Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
The bold mkuu shukrani sana kwa makala ya maana. Kuna mtu alishaleta makala juu ya Mossad, leo umeleta ya CIA. Naomba mkuu kama inawezekana tutengenezee na ya Komityet Gasudalstiveniy Bezopostnost (KGB) Natamani niwajue na wao, mission zao afu nifanye comparison kati ya hizi agency tatu Mossad, CIA na KGB.
 
Halafu Mtanzania anatatanga huko kwao kwenda kumshitaki Jecha na Magufuli. Hawa mabeberu siku zote hawafanyi vitu kwa hasara, wakikukubalia jambo ujue wana lao jambo, wakikupotezea ujue wanakula na wapinzani wako.
 
Sasa kama zamani ilikuwa hivi, je sasa hivi wapo hatua gani mbele?

Haya mataifa UK na USA ni zaidi ya sumu duniani hasa linapokuja swala la maslahi.
 
Nimewasikia wa iran sio waabu na waajemi
Au sura zao wanafanana km wachina,wajapan na wakorea nk??
 
Sasa akibuni kitu hiyo itakuwa ni simulizi au fix?

...ugonjwa huu kiasili wanaugua jinsia ya kike hebu jihakiki jinsia yako kwanza wewe ni Semenya?

Unauliza itakuwa simulizi au fix? Kwani simulizi haiwezi kuwa fix?
 
Hongera mkuu wewe ni moja ya watu ampao wanafanya wengine tusiichoke JF.
 
Hizi ndio mada au makala za watu hasa sisi vijana kusoma,kujadili na kutafakari na kisha kuona mbali tuna majukumu gani katika kufikia ndoto walizowaza waasisi wa mataifa yetu ya Afrika baada ya ukombozi wa nchi zao.Ningependa kufatilia mada zako maana kichani huwa namaswali mengi juu ya migogoro ya nchi za kiafrika hususani za kasikazini kwa wale wenzetu wenye asili ya kiarabu na wenye utajiri wa mafuta.Umoja wamataifa kwasasa imebadilishwa badala ya kusimamia usalama,kulinda na kuleta amani wao wamekua watoa misaada kwenye nchi za mapigano?Swala la Syria tumlaumu nani au lipelekwe wapi Marekani au Urusi?Gadafi alikua na shida gani?Hii mikataba ya madini inayotunyonya hatuwezi kuivunja kwa malipo ya kuchukuliwa utumwa mababu zetu.
 
Hapo tunakwenda sawa, Chkua Gwara
 
Ndio maana Hayati Mwalimu Nyerere alisema kwamba "nikiona Marekani wanasifia, nitajiuliza kwamba hivi nimekosea wapi?"

Leo ndio nimelewa hayo maneno!
 

Tuheshimiane, acha mambo ya kipumbavu na kuongelea vitu usivyovifahamu na usilete mazoea ya kijinga mpuuzi wewe..

Hujui hata unachoongea!! Unamuongelea James Angleton?? Mpuuzi kabisa wewe, James Angleton hajawahi kuandika chochote kuhusu Mapinduzi ya Iran na najua hujawahi hata kumsikia na nisingemtaja hapo usingekuja kumsikia..

Unajua kwanini nimeweka quote yake hapo?? Nimeandika hiyo quote kwa kuwa nimeipenda na inashabihiana na nilichotaka kuandika.. Unakuja na kimbele mbele chako unaanza kuongea sijui nimebeba vitu vya Angleton?? Mpuuzi kabisa, wapi umesikia Angleton amewahi kuandika kuhusu Mapinduzi ya Iran.. Angleton mpaka anafariki mwaka 1989 hajawahi kuandika hata kitabu kimoja maisha yake yote na wala hakuwahi kutoa siri yoyote kuhusu CIA..

Nimeweka pale chini source ya makala yangu ni Nyaraka zilizo kabidhiwa George Washington University, wewe unakuja na upuuzi wako unaongea vitu usivyovijua!!

Unaongea kuhusu hati miliki! Hivi unajua hata hati miliki inazingatia nini??? Kisa ni True story ndio isiwe na hati miliki??
Kwahiyo unataka kusema kuwa mtu anaweza kwenda kudurufu kitabu cha mzee Msekwa alichoongelea maisha ya Nyerere na kwenda kuuza kisa tu msekwa kaandika true story ya Nyerere hivyo hana hati miliki??? Mpuuzi kabisa..

Wewe mtoto wa kiume acha wivu wa kipumbavu..

Tuheshimiane.!!
 
Yes Mkuu! Kuna visa vingi sana kuhusu Mugabe na wamagharibi..
Kuna kipande fulani katika series niliona kuhusu mugabe kutaka kupinduliwa lakini hawakufanikiwa! Mkuu ukipata nakala.hata sources tu please naomba unipe links nipitie huko nipate maarifa ya ki ulimwengu na mambo ya intelijensia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…