John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
- Thread starter
- #61
Hapo kwa Tupac, unajua kwanini sometimes Eminem, Kendrick Lamar,Nas hata Lil Wayne wanatajwa mbele ya 2pac ila best Hiphop anabaki kuwa 2pac na BIG?Hizo nyimbo ulizotaja ni story..focus ya uandishi inakuwa tofauti na nyimbo za mtindi mwingine. (Kasoro hiyo starehe. Professor hana wimbo unaitwa Starehe.)
Ushawahi kuandika hata verse moja?
Story telling inategemea zaidi mpangilio wa mawazo kuvutia hadhira kuliko hizo dope bars.
Nyimbo za kimtaa, hustle na starehe ndiyo hufocus kwenye mistari konzi ili hadhira iendelee kuwa engaged na entertained.
Kama unamsikiliza Tupac, utajua Keep your head up au Brenda gotta Baby hazina mstari wowote konzi. Yet ni Ngoma kali kabisa.
Pia, kuchanganya ladha kidogo, hakumfanyi rapper aache kuwa rapper. Tunzingatia catalogue yake kwa ujumla.
Hata Eminem ana Ngoma kama Hailie anaimba kabisa. Je, na mara nyingi anaimba bridges kwenye nyimbo zake. Ref: Not Afraid na So bad. Je, tuseme Em si rapper mkali tena kwa kuwa huwa anajiimbisha sometimes?
Mbona ROSTAM wanafanya story telling lakini humohumo kuna dope bars? Same to fid q, Songa n.k
Prof na wengine kama Afande sele, Jay mo n.k wako vizuri kwenye story telling lakini sio rap.