Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

[emoji3][emoji3] ww huna tofauti na mm, hizo tax dah sijawah zielewa kabisa...mi ni mwendo wa hatchback tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mwengine huyu sijui katokea wapi🤣🤣 hatchback ni body type wala haina uhusiano na ground clearance. Vits, ist subaru impreza hizo nazo ni hatchback kama ulikuwa hujui
 
Moja ya gari pendwa hapa mjini

Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!!

Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable

Utagundua hata TRA wamezipandishia ushuru hii imepelekea hata resale value yake kuongezeka hivi

Karibuni wapenzi na wamiliki wa crown kene thread!View attachment 2434741


Everybody deserves a Crown [emoji146]

Drop your experience and picture [emoji1484]

[mention]Extrovert [/mention] our brand ambassador [emoji23][emoji91]View attachment 2434742
View attachment 2434743
View attachment 2434744
View attachment 2434745
View attachment 2434746
View attachment 2434747
View attachment 2434748
This muthafucka looks sick, super joyous ride right there...In love with the tail lights no disrespect..The rings are mad!!!
 
Hongera mkuu gari nzuri sana hizo na comfo ipo ya kutosha, kama jamaa angu hapo juu wa kupuliza alivyosema, hizo ndio gari sasa, mi hata li LS 600 naishi nalo tu, hakuna kuazimana kwanza kila mtu ataliogopa, vipi hio consumption yake...
Mkuu hii ls400 ndio iliyoipa jina Lexus huko marekani mpk ikawa Lexus hii tunayoijua leo,maana miaka hio Gari za Japan kwa huko US zilikua na sifa ya reliability tu lkn hazikua na sifa ya luxury.Na ndio maana mpk leo LS ndio flagship ya Lexus.

Zilivyoingia sokoni LS400 ilikua Ni game changer interms of technology, reliability,etc.na Iliuza kuliko Benz,mercedes, Cadillac za category yake.So siwezi kushangaa kwa tech kua Kwny hizo crown.

Kwa Upande wa Toyota, hii ls400 inafanana almost vitu vyote na Toyota celsior,Kuna baadhi ya features nilizikuta kwny Toyota celsior ya 2003 nilishangaa Sana maana mpk Gari za 2015 zilikua hazina features hizo
 
Hayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".

Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]

All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!
Utasubiri sana mzee, Crown is there to stay! Toka inaanza miaka ya 1940 huko ilikuwa ni gari ya heshima mpaka alipozaliwa Lexus wakaiua kwenye soko la Marekani imeendelea kuwepo mpaka leo still inapeta na model ya 2022 inapelekwa Marekani tena na itakimbiza vibaya mno.

Humo wajapani wametulia kuitengeneza gari na wamefanya kweli. Ungeweza kuitumia ya 2022 ndio ungeelewa maana ina balaa kuliko hio ulioiona kwenye picha hapo.
 
Umekosea kitu kimoja tu. Hizo ulizosema zimepita ni gari moja. Yaani Mark2,Verossa then ikageuka Mark X.
Ila Crown ni Crown haitapotea kama Verossa au Mark 2. Crown itaendelea kuwepo zikija new models tu.
Kibongobongo watu wametoka grs180/182 wameingia grs200 na zitaemdelea hivyo bila kupotea Jina na nembo ya Crown. It's a flagship for Japanese sedan.
Hahahahaha Crown is there to stay. Ni gari iliokubalika na marika yote, wazee hadi vijana wanavimba nayo maana ni gari yenye mamlaka na wadhifa barabarani, ofisini, shuleni, bar, sheli, kanisani yani kokote ikipaki ni heshima.
 
Hivi inawezekana kufunga mashine ya 4S kwenye crown?
Wabongo hawashindwagi kitu.

Maana Freelander kibao zimejazwa 3S.

Lkn sijaona sababu ya kuweka 4s kwny crown,maana engine za crown Ni bulletproof,Bora hao Freelander wao walikua Wana sababu ya msingi ya kuweka 3S,engine za Freelander ziitwazo K-series zilikua Ni kimeo Sana.
 
Mwengine huyu sijui katokea wapi[emoji1787][emoji1787] hatchback ni body type wala haina uhusiano na ground clearance. Vits, ist subaru impreza hizo nazo ni hatchback kama ulikuwa hujui
Sijui vip tena mzee, hiyo body structure mm naielewa ukicompare na sedans, haijalishi aina ya gari..muda mwingine usikurupuke kuquote wanaume na kuanza kujichekesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mshikaji alinunua Crown flani Zanzibar mwaka 2015 ilikuwa Crown Tom's ila toka hapo sijaona tena mtu mwingine anayo. Ni kwamba Tom's ilitoka moja au zimezuiwa kuwa imported bongoland? Au zinakuja kwa jina lingine?
Zanzibar hizo zinakuwa imported kutoka Dubai na Hong Kong. Hazijazuiliwa zipo kibao kwenye website za Hong Kong na zinauzwa bei kubwa tofauti na za Japan
 
Dont waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa. Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu. Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.
huwa napenda watekenya watu wa crown 😂😂😂😂😂 maana unawapita halafu unawaacha ... mjerumani ukishapita 180 gari i anakuwa stable balaa yani hapo mjapana gari yake inayumba roho mkononi
 
IMG_9855.png

Just imagine…you just imagine GRS 180 kabati kabisa[emoji817]
 
Back
Top Bottom