Sure kaka,nilikuwa nahakikisha sivuki Zaidi ya rpm 3,mpaka Sasa bado napga misele na full tank niliyoweka DarUkitembelea rpm vizuri kaka
Halfu speed wastani
Gari ikiwa na service nzuri
Hapo utapata consumption nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure kaka,nilikuwa nahakikisha sivuki Zaidi ya rpm 3,mpaka Sasa bado napga misele na full tank niliyoweka DarUkitembelea rpm vizuri kaka
Halfu speed wastani
Gari ikiwa na service nzuri
Hapo utapata consumption nzuri
Nimesafiri juzi kutoka Dar to Arusha na crown athletic ,niliweka full tank,mpaka nafka Arusha bado mafuta yapo tu
Hii imekaaje wakuu it means gari hangi inatumia vzuri mafuta?
Mkuu tairi laki 3 unalalamika? Mbona bei ya kawaida.Tairi saizi ngapi na ni aina gani
Yangu ilikuja na BridgeStone 225/45R18
Nlitoa nkaweka Triangle za mchina aseee nmetoa
Zinavuma sana ile kashata hapana
So nmerudisha zangu Bridgestone
Nmeshauriwa niweke kati ya hizi
-Dunlop
-Goodyear
-Michelin
-Continental
-Au Bridgestones yenyewe
Japo bei zimesimama tyre moja inaanzia laki3
Ila
-Joyroad na Trackmac ni laki1.70
-ceat ya india laki 3
-kapsen laki 2.25
-Hillo na Triangle ni laki 2 mpaka 2.30
Sema kusafiri Kwa Crown niraha Sana, full comfortability ,hakuna unyonge barabaraniHuwa natamani sana kusafiri na crown umbali mrefu
In my experience Nilitoka Arusha mpaka Mwanza na Brevis Ai250 hyo raha niliyokula sijawahi ona,nilienjoy sana ile safari
Siku nikisafiri na mercedez benz c class sjui kama ntalala
NB;kama sedan safari ndefu unaenjoy vile vipi kuhusu hizi prado LC new model mpya waliopewa mawaziri,kuna wana wanatafuna maisha [emoji3]
Sasa brevis nahisi ni mara mbili zaidi..maana kuna baadhi ya matuta unakua huyaoni vzuri kaama ni mgeni utayafukia sanaSema kusafiri Kwa Crown niraha Sana, full comfortability ,hakuna unyonge barabarani
Nimeshawahi kumiliki brevis Zaid ya mala mbili moja ilikuwa silver na ya mwisho ilikuwa maroon ,ni Gari nzuri Sana but Crown ni habari nyingne kabisa !!Sasa brevis nahisi ni mara mbili zaidi..maana kuna baadhi ya matuta unakua huyaoni vzuri kaama ni mgeni utayafukia sana
😂😂😂😂😂Una masihara chief
Huwa natamani sana kusafiri na crown umbali mrefu
In my experience Nilitoka Arusha mpaka Mwanza na Brevis Ai250 hyo raha niliyokula sijawahi ona,nilienjoy sana ile safari
Siku nikisafiri na mercedez benz c class sjui kama ntalala
NB;kama sedan safari ndefu unaenjoy vile vipi kuhusu hizi prado LC new model mpya waliopewa mawaziri,kuna wana wanatafuna maisha [emoji3]
tafuna maisha chifu usiogope mtu
CRown ipo more advancedNimeshawahi kumiliki brevis Zaid ya mala mbili moja ilikuwa silver na ya mwisho ilikuwa maroon ,ni Gari nzuri Sana but Crown ni habari nyingne kabisa !!
Ni sahihi ila Inategemea aina ya SUV piaKwenye lami Sedan zimetulia zaidi kuliko SUV (kama Prado), generally
Tumia lugha hii ya ukiweka mafuta ya 50k naenda km 150.au 130 inaeleweka vyema kuliko kuweka per litres.8-10 toun trips
Highway 13-14km/L
But nachoshauri crown usiweke mafuta ya efu 20 au 30
Yanawahi kuisha tofauti na ukiweka 50k au laki
Kuna jamaa aliwahi kueleza humu reason behind
But its practically true! Tia full tank unasahau
Mi ninayo grs180 mkuu hizi gari watu wanaziogopa tuu. Wese la 50k napiga town trips zangu toka mbezi beach to kariakoo kila siku week nzima. Ukiikanyaga vizur highway RPM iwe 2000 ikizid sana 3000 unapata consumption ya 14km/h ambapo ukiweka wese full tank 70Litres tena petrol station kama GBP, ENGEN, PUMA, TOTAL na ORYX unafika chuga na wese kibao lipo maana utatembea zaid ya 800km.Nimesafiri juzi kutoka Dar to Arusha na crown athletic ,niliweka full tank,mpaka nafka Arusha bado mafuta yapo tu
Hii imekaaje wakuu it means gari hangi inatumia vzuri mafuta?
Kitu huwez amini ukiwa na sedan njia ya kufunguka utaenjoy kuliko hizo SUV unazosema. Zile hata kona ukilala nayo unaona kama ndo mnaanguka. Ila sedan utawala tuu. Nimesafiri Moshi Dar na harrier tako la nyani zaidi ya mara moja tena ikiwa imekula nundu imetamia vizur ila kwenye kona hofu ilikuwepo. Kwenye crown nalala nayo na hufeel kitu unakuja kustuka kumbe umelala na 120 au 140Huwa natamani sana kusafiri na crown umbali mrefu
In my experience Nilitoka Arusha mpaka Mwanza na Brevis Ai250 hyo raha niliyokula sijawahi ona,nilienjoy sana ile safari
Siku nikisafiri na mercedez benz c class sjui kama ntalala
NB;kama sedan safari ndefu unaenjoy vile vipi kuhusu hizi prado LC new model mpya waliopewa mawaziri,kuna wana wanatafuna maisha 😀
Kitu huwez amini ukiwa na sedan njia ya kufunguka utaenjoy kuliko hizo SUV unazosema. Zile hata kona ukilala nayo unaona kama ndo mnaanguka. Ila sedan utawala tuu. Nimesafiri Moshi Dar na harrier tako la nyani zaidi ya mara moja tena ikiwa imekula nundu imetamia vizur ila kwenye kona hofu ilikuwepo. Kwenye crown nalala nayo na hufeel kitu unakuja kustuka kumbe umelala na 120 au 140
Kitu huwez amini ukiwa na sedan njia ya kufunguka utaenjoy kuliko hizo SUV unazosema. Zile hata kona ukilala nayo unaona kama ndo mnaanguka. Ila sedan utawala tuu. Nimesafiri Moshi Dar na harrier tako la nyani zaidi ya mara moja tena ikiwa imekula nundu imetamia vizur ila kwenye kona hofu ilikuwepo. Kwenye crown nalala nayo na hufeel kitu unakuja kustuka kumbe umelala na 120 au 140
Kweli kabisaMi ninayo grs180 mkuu hizi gari watu wanaziogopa tuu. Wese la 50k napiga town trips zangu toka mbezi beach to kariakoo kila siku week nzima. Ukiikanyaga vizur highway RPM iwe 2000 ikizid sana 3000 unapata consumption ya 14km/h ambapo ukiweka wese full tank 70Litres tena petrol station kama GBP, ENGEN, PUMA, TOTAL na ORYX unafika chuga na wese kibao lipo maana utatembea zaid ya 800km.
Plugs og kwa dar ulizipata duka gani mkuu?Hii yangu bado mpya
Nmeagiza mwenyewe mwaka huu
So nmefanya service castrol oil ,oil filter,air filter vyote og nmebadili oxygen sensor 1. So chuma iko poaa
Nazani kitu kinachoongeza ulaji wa mafuta
Ni poor services
Mfano jamaa angu ana crown kaweka plug za efu 15
Wakati plug OG zinaanzia efu40 @,oilfilter ya efu10[emoji2]
Gari lazima itakula mafuta tu,weka vitu og