Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaambiwa usi quote uzi wote unatuchosha sisi wa simu!!Mkuu uko vizuri sanaaa
Heshima yako mkuu.Hongera Mkuu The Bold[emoji1533]
Mkuu kwanza ujue palikua na sintofahamu kwenye matokeo ya urais mwaka jana!! Na kama amekua rais ni dhahiri anaendana na matakwa ya hao CIA na USA kwa ujumla...kwa lugha rahisi bado yuko mikononi mwa marekani!!! Na hana ubavu wa kufurukuta maana anajua nini kinafwata!!!Unakumbuka Wikileaks ilichokisema kuhusu Tanzania na watu kununuliwa suti?
Kuna kila dalili kuwa hata Tanzania tumepakatwa na hii Mibaba ya CIA. Kama nyumbu vile. Wanatuswaga kama wanataka kutupeleka Kenya kwa miezi 3 kwenda kujifungulia Maasai Mara.
Anachokifa sasa hivi Rais Magufuli (hata kama baadhi hukubaliani navyo) ni kujaribu kutuondoa kwenye magoti ya hao Mibaba na walau tukae chini ya miguu yao. Unajua ukipakatwa maana yake huwezi hata kufurukuta au kujikuna. Enzi zetu tulisema umebanwa kwenye Angle Theta.
Mikataba ya madini yote ni siri.
![]()
Wewe ni mpuuzi sana ushaambiwa usikoti Uzi mzima sijui ndo umefanya nini .Mkuu uko vizuri sanaaa
Hahahaa! Eti akina February...nimependa language iliyotumika hapai do agree mkuu
kwani hawa so called wawekezaji wanafanya?wanafanya exactly ulichosema
wanakuja na pesa za kulala hotelini na kuhonga kidogo wakina "february" then wakishapewa tenda wnaarudi makwao wanapewa mkopo sasa wanakuja kuvuna mapesa
Imekaa kama hadithi ila ukiitafakari utagundua wazungu ni watu wa Aina gani
Eeeeeh bwana eeeh?Sasa kama mission zenyewe zilikuwa hivi si hatari tupu?Nitamuomba The bold moja ya mission iwe ile ya kumtumia mke wa Fidel
ambaye baada ya kushindwa kumuua kwa sumu...Fidel alimpa Pistol akamwambia "kill me as hav been ordered to do so"
Wife alipokea pist kashindwa kumuua jamaa!
Mwisho wife anasema "i just felt i love him and we ended up having sex"
Very interesting assassination attempt!
Natamani The Bold ailete before Dec 25..
Transcend
Umemaliza yote Ankal.Hivi ni mwanamke gani anayejitambuwa angependa awe na boyfriend/husband bichwa empty?
Mwanamke anayejitambuwa anafurahi akiwa na mwanaume intelligent hata kama mfukoni hakuna kitu.