Dar hii hii amboyo 80% ni squatter ufananishe na Joburg ?Dar es Salaam imekua sana kipindi cha Mwinyi- Mkapa - Kikwette. Majengo mzuri na marefu, barabara nzuri na za kisasa na makazi ya watu yalijengwa kipindi hicho. Kama Magufuli asingekuja mwaka 2015 na kukimbiza makao Makuu Dodoma, sasa hiv Dar es Salaam ingekuwa kwenye top 5 ya big/ best cities in Africa sambamba na Joburg, Cairo, Lagos na Capetown.. Maamuzi ya kuhamia Dodoma ndiyo yalirudisha nyuma ukuaji wa Dar es Salaam
Wanapimaje??Kwa Mujibu wa Africa Facts zone, Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika.
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa 👇
View attachment 2365759
GDP ya Jiji husikaWanapimaje??
Jizungumzie mwenyewe aiseeKama Vifaranga tuu tumeshindwa kujitosheleza sembuse mzigo wa Bandari ?
Tanzania tunachoweza ni mdomo,kupigana miti,ushabiki wa Yanga na Simba na uchawi mambo ya msingi hakuna.
Kumbe ni majiji yanayoongoza kwa GDP, sio utajiri? Hapo SawaGDP ya Jiji husika
Nalemagha...hivi hujui GDP ndio inayoonesha uchumi wa nchi ???Kumbe ni majiji yanayoongoza kwa GDP, sio utajiri? Hapo Sawa
Hapa mnanichanganya, kinachozungumziwa ni Utajiri, GDP au Uchumi?Nalemagha...hivi hujui GDP ndio inayoonesha uchumi wa nchi ???
Gdo ya tz $70b..3/4 ya Tanzania.
52 vs 48 kuna tofauti ipi ya maana?Gdo ya tz $70b..
Vijumba vinajengwa na SUMA JKT au vibarua wa TBA kwa Force Account. Ni ulimbukeni tu wa MwendazakeAf nyie mnahangaika na vijumba uchwara vya NHC ...vinavyojengwa huko dodoma na dar
Kwani Squatter Joburg hakuna? Tunapishana magnitude tu. Halafu sijafananisha bali nimesema tungekuwa kwenye 5 Bora za Afrika.Dar hii hii amboyo 80% ni squatter ufananishe na Joburg ?
Wanapima "total private wealth" yaani mali binafsi inayomilikiwa kwenye jiji hilo k.m. thamani ya majengo binafsi (yasiyo ya serikali/umma), hiza kwenye biashara mbali mbali, cash etc. Jisomee mwenyewe hapa...Hapa mnanichanganya, kinachozungumziwa ni Utajiri, GDP au Uchumi?
Izo tafiti zinazofanywa na wa kenya huwa zina shida sana ktk validity na Reliability. Yakupasa uwapuuzieKwa Mujibu wa Africa Facts zone, Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika.
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa 👇
View attachment 2365759
Tuwekee utafiti wakoIzo tafiti zinazofanywa na wa kenya huwa zina shida sana ktk validity na Reliability. Yakupasa uwapuuzie
Acha wenge wewe mbona husemi miundombinu ya barabara,reli na ndege ilivyoboreshwa enzi za magufuli? Hadi sasa mmeshindwa kumalizia hata barabara ya kimara mbezi kibaha na unasifia upuuzi. Umeenda Nairobi ukaona barabara zao? Magufuli alikua anawakimbiza kwa kasi sana kwenye miundombinu hadi walikua wanaogopa wakaanza figisuAliua mazingira ya uwekezaji binafsi ikiwemo ku discourage sekta ya real estate..
Kama investors walikimbia,kakatelekeza hata kule Kigamboni,NHC ikafa,Miradi ya Majengo ikasimama nk kwa sababu ya Magufuli..
Hasingiziwi ndio ukweli huo,baada ya kuingia Samia unaona sasa hata Yale majengo ya Posta yanamaliziwa,NHC imerudi tena na private companies zimeanza kurudi..
Samia akiongoza hadi 2030 basi Miji yetu itafika mbali Sana.
We nae unajua maana ya utajiri? Kwa hiyo magorofa ya Addis ndo unadhani ni jiji tajiriDuuh kwamba Addis Ababa haipo yani sisi hatukutakiwa kuwa hata kwenye hiyo nafasi tena nahisi tumepitwa hadi na miji kama Kigali na Lusaka
We nae Dar huijui vizuri... Nairobi inaizidi Dar ndio lakini sio kiasi unachosema wewe. KasomeKuna uzi flani wa kijinga wa kuilinganisha na Nairobi huwa nacheka sana.
Dar ni chini ya nusu ya ubora wa Nairobi
Miji ipi tena hiyo nakati unataka kila kitu kijengwe Dar pekee tangu kupatikana kwa uhuru TZ 1964, unadhani scattered geographical development hupatikana kwa kurundika kila kitu kwenye mji mmoja tu?Aliua mazingira ya uwekezaji binafsi ikiwemo ku discourage sekta ya real estate..
Kama investors walikimbia,kakatelekeza hata kule Kigamboni,NHC ikafa,Miradi ya Majengo ikasimama nk kwa sababu ya Magufuli..
Hasingiziwi ndio ukweli huo,baada ya kuingia Samia unaona sasa hata Yale majengo ya Posta yanamaliziwa,NHC imerudi tena na private companies zimeanza kurudi..
Samia akiongoza hadi 2030 basi Miji yetu itafika mbali Sana.
Ivi umeelewa nilicho.andika ?Tuwekee utafiti wako
Kumbe wanapima utajiri, sivyo? Sasa the fact tu kwamba Dar ina bandari, basi hafai kuwekwa kwenye ligi moja na jiji lolote landlocked hapa Afrika mashariki.Wanapima "total private wealth" yaani mali binafsi inayomilikiwa kwenye jiji hilo k.m. thamani ya majengo binafsi (yasiyo ya serikali/umma), hiza kwenye biashara mbali mbali, cash etc. Jisomee mwenyewe hapa...
2022 Africa Wealth Report Reveals ‘Big 5’ Hold Over 50% of the Continent’s Private Wealth.