Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 312
- 850
Mwengine huyu sijui katokea wapi🤣🤣 hatchback ni body type wala haina uhusiano na ground clearance. Vits, ist subaru impreza hizo nazo ni hatchback kama ulikuwa hujui[emoji3][emoji3] ww huna tofauti na mm, hizo tax dah sijawah zielewa kabisa...mi ni mwendo wa hatchback tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
This muthafucka looks sick, super joyous ride right there...In love with the tail lights no disrespect..The rings are mad!!!Moja ya gari pendwa hapa mjini
Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!!
Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable
Utagundua hata TRA wamezipandishia ushuru hii imepelekea hata resale value yake kuongezeka hivi
Karibuni wapenzi na wamiliki wa crown kene thread!View attachment 2434741
Everybody deserves a Crown [emoji146]
Drop your experience and picture [emoji1484]
[mention]Extrovert [/mention] our brand ambassador [emoji23][emoji91]View attachment 2434742
View attachment 2434743
View attachment 2434744
View attachment 2434745
View attachment 2434746
View attachment 2434747
View attachment 2434748
Mkuu hii ls400 ndio iliyoipa jina Lexus huko marekani mpk ikawa Lexus hii tunayoijua leo,maana miaka hio Gari za Japan kwa huko US zilikua na sifa ya reliability tu lkn hazikua na sifa ya luxury.Na ndio maana mpk leo LS ndio flagship ya Lexus.Hongera mkuu gari nzuri sana hizo na comfo ipo ya kutosha, kama jamaa angu hapo juu wa kupuliza alivyosema, hizo ndio gari sasa, mi hata li LS 600 naishi nalo tu, hakuna kuazimana kwanza kila mtu ataliogopa, vipi hio consumption yake...
Go buy yourself an ice cream. Atleast thats what you can afford easilySizikubali kabisa hizi gari
HAO TOMS Ni tuners na wanakuaga na ushirikiano na Toyota,Lexus hata Subaru pia.Gari inakua ni Ile Ile Ila wanaifanyia mafekeche kwny engine/body kits etcPicha tuione
Pacha wa hii Ni Toyota Celsior.Hawa wajapani wanatuchezea tu maana mimi nina Lexus LX 400 ya 1994 ni kama wameichukua hii lexus hiihii wakaboresha kidogo tu na iko comfortable balaa with V8 engineView attachment 2440656
Utasubiri sana mzee, Crown is there to stay! Toka inaanza miaka ya 1940 huko ilikuwa ni gari ya heshima mpaka alipozaliwa Lexus wakaiua kwenye soko la Marekani imeendelea kuwepo mpaka leo still inapeta na model ya 2022 inapelekwa Marekani tena na itakimbiza vibaya mno.Hayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".
Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]
All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!
Hahahahaha Crown is there to stay. Ni gari iliokubalika na marika yote, wazee hadi vijana wanavimba nayo maana ni gari yenye mamlaka na wadhifa barabarani, ofisini, shuleni, bar, sheli, kanisani yani kokote ikipaki ni heshima.Umekosea kitu kimoja tu. Hizo ulizosema zimepita ni gari moja. Yaani Mark2,Verossa then ikageuka Mark X.
Ila Crown ni Crown haitapotea kama Verossa au Mark 2. Crown itaendelea kuwepo zikija new models tu.
Kibongobongo watu wametoka grs180/182 wameingia grs200 na zitaemdelea hivyo bila kupotea Jina na nembo ya Crown. It's a flagship for Japanese sedan.
Gear 4 against gear 7Swali la kizushi
Hivi inakuaje harrier ina fuel consumption kubwa kuliko Vanguard wakati engine size zinafanana na vanguard ni ina long base chasis.so body ratio ni kubwa
Wabongo hawashindwagi kitu.Hivi inawezekana kufunga mashine ya 4S kwenye crown?
Sijui vip tena mzee, hiyo body structure mm naielewa ukicompare na sedans, haijalishi aina ya gari..muda mwingine usikurupuke kuquote wanaume na kuanza kujichekesha.Mwengine huyu sijui katokea wapi[emoji1787][emoji1787] hatchback ni body type wala haina uhusiano na ground clearance. Vits, ist subaru impreza hizo nazo ni hatchback kama ulikuwa hujui
Land Rover Discovery "Dungu Jeshi" kipimo cha uanaumeHabari ya mjini ni discovery sasa ivi
Zanzibar hizo zinakuwa imported kutoka Dubai na Hong Kong. Hazijazuiliwa zipo kibao kwenye website za Hong Kong na zinauzwa bei kubwa tofauti na za JapanKuna mshikaji alinunua Crown flani Zanzibar mwaka 2015 ilikuwa Crown Tom's ila toka hapo sijaona tena mtu mwingine anayo. Ni kwamba Tom's ilitoka moja au zimezuiwa kuwa imported bongoland? Au zinakuja kwa jina lingine?
Absolutely ....Hahahahaha Crown is there to stay. Ni gari iliokubalika na marika yote, wazee hadi vijana wanavimba nayo maana ni gari yenye mamlaka na wadhifa barabarani, ofisini, shuleni, bar, sheli, kanisani yani kokote ikipaki ni heshima.
huwa napenda watekenya watu wa crown 😂😂😂😂😂 maana unawapita halafu unawaacha ... mjerumani ukishapita 180 gari i anakuwa stable balaa yani hapo mjapana gari yake inayumba roho mkononiDont waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa. Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu. Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.
watu wa IST mnafujo sana mjiniUmenena kweli ..hakuna mtu asiependa gari nzuri ..shda ni vipato vyetu, tunaishia kutembelea run x au ist ukijitahidi sana forester au crown
ndo gari pia anayoitumia mfalme wa JapanHahahahaha Crown is there to stay. Ni gari iliokubalika na marika yote, wazee hadi vijana wanavimba nayo maana ni gari yenye mamlaka na wadhifa barabarani, ofisini, shuleni, bar, sheli, kanisani yani kokote ikipaki ni heshima.