NimekupendaBila shaka...
Anza na alama na herufi hii kabla ya neno unalotaka kubold [ b ] kisha malizia hivi [ /b ]
Mfano
Kama wewe ulivyouliza "Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?"
Ukitaka kubold hiyo sentensi anza na [ b ] mwanzo kabisa mwa maneno unayotaka kuyabold...kisha malizia na. [ /b ] mwishoni mwa sentensi.
Kumbuka usiache nafasi kabla na baada ya hizo alama.
Namaanisha hizo herufi ndani ya mabano usiache nafasi baina ya mabano na herufi/alama.
Here we go...bold maneno sasa katika maelezo yangu haya.
Karibu.
Acha uupuzi basi na wewe si umeambiwa usiquote uzi au kiswahili uelewi?Mkuu uko vizuri sanaaa
Karibu hili jukwaa ni zuri na lina vitu adimu...Mimi huwa nasoma mpaka comments, yaani huwa nasubiri kwa hamu zana hizi stori.
Jicho la 3 limekaa wapi mkuu?Karibu hili jukwaa ni zuri na lina vitu adimu...
members wa humu wengi wana macho 3 sio mawili...
You get to know a little bit about things making the world..
Naamanisha katika hali ya kupambanua vitu...na sio vinginevyo..Jicho la 3 limekaa wapi mkuu?
Okey mkuu na mm niliuliza jicho kama jicho na sio vinginevyo..Naamanisha katika hali ya kupambanua vitu...na sio vinginevyo..
Yaani hii holiday naenjoy....Kuna story nyingine hazichoshi kuzisoma..ahsante sana the bold
"Deception is a state of mind and mind of the State."
- James Angleton
Tafadhali, hairuhusiwi kutumia makala hii mahali popote pasipo ruhusa ya mwandishi H.B.A alias The Bold.
AiseeBila shaka...
Anza na alama na herufi hii kabla ya neno unalotaka kubold [ b ] kisha malizia hivi [ /b ]
Mfano
Kama wewe ulivyouliza "Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?"
Ukitaka kubold hiyo sentensi anza na [ b ] mwanzo kabisa mwa maneno unayotaka kuyabold...kisha malizia na. [ /b ] mwishoni mwa sentensi.
Kumbuka usiache nafasi kabla na baada ya hizo alama.
Namaanisha hizo herufi ndani ya mabano usiache nafasi baina ya mabano na herufi/alama.
Here we go...bold maneno sasa katika maelezo yangu haya.
Karibu.
Nami uwe unanitag broDivine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena @Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope JEKI likikima Compact scorpio me mamaafacebook II gambada ynwa
Ila umeelewa mkuu? Ama bado?Okey mkuu na mm niliuliza jicho kama jicho na sio vinginevyo..
Sasa akibuni kitu hiyo itakuwa ni simulizi au fix?Ume claim hati miliki.
Sijui kama unaweza kubeba simulizi la mtu mwingine, James Angleton, la matukio ya zaidi ya miaka 40 iliyopita, yaliyowekwa kwenye public records za national archives na kudai ni ya kwako.
Kwa nini, kwa sababu, awali ya yote, ndani ya simulizi hukuonyesha hukutofautisha kwa citation kipi umebeba cha mwenzio na kipi cha kwako, kama kipo.
Swali: Nini hapo umekibuni wewe, umeongeza ya kwako ya kichwani, kiasi cha kukupa hati miliki ya ubunifu juu ya simulizi hili?