Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Nashukur sana kaka naipenda sana iran kwajinc ilivo kakamavu sasa naomba kujua kutoka kwako kwasababu iran saiv ni nchi muhim sana mashariki yakat kutokana na teknolojia yake namaendeleo iliyokua nayo napia ndo nchi inayoogopwa kabisa na marekan mashariki ya kati.hebu tupe utam kuanzia hapo alipopinduliwa huyo wazir mkuu nini kiliendelea mapaka iran ikawa ni nchi yenye nguvu namna hii?@ the bold
 
Unakumbuka Wikileaks ilichokisema kuhusu Tanzania na watu kununuliwa suti?

Kuna kila dalili kuwa hata Tanzania tumepakatwa na hii Mibaba ya CIA. Kama nyumbu vile. Wanatuswaga kama wanataka kutupeleka Kenya kwa miezi 3 kwenda kujifungulia Maasai Mara.

Anachokifa sasa hivi Rais Magufuli (hata kama baadhi hukubaliani navyo) ni kujaribu kutuondoa kwenye magoti ya hao Mibaba na walau tukae chini ya miguu yao. Unajua ukipakatwa maana yake huwezi hata kufurukuta au kujikuna. Enzi zetu tulisema umebanwa kwenye Angle Theta.

Mikataba ya madini yote ni siri.

_63300937_11_tanzania_reuters.jpg
Mkuu kwanza ujue palikua na sintofahamu kwenye matokeo ya urais mwaka jana!! Na kama amekua rais ni dhahiri anaendana na matakwa ya hao CIA na USA kwa ujumla...kwa lugha rahisi bado yuko mikononi mwa marekani!!! Na hana ubavu wa kufurukuta maana anajua nini kinafwata!!!

Kama anaubavu aweke mikataba ya gesi hadharani tuione!!
 
Mkuu uko vizuri sanaaa
Wewe ni mpuuzi sana ushaambiwa usikoti Uzi mzima sijui ndo umefanya nini .

Mijitu mingine inaboa sana aisee

Hawa ndio vila.za mtukufu aliokuwa anawazungumzia

Unaambiwa usinye barabara we na akili zako unakunya .

Daah watz tunakuwa na shida gani kuelewa unachoambia

Unawatesa watu Burr

Halafu umekomenti maneno mawili tu kwa akili zako

Pumbavvvvvv !!!,sana[emoji16]
 
i do agree mkuu
kwani hawa so called wawekezaji wanafanya?wanafanya exactly ulichosema
wanakuja na pesa za kulala hotelini na kuhonga kidogo wakina "february" then wakishapewa tenda wnaarudi makwao wanapewa mkopo sasa wanakuja kuvuna mapesa
Hahahaa! Eti akina February...nimependa language iliyotumika hapa
 
Mkuu the bold mimi nikion post yako tu basi huwa natenga muda kabisa maana najua huwa ni nondo haswa.

Nimeuona uzi huu jana usiku lakini kwa sababu nilikua nimechoka sana nikaona ngoja niuache kwanza ili kesho(leo) akili ikiwa imetulia niusome kwa umakini wa hali ya juu.

Shukrani sana mkuu kwa nondo zako
 
Nitamuomba The bold moja ya mission iwe ile ya kumtumia mke wa Fidel

ambaye baada ya kushindwa kumuua kwa sumu...Fidel alimpa Pistol akamwambia "kill me as hav been ordered to do so"

Wife alipokea pist kashindwa kumuua jamaa!

Mwisho wife anasema "i just felt i love him and we ended up having sex"

Very interesting assassination attempt!

Natamani The Bold ailete before Dec 25..

Transcend
Eeeeeh bwana eeeh?Sasa kama mission zenyewe zilikuwa hivi si hatari tupu?

Sipatii picha The bold wangu akizielezea in deep
Uwiiiiiiii hiyo siku nahisi sitokula chakula kwa furaha nitakayoipata.
Napenda sana makala za aina hii,sana.

Na tusubiri mkuu...
Naamini atalifanyia kazi ombi la bae.
 
Hivi ni mwanamke gani anayejitambuwa angependa awe na boyfriend/husband bichwa empty?

Mwanamke anayejitambuwa anafurahi akiwa na mwanaume intelligent hata kama mfukoni hakuna kitu.
Umemaliza yote Ankal.

Kwanza naomba kudeclare interest kwamba mimi kigezo changu kikuu kwa mwanaume ni akili kubwa i.e mjuzi wa mambo.

Sasa The bold ni mjuzi mpaka kavuka kiwango kile nikitakacho mimi.
Ningeweza vipi kuchomoka kwa huyu kijana jamani?
Hakukuwa na namna kwa kweli,ndio maana nampenda namna hii...
Yessssssss
Nifah is in love,real love.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom