Divine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena @Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope JEKI likikima Compact scorpio me mamaafacebook II gambada ynwa
Hata akikutajia hautasadiki. teh tehwewe jamaa haya mambo huwa unayanyakua wapi huwa nachoka na wewe sana
Hata akikutajia hautasadiki. teh tehwewe jamaa haya mambo huwa unayanyakua wapi huwa nachoka na wewe sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] malizana na wifi kwanza mkuu.Ndo nimemaliza kusoma japo wife amenuna nimemuibia muda wake, tarudi asubuhi na maswali kwa sasa ngoja nimalizane na wife japo zimebaki dakika za majeruhi.
#Safari_Moja_Uanzisha_NyingineAm proud of you my sweet darling
#TheBoldIsMine#
Mkuu the The bold nashukuru sana kwa kuupa ubongo wangu balanced diet.
Mkuu moja ya vitu vilivyonifanya niidharau CIA na hivyo vitengo vyao vya ndani ni kufail katika uvamizi wa Bay of Pigs.
Yani ni jambo la kushangaza sana, CIA ikipokea mamlaka kutoka Raisi wa kipindi hiko J. F. Kennedy pamoja na mwanasheria mkuu wa Marekani mdogo wake R. F Kennedy wakafanya mipango isiyo na kichwa wala miguu.
Waliwezaje kuwaamini na kuwatumia Cuban exiles? (eti kwa kujidanganya kuwa wanawatrain), Out of Wacuba 1,400 CIA waliaminije kuwa wote wana chuki na nchi yao ama raisi wao? Kiuhalisia, hata kama naichukiaje Tz ama raisi wangu huwezi kunishawishi niingie Kariakoo nianze kumiminia watu risasi.
Kitu kilichonishangaza zaidi ni pale walipoingia kwenye mapambano kisha wakakung'utwa ndani ya siku tatu tu, tena wakati huo Fidel Castro alikua bado mtoto mbichi alikua karibu ana miaka 33 tu, tena wala hakutumia kikosi kipana.
Afu hawa CIA hawakuweza kuwalinda wachochezi wa Bay of Pigs? Yani walianzisha fujo wakitegemea kua kusingetokea counter attack kutoka kwa Fidel. Hawataweza kuAdmit lakini ukweli ni kwamba J. F. Kennedy na nduguye R. F. Kennedy wote waliuwawa na Castro kisa kukurupuka kwa CIA.
Umeuliza swali la msingi ambalo nami pia nimejiuliza.The bold ningeenda kujua, Ayatollah Khomeini Imekuaje akapewa heshima sana Iran