National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kama ni mzalendo huwezi nunua hii π π π π , utasema hiyo 107 bora ununue gari ya juu hapa hapa bongo.. Ushuru wake haujapoa hiyoππ Mpk kuifikisha bongo itagharimu tsh. 107mil bila Kodi mamamamae ππ
Unapandisha ile pipeline kama unashuka vileUmeona unyama huu.. Ila sio bei ya kizalendo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] limiter haipo mwanawane unachapa badi 280 kifuani 3.5L
View attachment 2441738
Extrovert
Ila sidhani kama suala la kisani ndo limepandisha bei ya hiyo gari mkuu... mbona lexus is Zina 260kph na bei mserereko tu??Wajeruma haya mambo ya kawaida sana [emoji28][emoji28] alafu toka kitambo ndio maana gari za mjerumani sahani ina 280 bei kitongaaa ila unaona mjapan yenye sahani 280 haigusiki na mzalendo
Lexus ni bei gani mkuu, wakati golf hadi 16 million unapata, niambie hiyo lexus ya 16 million mkuu π π π π sema mzungu unarudisha hela yake kwenye servicesIla sidhani kama suala la kisani ndo limepandisha bei ya hiyo gari mkuu... mbona lexus is Zina 260kph na bei mserereko tu??
Ahahah hakika umeyapatia mawazo ya wazalendo πππKama ni mzalendo huwezi nunua hii π π π π , utasema hiyo 107 bora ununue gari ya juu hapa hapa bongo.. Ushuru wake haujapoa hiyo
Utamu wa chuma ni naturally aspirated, sasa ukifanya muujiza ukatundika maturbo si ndio baraaa π πππ Mpk kuifikisha bongo itagharimu tsh. 107mil bila Kodi mamamamae ππ
ππ Tatizo golf GTI ya Bei hio haifiki hio 280km/h tena vingine vina mbwembwe za kisahani kina 300km/,h vinaishiaga hapo kwny 228km/h tu.Lexus ni bei gani mkuu, wakati golf hadi 16 million unapata, niambie hiyo lexus ya 16 million mkuu π π π π sema mzungu unarudisha hela yake kwenye services
π π π Ila vinazitesa sana gari ambazo zinakomea 180... Gari za mzungu bei nafuu si unaona hizi Golf R ambazo zina 300.. Zina mwendo wa ajabu.. Angalia lexus za hiyo bei au mark xππ Tatizo golf GTI ya Bei hio haifiki hio 280km/h tena vingine vina mbwembwe za kisahani kina 300km/,h vinaishiaga hapo kwny 228km/h tu.
Ujue speed tuu 220 ni speed kali sana yani speed umezidisha bwaa unatakiwa 120. Standard 80. Barabara za Dar maximum 60 na za mtaani iwe 30. Sema sisi hatufuati sayansi ya kuendesha. Bongo hamna barabara inakizi vigezo vya juu ya 80[emoji1][emoji1] Tatizo golf GTI ya Bei hio haifiki hio 280km/h tena vingine vina mbwembwe za kisahani kina 300km/,h vinaishiaga hapo kwny 228km/h tu.
π π 220 mbona ya kawaida sana mkuu, hii ni speed yangu ya kufikia nikiwa nasafari ndefu.. Nafika wakati mwingine hadi 250... sema najilipuaga tu.. Ukifsta sayansi mengi hatutoweza fanya, humu town huwa 120 labda pakorofi unacheza hata na 50,60Ujue speed tuu 220 ni speed kali sana yani speed umezidisha bwaa unatakiwa 120. Standard 80. Barabara za Dar maximum 60 na za mtaani iwe 30. Sema sisi hatufuati sayansi ya kuendesha. Bongo hamna barabara inakizi vigezo vya juu ya 80
ππ Golf R Nazikubali Sana,Zina mwendo sana.π π π Ila vinazitesa sana gari ambazo zinakomea 180... Gari za mzungu bei nafuu si unaona hizi Golf R ambazo zina 300.. Zina mwendo wa ajabu.. Angalia lexus za hiyo bei au mark xView attachment 2441756
Na bei yake, ukikaza roho unachukua tu π π π na VW sio vimeo sana pia cheap kuzi maintain na spare zake zimepoa sio kama kina benz au bmwππ Golf R Nazikubali Sana,Zina mwendo sana.
Hii lexus ina gharama gani mkuu??Lexus ni bei gani mkuu, wakati golf hadi 16 million unapata, niambie hiyo lexus ya 16 million mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] sema mzungu unarudisha hela yake kwenye services
Mzee naelewa ila ni hatare labda ukute kipande kimenyooka na hamna gari na hamna kilimo unaweza kanyagia hizo speed vinginevyo ni kucheza patapotea[emoji28][emoji28] 220 mbona ya kawaida sana mkuu, hii ni speed yangu ya kufikia nikiwa nasafari ndefu.. Nafika wakati mwingine hadi 250... sema najilipuaga tu.. Ukifsta sayansi mengi hatutoweza fanya, humu town huwa 120 labda pakorofi unacheza hata na 50,60
Lexus nzuri angalia mwaka wake, pia hiyo ina kamba labda uikateHii lexus ina gharama gani mkuu??View attachment 2441783
Baraba hadi niwe naijua sana, ndio nafanya huo mchezo na ikiwa njia nyeupe naona zaidi ya 700m kweupeMzee naelewa ila ni hatare labda ukute kipande kimenyooka na hamna gari na hamna kilimo unaweza kanyagia hizo speed vinginevyo ni kucheza patapotea
It's better uende na mark matusi au crown athletes?Sasa CROWN anamzidi nini MARK X embu niambie ambacho CROWN anacho alafu MARK x hana ili tuweke ulinganifu mzee tusibishane kwa maneno boss wangu apana bali twende kwa vitnendo dhidi ya maneno
Hatari sana, kuna mzungu alikuwa anafanya review ya Ls akakiri mwenyewe akasema nimeendesha gari nyingi za Germany kuanzia Benz,Bmw n.k lakini comfortability ya hii chuma ni next level...Sahihi kabisa mkuu,mwaka 1989 Tangazo la Lexus Ls400 kwny TV lililowapa umaarufu Sana Ni pale walipozipanga glass nyingi za shampeni juu ya boneti la hio gari na ikaendeshwa ikiwa kwny dyno mpk kwny speed 145MPH=233km/h na hakuna glass iliyovunjika hata 1.
Mwaka 2019 Tena rais wa Toyota aitwae Akio Toyoda alirudia tena kufanya zoezi hilo, alizipanga glass za shampeni nyingi juu ya bonet la Lexus LS 500,na akaendesha hio Gari mpk kwny speed 138MPH=220km/h na Gari ikiwa kwny dyno na hakuna glass iliyovunjika hata 1.
Video ziko huko YouTube.
Hui ndio utamu wa Engine kubwa,tujaribu kufanya Hilo zoezi kwny kwny ka-engine kadogo tujionee ππ
Hapo sawa... Vinginevyo unacheza tu 80kmh huna habari huku ukisikiliza muzikiBaraba hadi niwe naijua sana, ndio nafanya huo mchezo na ikiwa njia nyeupe naona zaidi ya 700m kweupe