Tetesi: Tozo Mpya Kutuma fedha kwa simu kufa, Watanzania walia

Mwigulu haja wahi kuwa na mawazo positive. Lakini ni bora turudi bank ili aone anguko lake
 
Kodi ya uzalendo in Zungu voice.


Wacha wengi waumie ndio wataamka kudai haki. Bado wajinga ni wengi
 
Si bora upande gari kwenda Moro ukalipe ada ya mtoto na change inabaki unalipa umeme
 
Kwa kuwa Watanzania wengi ni wajinga na wanafiki, wacha kodi ziongezeke tu. Waweke na kodi ya kuishi mjini, iwe sh 50,000 kwa mwezi. Kuna mtu atakuwa na uwezo wa kupinga?

Udikteta hata siku moja haujawahi kuleta unafuu kwa mwananchi mahali popote Duniani. Hawa wabunge bandia walioteuliwa na marehemu 2020, kamwe hawawezi kumtetea mwananchi yeyote wala kuikosoa serikali. Serikali ndiyo iliyowapa ubunge kwa njia haramu na chafu, watapata wapi nguvu na uhalali wa kuihoji serikali kuhusiana na kodi mbaya?

Mbunge ambaye alifanya kununuliwa kama tenga la nyanya kutoka chama cha upinzani kwenda CCM, akashindwa kwenye kura za maoni, marehemu akampitisha, wananchi walikuwa hawamtaki, mkurugenzi kwa amri ya marehemu, akamtangaza mbunge, anawiwa na nini hata amtetee mwananchi ambaye hakumchagua?

Waliopo bungeni awamu hii, siyo wawakilishi wa wananchi bali ni mamluki wa serikali waliopo kwaajili ya kuwapumbaza wananchi wajinga wafikirie kuna wawakilishi wao bungeni.
 
Wala sikomolewi , shughuli zangu zinahitaji uimara wa barabara sasa mkuu bila hivyo nitazidi kupata hasara.

Kukatwa hicho kiasi kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ni sawa kwangu
Kwenye hiyo barabara utakuwa unatembea kwa miguu? Kwenye mafuta nako hakushikiki. Kodi pekee yake ni sh 1,113.
 
Alikuwa anapora fedha kwenye account za watu, na kukopa sana. Si ulimsikia Mwigulu kuwa deni limekuwa kubwa sana, na karibia tutafikia ukomo wa kukopa? Hivyo hakuna namna nyingine zaidi ya kuchangishana.
 
Hii kodi ni kichefuchefu, ikifuatiwa na ya mafuta , Mafuta ile kodi ya sh mia inaenda leta shida kubwa Sana, Kama ndo wasomi wa uchumi,japo mie sio mchumi basi elimu ya wachumi wetu zichunguzwe,
 
Hii kodi ni kichefuchefu, ikifuatiwa na ya mafuta , Mafuta ile kodi ya sh mia inaenda leta shida kubwa Sana, Kama ndo wasomi wa uchumi,japo mie sio mchumi basi elimu ya wachumi wetu zichunguzwe,
Shida ije tuu uchumi uta offset baada ya mda kwa vile pesa inarejea kuzunguka mtaani kwa hiyo hakuna shida.
 
Wanaokatwa hiyvyo ni wachadema au wote tunaisoma namba
 
Udikteta gani? Unaujua kweli wewe au una hamu?
 
Chama Cha Mazezeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…