basi nadhani wasanii hawa walipaswa kuenziwa na ikibidi kuthaminiwa sana na serikali kwa kuwashirikisha katika matukio muhimu ya sanaa badala kuwashirikisha watumbuizaji peke yao ambao hawana mchango wowote zaidi ya burudani pekee.
Laiti kama serikali ingetambua michango na maudhui ya wasanii hawa wangeweza kuwatumia zaidi si tu kuburudisha, bali kuelimisha jamii.
Hii ni orodha ya wasanii watatu wenye uandishi bora ambao ukisikiliza utajiuliza ukubwa wa IQ zao mpaka kupata hizi tenzi.
3. Fid Q
Haina ubishi, kila mmoja anamfahamu, huyu ni mmoja kati ya nguli na miamba ya rap Tanzania, uandishi wake una ladha ya aina yake.Mfano
"kutaka kujua ukwel ni sawa na kumenya kitunguu kila ganda litakutoa chozi na kubaki macho juu juu"
View attachment 3122560
2. SONGA
Linapokuja suala la uandishi wa mistari, inajulikana Songa, pamoja na sauti yake ya upole isiyo na mbwembwe lakini IQ yake ni kubwa sana, mfano
"Wazazi wanasema nimeshakua
Ina maana… vibaya na vyema nimeshajua
Jua linazama tazama inanyesha mvua
Nakesha kwa dua kumuombea anayekesha akivua"
View attachment 3122568
1. DIZASTA VINA
Huyu katika ulimwengu wa Rap ana dunia yake! Hakuna msanii yoyote anayeweza au aliyewahi hata kumsogelea katika uandishi na ubora wa mistari yake.Ni mmoja kati ya rappers wenye IQ kubwa sana, Tukianza kumuelezea sifa zake nadhani hatutamaliza leo, Ila itoshe kusema ni hazina kubwa sana kwa taifa. Hata uhalisia wa maisha yake unajieleza, si mtu wa kujipendekeza, kushiriki siasa, kutafuta umaarufu, mapenzi n.k ni rapper anayeishi misingi ya rap kweli, kazi yake kushika kalamu na kuelimisha jamii. Ingekuwa Marekani tungeweza kumfananisha na Kendrick Lamar
Baadhi ya Lyrics zake:
"Eyo eyo kwa Insha na methali
Nawazika ka Ujamaa ulivyozikwa na Ubepari
Nishachoka na uongo so nafoka mpaka mtondogoo
Kwa world class Protocal, Internationally"
"Hizi tenzi ni pure, Niko real toka enzi nakua
Nili-rap kabla mapenzi sijajua
Kwenye game wanavyoenzi majuha
Wana track mbovu na wanafanya Media tours"
"Niko shega Bro
Genius ni Understatement half Man half God Paradox
Niite Vina just for lack of the better words
Literally, yet metaphorically undebatable"
"Sikutaka kutoka niliingia chaka
Nikatulia nikaisoma dunia utafikiria NASA
Nikawa fear factor, nikashika njia
Wabia wakanihofia kama wanavyoihofia Cancer"
View attachment 3122576
Rapper inatakiwa uwe mkali kwenye flows... Sasa yeye flows zake zimepoa habadiliki... Rappers Bora 5 wa muda wote, fuatilia flows zao ndo utajua kama huyu jamaa Yako anajua ku-rap kweli au anaunga vimistari.Mpe sikio vina sio shoga kama wote ni kichwa haswa