Hii kwi kwii.. kademu kanashobokaa akili zake tayari zilihamia kwa jamaa wa golf... kaliwish kangekuwa huko ...πππRRONDO hii kweli kichapo FC πππ upo sahihi kumiliki Golf GTI! Huu udhalilishaji wa mchana kweupe 4GR imegota 180KPH ila mwenye 260KPH anaendelea kuchanja mbuga
Wamechapwa vibaya, alafu wamesomeshwa namba.. heshima muhimu.. jamaa wa golf angemtaka hata na huyo demu wao angemchukua.. maana mtoto tayari alilowa kwa kuchezi mziki wa mselanitakuwa km Piriton, hivi vigari vidogo sifuatilii tena nyuma, tangu ile ya Arusha nimenyoosha
watoto wanafuta visahani lakini wanachapwa, sasa mbele ukikutana na jamaa kaharibikiwa na gari inajua tu ni mzinga
cc Mshana Jr RRONDO nimeamini Germany si mchezo VW vijana wetu hata mkanda hawataki wakati wapo 180km/h
Kadem full upambeHii kwi kwii.. kademu kanashobokaa akili zake tayari zilihamia kwa jamaa wa golf... kaliwish kangekuwa huko ...πππ
Wamechapwa vibaya, alafu wamesomeshwa namba.. heshima muhimu.. jamaa wa golf angemtaka hata na huyo demu wao angemchukua.. maana mtoto tayari alilowa kwa kuchezi mziki wa msela
Kati hiyo mbili unaipenda ipi hapoNasema Golf GTI au Polo GTI ziheshimiwe humu ndani ohooo.
HatariGTI ni Mnyama ndugu.
Kati hiyo mbili unaipenda ipi hapo
Poa kamanda wangu, utapata moja wapoYoyote hapo kwangu mwake japo Golf ipo kisasa zaidi.
Poa kamanda wangu, utapata moja wapo
Uko sahihi mkuu kuna siku niliipanda unasikia kabisa haijatuliaIpsum ni hatare jombiii ,ni nyepesi balaaa 100km/hryake ni kama 130km/hr
Golf R edition itakufaa zaidi.. utawapasua sana vifua wanao kufata fata πππJuhudi zimeanza 2021 ndani ya miaka 3 nikiwa na afya na uzima kwa uweza wa Juhudi zangu na Baraka za Mungu chuma itakua uwani model yoyote ile.
Na mie niombee nataka hii πππ..Nakuombea ila fanya miezi 21
Golf R edition itakufaa zaidi.. utawapasua sana vifua wanao kufata fata [emoji3][emoji3][emoji3]
Full pics pleaseUmeona kibati cha R edition kinapuyanga hadi 320.. hizi crown sijui taka tala gani lazima wamyweee tu... wakupishe mwanaume
Extrovert
View attachment 1677984
Umeona kibati cha R edition kinapuyanga hadi 320.. hizi crown sijui taka tala gani lazima wamyweee tu... wakupishe mwanaume
Extrovert
View attachment 1677984
Umeona kibati cha R edition kinapuyanga hadi 320.. hizi crown sijui taka tala gani lazima wamyweee tu... wakupishe mwanaume
Extrovert
View attachment 1677984