robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Ndio maana siwezi tumia gari ya mjapani, mnarekani na mjerumani tu ndio chaguo langu.
Mbona naona kama yeye ndio kafuatwa upande wake!
duuu! mkuu. baada ya kliniki tu we ndani ya ndinga! mguu haufiki kwenye accelerator ila unakomaa!Kila mtu ana starehe yake mkuu, fikiria kuna wanao ona kuwa na mademu ni starehe zao, kuna wanywaji wa pombe ni starehe zao....
Kwangu mim starehe yangu ni kuvunja speed meter... Kifo tumeumbiwa binadamu, gari nimeanza kuendesha nikiwa na miaka 7, na miaka 19 naendesha gari... Enjoy
Ooh Lord [emoji26][emoji26][emoji26]Kufika salama ni jambo la kumshukuru Mungu... Huu mzinga si wa kitoto... Hata ukiwa road na speed 40 atatoka kichaa huko na speed zake anakuzoa...
Unajidai sana wewe wa manzese uwanja wa fisiNdio maana siwezi tumia gari ya mjapani, mnarekani na mjerumani tu ndio chaguo langu.
Unajidai sana wewe wa manzese uwanja wa fisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata mnunuaji wa chuma chakavu anaikataa!
ngoja sisi wamiliki phoenix tusitie neno, hamchelewi kutubatiza tunasumbuliwa na pepo za kwanini. mmh maana si kwa mchambo ule wa ist. hakika umewatoa watu shimoni.
Umenikumbusha PAJERODah ila chaser mayai na balloon ilivuma kuliko yote katika historia ya magari Tanzania Ukiondoa mitsubish intercooler 1993-1994 na vx 1995
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf ni raha tupuUnajidai sana wewe wa manzese uwanja wa fisi
Duh[emoji47]! RIP! [emoji848] kaingia uvunguni ama
Chukua mzee kama bado. Volvo XC90 ni tank. Hadi mwaka 2018 toka ianze kuuzwa UK, hakuna mtu aliyekufa kwa ajali akiwa kwenye hiyo gari.Mkuu Mimi ninaitamani sana XC90 kuna jamaa Kidatu anayo aliniambia ni nzuri ila spare ndogo ndogo kama filter hazipatikakani kiurahisi hii ikoje brother
Utakufa...huyu shetani si angechukua tu gari kama alivyochukua langu likiwa na mwezi 1 barabarani.sasa huyu kijana amechukua wa nini ukute ameacha hata binti wa watu ana ujauzito wa wiki 2. **** satan.
Kweli bana ajali haina kinga, unaweza kuwa sahihi na unazingatia usalama ila mwenzio gari ikamshinda akakuletea nzima nzima usoni. Au lorry likayumba na kudondoka kati kati halafu hapo umeiva uko 150KPH hadi kufunga breki unajikuta ushajaa.Siku ikifika huna ujanja. Hukumwona mh Kigwa waziri wa hao hao wanyama pori aliponea chupu chupu baada ya kugonga mnyama pori wake. Yaani mbwa kamla mbwa!!
Ajali haina utaalam. Waweza kuwa unaenda mwendo saafi tu 50kph bado akatokea kichaa au gari inayokuja mbele ikakatika stelingi ikakufuata ikakuua. Tumpe tu R.I.P jamaa yetu. Ila, kwa nini kafa mdogo hivyo jama!! Dah!
Huu ndio ukweli ambao siwezi bishana nao chief...Iko wazi!Tuache ushabiki wa Japanese vs European. Tujikite kwenye ukweli. Euro makes zipo juu kwenye handling,braking na hivi vinasaidia kuepusha ajali. Pia zipo juu kwenye cabin safety kumkinga aliendani. Lakini kuna ajali ni mbaya kiasi kwamba uwe kwenye Euro au Japanese kupona ni majaliwa. Japanese cars ziko vizuri kwenye reliability.