Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Huyu ni binti mkali wa kurap na sio mlimbwende. Hata sura yake na uvaaji sion ulimbwende. Lkn ni mtazamo wangu tu mkuuChemical yupi?
Huyu Mribwende au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni binti mkali wa kurap na sio mlimbwende. Hata sura yake na uvaaji sion ulimbwende. Lkn ni mtazamo wangu tu mkuuChemical yupi?
Huyu Mribwende au
Yes Mkuu!Huyu ni binti mkali wa kurap na sio mlimbwende. Hata sura yake na uvaaji sion ulimbwende. Lkn ni mtazamo wangu tu mkuu
Kunywa Maji kwanza!Chalii yangu jay moo ndo nani arifu darasa ndo kachukua nafasi ya ngwea
Tofautisha kati ya rap na Hip-Hop Darasa ni rapper hafanyi hiphop saizi japo anajivisha hicho kivuli cha hip hop kama alivyo kua akifanya kipindi cha nyumaChalii yangu jay moo ndo nani arifu darasa ndo kachukua nafasi ya ngwea
hahaha, utofauti wa hivyo vitu viwili ni nini?Tofautisha kati ya rap na Hip-Hop Darasa ni rapper hafanyi hiphop saizi japo anajivisha hicho kivuli cha hip hop kama alivyo kua akifanya kipindi cha nyuma
Tapper ni msanii yeyote anae rap na kurap unaweza rap katika mdundo wowote na pasipo kufuata misingi ya Hip hop. ...ila Hip hop ina nguzo ambazo husimamiwa na ndio humuongoza msanii wa Hip hop mfano tumuchukulie huyo Darasa fuatilia ngoma zake za nyuma kama sikati tamaa alomshirikisha Ben Paul, Nishike mkono na hizi anazo fanya saizi hata mwenyewe anajua kua ameacha misingi sio MC tena bali ni waki rapper ndio maana utasikia anakwambia wanasema nime change nimepitia mengi.......hivyo inabidi utambue hilo mkuu. .. ila MC ni rapper sababu anarap ila rapper sio MC sababu hafati nguzo za Hip hophahaha, utofauti wa hivyo vitu viwili ni nini?
Sijui kazaliwa mwaka gani huyu Mtu yaani hata Jay Moe hamtambui, Sasa akina hashimu dogo sindio ndoto kabisa.Kama humjui Jay Moe basi nenda jukwaa la mapishi
Kabisa,Kunywa Maji kwanza!
Mkuu unaonekana inachuki binafsi na sugu sasa deni LA bank na hii thread vinahusiana nin?Sugu ni mwizi wa nyimbo za wasanii alafu ana den bank la hotel yake amekaribia kufilisiwa