wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Tupe na ratio ya wingi wa magari barabarani tukilinganisha Hizo Crown,Altezza vs BMW 3/5 Series&Benz C&E class.Hapo kwenye kubimbilika kama kuna ukweli flan,crown ikifika kwenye speed 90 ikitokea dharura ya break ya ghafla 80% majanga lazima,crown na altezza zinazoongoza kuwamaliza vijana wengi wapenda mbio
3S hio-Old tech.
😄😄 Kwangu mimi Natural aspirated engine all the way, lagging ya turbo hua inazingua.Gari za siku hizi ndio zimepunguza sana hio lagging.😅😅😅 Ila gari ambayo ni natural aspirated ina utamu wake, sema zenye supe charged au Bi-Turbo ni konyooo ukiwa unatembea nazo kuna mzuka flani unakapa unapoisikia inatanua kifua, nimeona ni nyie wajapan mmeanza kuwekeza kwenye Bi Turbo hizo Lc300.. Soon mtaanza kila chuma turbo
Wana improve kila leo gari, Natural aspirated ni chaguo la kwanza ila wazungu gari zao kali unazo ona ambazo zina unyama mwingi zina vifurushi vya turbo vya kufa mtu 😅😅😅 wamekeza sana kwenye tech ya turbo. Lexus ana gari unyama sana na nin non turbo na mwendo wa kufa mtu😄😄 Kwangu mimi Natural aspirated engine all the way, lagging ya turbo hua inazingua.Gari za siku hizi ndio zimepunguza sana hio lagging.
Mimi Ni fan wa Lexus,napenda kinu chenye cc 5000,6000(non-turbo),yaani hivyo ndivyo vitu vyangu(engine kubwa kubwa).Kitu Kiko stable, no vibration no what.Wana improve kila leo gari, Natural aspirated ni chaguo la kwanza ila wazungu gari zao kali unazo ona ambazo zina unyama mwingi zina vifurushi vya turbo vya kufa mtu 😅😅😅 wamekeza sana kwenye tech ya turbo. Lexus ana gari unyama sana na nin non turbo na mwendo wa kufa mtu
Mzungu ki gari kina 1.2. L anakipa dawa, njiani kinatembea kama kishada, ila pia kuna chuma zake unakuta kina 6. 2L Bi Turbo mzee.Mimi Ni fan wa Lexus,napenda kinu chenye cc 5000,6000(non-turbo),yaani hivyo ndivyo vitu vyangu(engine kubwa kubwa).Kitu Kiko stable, no vibration no what.
Hivi vidude vya Piston 4+Twin turbo kinaleta ma HP makubwa sio mambo yangu hayo mzee.
😄😄 huo ujinga wa ma-turbo naona Japan nao wameuanza,Toyota Yaris 3 cylinders,1.0L,hp 278Mzungu ki gari kina 1.2. L anakipa dawa, njiani kinatembea kama kishada, ila pia kuna chuma zake unakuta kina 6. 2L Bi Turbo mzee... Naonaga mzungu yupo ki performance zaidi na luxury.. Mjapan yupo kikazi zaidi na luxury kwa baadhi ya madaraja yake hasa Lexus ni 🔥🔥🔥 na hata vijana wengi hatuna uwezo wa kuzinunua.. Labda uwe ass kisser kama kina makamba
Issue ni reliability, Toyota anaangalia zaidi reliability, gari yenye turbo haipo reliable kama ambayo haina, reputation ya Toyota ni vyombo vyake kuwa reliable na hayupo tayari kuharibu reputation yao, naona wanafanya uchunguzi yakinifu kabla hawajafanya maamuzi ya kuifungua gari turbo, si kwamba Toyota haiwezi kutoa chombo kama mjeru ni vile tu wanalinda reputation yao.Wana improve kila leo gari, Natural aspirated ni chaguo la kwanza ila wazungu gari zao kali unazo ona ambazo zina unyama mwingi zina vifurushi vya turbo vya kufa mtu 😅😅😅 wamekeza sana kwenye tech ya turbo. Lexus ana gari unyama sana na nin non turbo na mwendo wa kufa mtu
Changamoto ( nasikia) sina uhakika sana.. Engine za tu gari kama huto hazina maisha marefu sana ile.. wana zi stress sana engine zinakuwa hazina maisha marefu maana zinalisha kitu ambacho juu ya uwezo wa kawaida.😄😄 huo ujinga wa ma-turbo naona Japan nao wameuanza,Toyota Yaris 3 cylinders,1.0L,hp 278
Issue ni reliability, Toyota anaangalia zaidi reliability, gari yenye turbo haipo reliable kama ambayo haina, reputation ya Toyota ni vyombo vyake kuwa reliable na hayupo tayari kuharibu reputation yao, naona wanafanya uchunguzi yakinifu kabla hawajafanya maamuzi ya kuifungua gari turbo, si kwamba Toyota haiwezi kutoa chombo kama mjeru ni vile tu wanalinda reputation yao.
Ndio maana miaka nenda rudi wana njia yao na namna yao ya utengenezaji wa vyombo vyao, sio wepesi kuchukua kila technology mpya na kuipachika kwao, mjeru yeye ni speed, comfortability, luxury, nguvu, suala la reliability utajua mwenyewe. Sijui kama niko sahihi ni maoni lakini.
Lexus LS 600h ni nomaMimi Ni fan wa Lexus,napenda kinu chenye cc 5000,6000(non-turbo),yaani hivyo ndivyo vitu vyangu(engine kubwa kubwa).Kitu Kiko stable, no vibration no what.
Hivi vidude vya Piston 4+Twin turbo kinaleta ma HP makubwa sio mambo yangu hayo mzee.
Ni kweli mkuu, zinadeka sana.Upo sahihi kabisa, nimekupata vizuri sana. Mjerumani sio wa kazi kazi sana, kama unakuwa na opt unamuingiza road kama una trip ndefu full mkeka mbona wanakukoma, ikirudi services ya maana bandani
Sahihi kabisa mkuu.Issue ni reliability, Toyota anaangalia zaidi reliability, gari yenye turbo haipo reliable kama ambayo haina, reputation ya Toyota ni vyombo vyake kuwa reliable na hayupo tayari kuharibu reputation yao, naona wanafanya uchunguzi yakinifu kabla hawajafanya maamuzi ya kuifungua gari turbo, si kwamba Toyota haiwezi kutoa chombo kama mjeru ni vile tu wanalinda reputation yao.
Ndio maana miaka nenda rudi wana njia yao na namna yao ya utengenezaji wa vyombo vyao, sio wepesi kuchukua kila technology mpya na kuipachika kwao, mjeru yeye ni speed, comfortability, luxury, nguvu, suala la reliability utajua mwenyewe. Sijui kama niko sahihi ni maoni lakini.
Mkuu mi pia nina lexus ya zamani ya 1994 ila vitu vingi kwenye crown ni kama wamecopy paste kwenye hii ls400Mkuu Crown ni full-sized luxury sedan, gari ikishakuwa ni luxury lazima itakua bora, kuanzia features, comfortability, interior design n.k , Mark X ni midsize sedan...
Crown ina sensors za kutosha, safety features kwenye crown zipo nyingi kuliko Mark X, mfano chukua crown athlete/royal saloon ya 2010 tu ulinganishe safety features na mark x ya same year, mfano crown features kama Radar Collision Avoidance System, Pedestrian Detection System, Artificial Intelligence-Adaptive Suspension System n.k, umeme kwenye crown sio wa mgao, crown ina featues nyingi ambazo Mark X haina.
Mfano gari ikiwa na adaptive suspension system, hizo ni sensor na microprocessors zinakuwa zinafuatilia tairi za gari zinavyopita kwenye bara bara, sensors zinatuma hizo taarifa kwenye computer na gari ina adjust springs na shocks in real time ziendane na hali ya barabara ili kuleta smooth driving experience, sasa hii ya crown inatumia AI. Kwa hii feature tu inaelezea nani ni mshindi kwenye comfortability.
Kusema namba za ajali ndio kipimo cha comfortability ya gari unakosea, crown ipo very comfortable nahisi kuwa comfortable zaidi inapelekea mtu kutokua makini.
Kuna kipindi kuna mtu alinipa gari yake kwa muda, ilikuwa range rover old model flani, sasa kuna siku kuna msichana mmoja nikampa aendeshe mi nimekaa pembeni mbele, kuna kitu nilikua naperuzi kidogo, ilikua ni kasafari ka umbali kidogo, gari inatembea tupo sehemu barabara imenyooka, sijui ilikuaje nikaja kutazama kwenye speedmeter gari inasoma 90, ile Range ilikuwa imeandikwa kwa miles/hour, nikamuambia unatembea na speed kubwa mno ndipo akashtuka nikamuambia hii ni miles/h, hapo alikuwa zaidi ya 140km/h, lakini cha ajabu gari ilikua imetulia tuli, very comfortable yani, kiasi kwamba hata yeye mwenyewe yule manzi hakufahamu, comfortability wakati mwingine inaponza. Sasa umekula pombe unakutana na comfortability ya crown, bro what do you expect.
Crown ipo comfortable lakini huwezi sema inafikia comfortability ya Lexus LS, Mark X ipo comfortable lakini haifiki kwa crown.
Tofauti na hapo ni ushabiki maandazi tu.
Picha tuioneKuna mshikaji alinunua Crown flani Zanzibar mwaka 2015 ilikuwa Crown Tom's ila toka hapo sijaona tena mtu mwingine anayo. Ni kwamba Tom's ilitoka moja au zimezuiwa kuwa imported bongoland? Au zinakuja kwa jina lingine?
Umemaliza kila kitu👏Mkuu Crown ni full-sized luxury sedan, gari ikishakuwa ni luxury lazima itakua bora, kuanzia features, comfortability, interior design n.k , Mark X ni midsize sedan...
Crown ina sensors za kutosha, safety features kwenye crown zipo nyingi kuliko Mark X, mfano chukua crown athlete/royal saloon ya 2010 tu ulinganishe safety features na mark x ya same year, mfano crown features kama Radar Collision Avoidance System, Pedestrian Detection System, Artificial Intelligence-Adaptive Suspension System n.k, umeme kwenye crown sio wa mgao, crown ina featues nyingi ambazo Mark X haina.
Mfano gari ikiwa na adaptive suspension system, hizo ni sensor na microprocessors zinakuwa zinafuatilia tairi za gari zinavyopita kwenye bara bara, sensors zinatuma hizo taarifa kwenye computer na gari ina adjust springs na shocks in real time ziendane na hali ya barabara ili kuleta smooth driving experience, sasa hii ya crown inatumia AI. Kwa hii feature tu inaelezea nani ni mshindi kwenye comfortability.
Kusema namba za ajali ndio kipimo cha comfortability ya gari unakosea, crown ipo very comfortable nahisi kuwa comfortable zaidi inapelekea mtu kutokua makini.
Kuna kipindi kuna mtu alinipa gari yake kwa muda, ilikuwa range rover old model flani, sasa kuna siku kuna msichana mmoja nikampa aendeshe mi nimekaa pembeni mbele, kuna kitu nilikua naperuzi kidogo, ilikua ni kasafari ka umbali kidogo, gari inatembea tupo sehemu barabara imenyooka, sijui ilikuaje nikaja kutazama kwenye speedmeter gari inasoma 90, ile Range ilikuwa imeandikwa kwa miles/hour, nikamuambia unatembea na speed kubwa mno ndipo akashtuka nikamuambia hii ni miles/h, hapo alikuwa zaidi ya 140km/h, lakini cha ajabu gari ilikua imetulia tuli, very comfortable yani, kiasi kwamba hata yeye mwenyewe yule manzi hakufahamu, comfortability wakati mwingine inaponza. Sasa umekula pombe unakutana na comfortability ya crown, bro what do you expect.
Crown ipo comfortable lakini huwezi sema inafikia comfortability ya Lexus LS, Mark X ipo comfortable lakini haifiki kwa crown.
Tofauti na hapo ni ushabiki maandazi tu.
Hongera mkuu gari nzuri sana hizo na comfo ipo ya kutosha, kama jamaa angu hapo juu wa kupuliza alivyosema, hizo ndio gari sasa, mi hata li LS 600 naishi nalo tu, hakuna kuazimana kwanza kila mtu ataliogopa, vipi hio consumption yake...Mkuu mi pia nina lexus ya zamani ya 1994 ila vitu vingi kwenye crown ni kama wamecopy paste kwenye hii ls400
Asa unachukia gar sababu ya wachache wasiozijuaHayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".
Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]
All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!