Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,061
Kabisaaaa, sisi tunachotaka ni furaha buana.
Kale kakocha ka Man U hata hakaongei utadhani kila saa kako msibani[emoji847][emoji847][emoji847]
Kale kakocha ka Man U hata hakaongei utadhani kila saa kako msibani[emoji847][emoji847][emoji847]
Kweki dunia inakimbia. Kwa mara ya kwanza mashabiki wa United tunajikuta tunaanza shabikia timu nyingine epl. Acha wabaki na timu yao wapuuzi akina Woodwork. Now tuko na fundi Jowzey.