Halafu Mtanzania anatatanga huko kwao kwenda kumshitaki Jecha na Magufuli. Hawa mabeberu siku zote hawafanyi vitu kwa hasara, wakikukubalia jambo ujue wana lao jambo, wakikupotezea ujue wanakula na wapinzani wako.Nimeikubali aiseee!!!!
Niliisoma sana ile ya kuuawa kwa Guevara Bolivia na hata Rodriguz ninazo picha zake ndie aliongoza wale Red Barret ambao ndio walimkata Guevara msituni na ndie mtu wa mwisho kuongea na Guevara kumwambia kuwa imeamuliwa uuawe na kumwambia ampe ukumbe wwte wa kumpelekea Fidel ambapo Gievara alimwambie amwambie Fidel atunze wanangu!!!!
Ni interesting kujua hawa watu jinsi wanavyoendesha mambo yao ya kihuni na kihayawani!!!!!
Divine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena @Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope JEKI likikima Compact scorpio me mamaafacebook II gambada ynwa
Sawa Mkuu..Mkuu the Bold:
Nashukuru sana kwa makala yako nzuri.Nitakutafuta nadhani mwanzoni Mwaka kwa ajili ya yale mazungumzo yetu.
Nimewasikia wa iran sio waabu na waajemiMkuu ni SAG walienda Iran wakachagua baadhi ya vijana wa Kiiran na kuwatrain..
Lakini kiongozi wa Operations wa SAG (CIA) aliyekuwepo Iran Bw. Donald Wilber alikuwa na kiasi fulani ana asili ya kiarabu (Wilber alikuwa kiongozi wa mission za kijeshi na Kermit Roosevelt alikuwa kiongozi upande wa Utawala (Senior Officer)). Pia Wilber alikuwa na ujuzi mkubwa wa lugha ya kiarabu na tamaduni zao. Hii ilitokana na ubobezi wake katika masuala ya akiolojia na historia ya kale ya Persia kama nilivyoeleza kwenye makala.
Hata muonekano wa Wilber na uvaaji wake ulikuwa wa kiarabu kabisa. Hii ilimsaidia 'kublend' kiurahisi katika jamii ya Wairan..
Nitapandisha picha yake hapa baada ya dakika kadhaa..
Yes Mkuu! Kuna visa vingi sana kuhusu Mugabe na wamagharibi..The Bold kuna kisa chochote cha Bwana Mugabe na hawa jamaa Usa au Uk?
Sasa akibuni kitu hiyo itakuwa ni simulizi au fix?
...ugonjwa huu kiasili wanaugua jinsia ya kike hebu jihakiki jinsia yako kwanza wewe ni Semenya?
Hapo tunakwenda sawa, Chkua GwaraKabisa Mkuu! Kwa namna fulani pia ni sehemu ya propaganda kuonyesha ulimwengu juu ya "supremacy" ya taifa la Marekani.
Ni sawa sawa na nchi nyingine inavyofanya maonyesho ya silaha nzito, makombora, na teknolojia ya kijeshi.. Ni mkakati wa kutisha maadui..
So kwa sehemu fulani nakubaliana nawe kuwa utoaji/uwekaji wazi wa siri hizi nzito huwa pia una lengo lilijificha..
Lakini pia kwa upande mwingine tufahamu kuwa si suala jepesi kwa CIA kuachia hadharani siri hizi, huwa kesi zinafunguliwa mahakama kuu kudemand hizi files na kesi huunguruma kwa miaka kadhaa mpaka CIA kufikia hatua ya kuachilia hizi files..
Ume claim hati miliki.
Sijui kama unaweza kubeba simulizi la mtu mwingine, James Angleton, la matukio ya zaidi ya miaka 40 iliyopita, yaliyowekwa kwenye public records za national archives na kudai ni ya kwako.
Kwa nini, kwa sababu, awali ya yote, ndani ya simulizi hukuonyesha hukutofautisha kwa citation kipi umebeba cha mwenzio na kipi cha kwako, kama kipo.
Swali: Nini hapo umekibuni wewe, umeongeza ya kwako ya kichwani, kiasi cha kukupa hati miliki ya ubunifu juu ya simulizi hili?
Kuna kipande fulani katika series niliona kuhusu mugabe kutaka kupinduliwa lakini hawakufanikiwa! Mkuu ukipata nakala.hata sources tu please naomba unipe links nipitie huko nipate maarifa ya ki ulimwengu na mambo ya intelijensia.Yes Mkuu! Kuna visa vingi sana kuhusu Mugabe na wamagharibi..