RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mkuu tupumzishe kidogo na Royal saloon zetu.😅😅😅 au tuwaache tuView attachment 2450423View attachment 2450424
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupumzishe kidogo na Royal saloon zetu.😅😅😅 au tuwaache tuView attachment 2450423View attachment 2450424
Duh nini hii? Iko makini.View attachment 2450547 tuko pamoja
Bungeni.Sisi wa vieite tunapost wapi
Duh nini hii? Iko makini.
Lexus LS500 mnyama tulivu sanaDuh nini hii? Iko makini.
Hio ligi ingine.Lexus LS500 mnyama tulivu sana
View attachment 2450556
😅😅😅 Royal saloon mbona unyama mwingi sana, shida wanakosea kulinganisha visivyopaswa linganishwa.. Mtu anachukua kabisa S class analinganisha na Crown.. Crown ni gari nzuri sana tena sana zina sehemu kubwa ya mahitaji ya muendeshaji ila hatuwezi ziweke ulingo mmoja na S classMkuu tupumzishe kidogo na Royal saloon zetu.
Napenda sana Germany machine lakini ikija kwenye Japanese budget transport....Crown eerrday😅😅😅 Royal saloon mbona unyama mwingi sana, shida wanakosea kulinganisha visivyopaswa linganishwa.. Mtu anachukua kabisa S class analinganisha na Crown.. Crown ni gari nzuri sana tena sana zina sehemu kubwa ya mahitaji ya muendeshaji ila hatuwezi ziweke ulingo mmoja na S class
Kuna mashine za kwenda toka kwa MjapanBado sana hapa, mnajitahidi kugerezea lakini wapi 😅😅😅View attachment 2450548View attachment 2450549View attachment 2450550
Hapo ndipo nagombanaga na wanaosema Toyota anatengeneza usafiri. Is that any close to Ist au VitsHio ligi ingine.
LHio ligi ingine.
nzuri ndio ila hazitii mguu hapo hata kidogo kwenye ambazo nime post.. huwa lazima kuwe na kiongozi kwa hilo Benz hapo hasa Maybach Mercedes kawakataa mbali vizuri sana labda muamue kubishaKuna mashine za kwenda toka kwa MjapanView attachment 2450563
Crown ina thrillsNapenda sana Germany machine lakini ikija kwenye Japanese budget transport....Crown eerrday
Mwisho wa siku tutabakia mashabiki tu, miongoni mwetu anaeweza kuendesha Maybach bado sijamuona 😂! Aheri hata Crown inaweza ku make senseL
nzuri ndio ila hazitii mguu hapo hata kidogo kwenye ambazo nime post.. huwa lazima kuwe na kiongozi kwa hilo Benz hapo hasa Maybach Mercedes kawakataa mbali vizuri sana labda muamue kubisha
kwenye maisha kila kitu kinawezekana, tunaishi kwa maono na sio kwa mazingira yalio tuzunguka ... wengine tumetoka kwenye familia ambazo hata bike hazikuwepo but tukaja pata vigari kwa wakati ule tungeangalia mazingira tungejikana kupata gari aina yoyote, maybach haiwezekani tu kwa mtu asie na maono na ndoto..Mwisho wa siku tutabakia mashabiki tu, miongoni mwetu anaeweza kuendesha Maybach bado sijamuona 😂! Aheri hata Crown inaweza ku make sense
Mimi nina swali kidogo, kwa nini wale marapa wamarekani weusi wanaopenda vito ya thamani utawasikia wakijisifu wanaimba Beamer, Benz na mengineyo ila hawaimbi Toyota ...nasindikiza na wimbo tu
Ninachotaka kuelewa ndio hiyo nadharia ya kuweka gari ya Mzungu juu ya gari za Mjapani imeanzia wapi, kwa sababu sio bongo tu hata huko Marekani wanazipa heshima tena wengine bila hata kulipwa kuzitangazaUshasema ni ma rapper. Wao ili kuwa relevant lazma wa floss na benz ama beamer
Lexus mbona wanaitambua sanaNinachotaka kuelewa ndio hiyo nadharia ya kuweka gari ya Mzungu juu ya gari za Mjapani imeanzia wapi, kwa sababu sio bongo tu hata huko Marekani wanazipa heshima tena wengine bila hata kulipwa kuzitangaza
Muendesha vits ya 2003 akipambania S class wakat hata haijui kabisaMtu hata vitz hana anawaza S -class [emoji174][emoji23]