Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hii ni from experience nini?
Acha kabisa, sasa jiulize nchi hii nimara ngapi tumeibiwa rasilimali zetu kizembe sana, sana. Twiga ba mavi yake tumboni anapanda ndege kwenda kuinjoi keki na juice wakati kwa wenzetu hata ugoya wakikukamata nao ni kesi kubwa. Unafikiri vitengo hivyo havijui ?

Viko bize na miwani nyeusi kumlinda mzee anakamua ndani wao wamewekea biskuit na azam cola wanaburudika kivyaovyao.

Kuna vitengo vingine vyakuwapeleka mabwana wakubwa kwa waganga wa kienyeji, ni msafara mzito usiku kwa usiku hadi vijijini kakonko huko na nyakahura, hagusi mtu na hakuna wakusimamisha, mzee anaenda kupigwa chale za makalio mambo yawe safi. Hivyo vitengo vipo sana na wenyewe wakipita hapa watatafutana wacheke kwa pamoja.

Niishie hapa haya mengine hadi apatikane saanane.
 
Acha kabisa, sasa jiulize nchi hii nimara ngapi tumeibiwa rasilimali zetu kizembe sana, sana. Twiga ba mavi yake tumboni anapanda ndege kwenda kuinjoi keki na juice wakati kwa wenzetu hata ugoya wakikukamata nao ni kesi kubwa. Unafikiri vitengo hivyo havijui ?

Viko bize na miwani nyeusi kumlinda mzee anakamua ndani wao wamewekea biskuit na azam cola wanaburudika kivyaovyao.

Kuna vitengo vingine vyakuwapeleka mabwana wakubwa kwa waganga wa kienyeji, ni msafara mzito usiku kwa usiku hadi vijijini kakonko huko na nyakahura, hagusi mtu na hakuna wakusimamisha, mzee anaenda kupigwa chale za makalio mambo yawe safi. Hivyo vitengo vipo sana na wenyewe wakipita hapa watatafutana wacheke kwa pamoja.

Niishie hapa haya mengine hadi apatikane saanane.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu nimecheka sana.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Ben Saanane akipatikana uendelee na hayo mengine tafadhali.[emoji6]
 
Acha kabisa, sasa jiulize nchi hii nimara ngapi tumeibiwa rasilimali zetu kizembe sana, sana. Twiga ba mavi yake tumboni anapanda ndege kwenda kuinjoi keki na juice wakati kwa wenzetu hata ugoya wakikukamata nao ni kesi kubwa. Unafikiri vitengo hivyo havijui ?

Viko bize na miwani nyeusi kumlinda mzee anakamua ndani wao wamewekea biskuit na azam cola wanaburudika kivyaovyao.

Kuna vitengo vingine vyakuwapeleka mabwana wakubwa kwa waganga wa kienyeji, ni msafara mzito usiku kwa usiku hadi vijijini kakonko huko na nyakahura, hagusi mtu na hakuna wakusimamisha, mzee anaenda kupigwa chale za makalio mambo yawe safi. Hivyo vitengo vipo sana na wenyewe wakipita hapa watatafutana wacheke kwa pamoja.

Niishie hapa haya mengine hadi apatikane saanane.
Umenichekesha kweli[emoji23]
 
Mkuu The bold Jana nilikuwa nacheki movie inaitwa September of Shiraz, sijui kama umeshawahi (hope utakuwa ushaicheki) inasemekana ni tukio ambalo limeshawahi kutokea huko nyuma, katika hili bandiko ulivyoelezea kuwa utakuja na ishu ya Iran kwenye bandiko lako lijalo, nakuomba pia ugusie na hichi kisa kwani naona kipo katika mapinduzi ya Iran.
 
Mkuu The bold Jana nilikuwa nacheki movie inaitwa September of Shiraz, sijui kama umeshawahi (hope utakuwa ushaicheki) inasemekana ni tukio ambalo limeshawahi kutokea huko nyuma, katika hili bandiko ulivyoelezea kuwa utakuja na ishu ya Iran kwenye bandiko lako lijalo, nakuomba pia ugusie na hichi kisa kwani naona kipo katika mapinduzi ya Iran.
Sawa Mkuu! Bila shaka..
 
Whaaaaat?Makala mpya?
Ngoja nilike kwanza kisha nitarejea kuisoma.
Japo sijaisoma ila naona kabisa itakuwa motroooo,hujawahi kukosea bae.
Thank you.
Aisee isome ufaidike
 
Mkuu, The Bold, Executive Order 12333--United States intelligence activities was issued by President Ronald Reagan in 1981. Is this another Executive Order 12333?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom