Sio kwa Crown mzee, inatumia double wishbone setup kama akina benz tu na iko stable balaahuwa napenda watekenya watu wa crown πππππ maana unawapita halafu unawaacha ... mjerumani ukishapita 180 gari i anakuwa stable balaa yani hapo mjapana gari yake inayumba roho mkononi
3GR mnyamaa πππMimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Hizi gari ziko sawa zote mbili ni swala la preferences tu na package inayokuja nayo. Engine ni ile ile hata platform ziliotengenezewa ni ile ile tofauti ni kasha.Kwan mwonekano wa MARK X una shida gani mkuu yaani si unaongelea mwonekano wa nje mbona mi naona mwonekano wa CROWN ndo wa kilocal ila wa Mnyama X umekaa kibabe fulani ivi yaani umekaa kikushangaza alafu mbona x yuko comfrtable na stable zaidi akiwa barabarani kuliko uyo CROWN kama unabisha check statics za ajali za kupinduka kati ya CROWN na X alafu uje uniambie ipi iko stable zaidi ya mwenzie alafu kama ni swala la speed nadhani unamuelewa mnyama x ama zote zinaweza kulingana ulaji wa mafuta zinalingana engine zote zinatumia za aina moja sasa apa CROWN maajabu yake ni yapi dhidi ya MARK X?
PichaZanzibar hizo zinakuwa imported kutoka Dubai na Hong Kong. Hazijazuiliwa zipo kibao kwenye website za Hong Kong na zinauzwa bei kubwa tofauti na za Japan
Cha ajabu Lexus ina offer more comfort at a cheaper TAG than BenzJemedaree Crown kumuita Japanese Benz unakuwa umeipaisha sana..
Reputation ya Benz ni gari luxurious..S Class..
Hizi E na C class zimekuja baadaye kabisa...!zimetengenezwa baada ya kilio cha Waafrika kutaka luxury cars kitonga..!
Crown hawezi kuwa Benz..
Lexus akijitahidi..!
Mm sina IST ila gari ya kwanza ntavuta toyota grand mark II au run xwatu wa IST mnafujo sana mjini
Huyo ni Lexus IS mzee baba πππAMG anafika mpk 320km/hr
Ni 1.6L Engine ila inabwatuka hadi 278HPππ huo ujinga wa ma-turbo naona Japan nao wameuanza,Toyota Yaris 3 cylinders,1.0L,hp 278
Aisee sasa unaposema sedan cars huzielewi alaf unasema unapenda hatchback sidhan kama utakuwa unaelewekaπ kwa ufupi hakuna tofauti ya kimantiki zaidi ya body type tu.Sijui vip tena mzee, hiyo body structure mm naielewa ukicompare na sedans, haijalishi aina ya gari..muda mwingine usikurupuke kuquote wanaume na kuanza kujichekesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nataka kwa unafuu wa wese mkuu ili niwe kama naendesha baiskeli tu hata chooni napiga stata to toiletWabongo hawashindwagi kitu.
Maana Freelander kibao zimejazwa 3S.
Lkn sijaona sababu ya kuweka 4s kwny crown,maana engine za crown Ni bulletproof,Bora hao Freelander wao walikua Wana sababu ya msingi ya kuweka 3S,engine za Freelander ziitwazo K-series zilikua Ni kimeo Sana.
Mfalme wa Japan anatumia Toyota Century mkuu.ndo gari pia anayoitumia mfalme wa Japan
Kwenye comfortability ni balaa sana sema inakula wese sio poa CC 4,000 V8. Nilibadili engine nikaweka Beams 2000 CC 2,000 sema ndo nimevuruga kiasi mfumo wake wa umeme. Spea pia ilikuaga inazingua nimekuja kupata nafuu baada ya crown kuwa nyingi ndo zinaingiliana vizuriHongera mkuu gari nzuri sana hizo na comfo ipo ya kutosha, kama jamaa angu hapo juu wa kupuliza alivyosema, hizo ndio gari sasa, mi hata li LS 600 naishi nalo tu, hakuna kuazimana kwanza kila mtu ataliogopa, vipi hio consumption yake...
Exactly mkuu zinamuonekano mzuri sana Toyota Celsior sijui kwanini haijatamba sana maana hata kitaa ni za kutafuta sanaPacha wa hii Ni Toyota Celsior.
Kitu kina cc 4300 V8 kinawatisha wananchi mkuu.Exactly mkuu zinamuonekano mzuri sana Toyota Celsior sijui kwanini haijatamba sana maana hata kitaa ni za kutafuta sana
View attachment 2441004
Gari za chini kwangu utopolo. Hatuweze fanana kimtazamo.Go buy yourself an ice cream. Atleast thats what you can afford easily
hatari kwenye lango ileKitu kina cc 4300 V8 kinawatisha wananchi mkuu.
Tunaicheki kwa mbaali tu tunasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii πhatari kwenye lango ile
Cillah unataka hii nikuchukulie ππView attachment 2440786 chukua hii toyota crown rangi ya silver kwa milioni 10.....ila pia punguzo lipo
Yananusa wese tu hayoπ¬π¬hatari kwenye lango ile