Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
allion ndio naielewa kuliko premio as wellGari yangu pendwa hii...japo allion pacha wake ndo ananichanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
allion ndio naielewa kuliko premio as wellGari yangu pendwa hii...japo allion pacha wake ndo ananichanganya
Nafikiri inakaza hapo kwenye V12 alafu petrol 😅😅😅 lazima uwe na support ka 1.6L siku pakichacha unadumbukia zako kwenye 1.6L maisha yanaenda.. Hizo ndio gari sasa hata kuvimba town unavimbaIle Kitu mi mwenyewe naikubali kinyama,be forward Kuna kipindi zilikuaga zinauzwa Bei Chee tu ,CIF $3100 hapo na TRA Kodi kawaida tu.Siku hizi naona ndio wamezipandisha mpk $6000's huko.
Kuna mzee kinyerezi anayo Hio century na competitor wa hio century kutoka Nissan iitwayo President.
Mtu wa magari huyo mzee, vijana wa Altezza na Subaru wakiziona watasema huu Ni uchafu gani tena mzee Amenunua.
Chombo ya kung'olea miss tanzania kabisaunyama mwingi humo
Mkuu alafu allion yangu naitoaallion ndio naielewa kuliko premio as well
Aisee ni kweli mkuu,hata India naona hawako nyuma kwny kulinda viwanda vyao.Na hizo ni mbinu za kulinda soko la ndani lisife, sababu zao ni safety ni pollution, wazungu wana njama sana.
😄😄 Wenzake hua wanabebwa kwny ndinga za maana,akishakaa tu humo ghafla jina linabadilika unaanza kuitwa my Hubby.Cillah Mtoto mzuri yule, sema ananiona mie kama wakala wa shetani, kasahahu wakandarasi quotation moja tu inampa kila kitu anachotaka mtoto mzuri kama yeye 😅😅😅😅
RR ya kijapan hio, Sipati picha V12 ilivyo smooth kwenye mwendo, gari nzuri sana.Hii chuma ipo poa sana, inawezakana sidhani kama wana V12 ingine zaidi ya hii hapaView attachment 2441100
😅😅😅😅 Hajui, mkandarasi naweza shinda humu ndani kumbe nasikiliza mchongo wa billions of Tanzanian shilings.. Siku panachafuka namvuta na mpeleka pale CFAO achukue chuma anayotaka, ila sasa hivi naoneka wakala 🤣🤣🤣 hawa wa humu wanapiga mifuko ya dhahabu na teke 😅😅😅 wakajifunze kwa mke wa Ruto😄😄 Wenzake hua wanabebwa kwny ndinga za maana,akishakaa tu humo ghafla jina linabadilika unaanza kuitwa my Hubby.
Amelowaaaaa amelowaaaa-Harmo
Uzuri wa gari zenye engine kubwa ndio huo, zinakuwa smooth hadi raha, na inatulia huwezi ona vibration za kijinga kijinga kama vyenye engine ndogoRR ya kijapan hio, Sipati picha V12 ilivyo smooth kwenye mwendo, gari nzuri sana.
Si bora wao wanazalisha, sio kodi kubwaaa hatuna hata viwanda vya kuzalisha sensor tu za magari ya mjerumaniAisee ni kweli mkuu,hata India naona hawako nyuma kwny kulinda viwanda vyao.
India wao Import duty kwa used car Ni 125% ,sio mchezo.
😄😄 Visingizio vyetu Ni vya kidwanzi sana,eti tunapunguza foleni barabarani.Si bora wao wanazalisha, sio kodi kubwaaa hatuna hata viwanda vya kuzalisha sensor tu za magari ya mjerumani
Akina Kanjibahi na wao hawaelewi wanapenda sana gari za nje, India kuna Lambo, hizi RR, G wagon nyingi, watu wana pesa..Aisee ni kweli mkuu,hata India naona hawako nyuma kwny kulinda viwanda vyao.
India wao Import duty kwa used car Ni 125% ,sio mchezo.
Nchi inaongozwa na wezi, akili na maono watatolea wapi.. Hasara sana mbogamboga na serikali yao.. Ndio wanafanya tuishi kizushi😄😄 Visingizio vyetu Ni vya kidwanzi sana,eti tunapunguza foleni barabarani.
Huwa natafakari waondoe kodi kabisa kwenye gari latest, au waweke kodi kidogo kwenye vyuma latest mji upendeze, ujue bwana vipando vinapendezesha mji, hivi sisi ni wa kusema gari ya 2009 new model kweli? inasikitisha sana.Nchi inaongozwa na wezi, akili na maono watatolea wapi.. Hasara sana mbogamboga na serikali yao.. Ndio wanafanya tuishi kizushi
Chek mkuubei gani unauza mkuu, nitumie humu 0773411415
Kinachoumiza ni kodi, hata hapo ukiangalia gari za importbykailos kenya zipo gari kali, na kununua wala sio kipengele ila ukiwaza kodi kama unanua hari ya pili, hapo ndio tunachoshana mkuu, tunabaki na old model hizo hizo za 2009.. Chuma nzuri anzia 2016 kuja juu unafurahi gariHuwa natafakari waondoe kodi kabisa kwenye gari latest, au waweke kodi kidogo kwenye vyuma latest mji upendeze, ujue bwana vipando vinapendezesha mji, hivi sisi ni wa kusema gari ya 2009 new model kweli? inasikitisha sana.... Mi naamini kuna vijana wabishi kodi zikishuka kesho wanavuta Range Sport za 2023.
New model or old model?allion ndio naielewa kuliko premio as well