Tozo Mpya: Kwa tabia za Watanzania, Rais Samia kazia hapohapo

Tozo Mpya: Kwa tabia za Watanzania, Rais Samia kazia hapohapo

Wewe ni mwehu kweli. Madeni hayo yameleta tija gani ya kushawishi mtu alipe tozo? Kama lengo ni mradi mradi gani uliokamilika na kuleta tija hadi sahizi ya kumfanyia ahueni mtanzania?

Magufuli alitukamua makende ila hatime safari ya buguruni mwenge ilibadilika toka masaa 3 hadi dakika 25! Hivi ndio vitu vitatupa moyo wa kutoa tozo bila kulalamika.
Kama huna mtoto form five na six sisi wengine tuna watoto form five na six hawalipi ada saivi na hayo ndo manufaa ya kodi na tozo
 
Huwezi kukwepa kodi lazima Serikali itaipata tu hela yako kwa hii mikakati kabambe labda ukaishi porini kama Chui
Wewe amini hivyo. Ila ukwepaji uko pale pale. Mtaambulia sehemu tu. Ila hamtapata zote.

Yaani wakati serikali yako inazaidi kutukamua, na sisi tunaumiza zaidi vichwa kugundua namna bora na rafiki zaidi ya kukwepa.
 
Wewe amini hivyo. Ila ukwepaji uko pale pale. Mtaambulia sehemu tu. Ila hamtapata zote.

Yaani wakati serikali yako inazaidi kutukamua, na sisi tunaumiza zaidi vichwa kugundua namna bora na rafiki zaidi ya kukwepa.
Nakwambiaje labda ukaishi porini kama swala au Chui ila pesa yako serikali wataipata tu
 
Huoni zikitumika ipasavyo barabara zinajengwa kwa hela yako? Gharama za ada form five na Six zinafidiwa kwa hela yako? Madeni ya mikopo yanalipwa kwa pesa yako?
hizo ni ndogo kulinganisha na kodi zinazokusanywa!!!ni asilimia 5% ya kodi yotee
 
Nakwambiaje labda ukaishi porini kama swala au Chui ila pesa yako serikali wataipata tu
😁😁😁 Mtaendelea tu kupigwa za uso. Zaidi mtawaumiza wale wanyonge wa Magufuli. Ila siyo wafanyabiashara.

Tutaendelea tu kucheza ule mchezo wa paka na panya mpaka kieleweke.
 
Atuelezee 95% ya kodi inafanya nini chenye tija?
Kwa iyo dawa za mahospitali unanunua wewe, barabara za tarula unajenga wewe kwa pesa yako, madaraja unajenga wewe kwa pesa yako? Madeni ya mikopo ya nje ikiwemo wa ujenzi wa SGR unalipa wewe kwa pesa yako?
 
Atuelezee 95% ya kodi inafanya nini chenye tija?
Tatizo la hawa jamaa huwa wanajiona wana akili sana. Yaani wewe uhangaike juani, hela ukope benki kwa masharti magumu ya kuwekea dhamana ya mali isiyo hamishika!

Halafu faida mgawane pasu kwa pasu! Huku wenyewe wakiwa kwenye viyoyozi na mavitambi yao! Yaani ni mwendo tu wa kukwepa.
 
Naungana na raisi, Kodi lazima ikusanywe japokuwa mtoa mada HAUNA AKILI HATA KIDOGO
 
Tatizo la hawa jamaa huwa wanajiona wana akili sana. Yaani wewe uhangaike juani, hela ukope benki kwa masharti magumu ya kuwekea dhamana ya mali isiyo hamishika!

Halafu faida mgawane pasu kwa pasu! Huku wenyewe wakiwa kwenye viyoyozi na mavitambi yao! Yaani ni mwendo tu wa kukwepa.
Dawa ni hio hio hakuna chengine. Mpaka siku ambapo wataamua kutoa rekodi za makusanyo ya tozo.. Sahizi hawatoi sababu wanaiba sana hela humo.

Kaka katika miamala ya trillion 9 kwa mwezi mtu anakwambia eti kakusanya billion 40? Hivi inaingia akilini kweli?

Yani asipate hata 1% ya miamala kweli? Yani ni uongo mtupu. Wanapata tozo almost billion 100 kila mwezi. Ila alizozisema ni 40B tu.
 
Tatizo la hawa jamaa huwa wanajiona wana akili sana. Yaani wewe uhangaike juani, hela ukope benki kwa masharti magumu ya kuwekea dhamana ya mali isiyo hamishika!

Halafu faida mgawane pasu kwa pasu! Huku wenyewe wakiwa kwenye viyoyozi na mavitambi yao! Yaani ni mwendo tu wa kukwepa.
Kwanza kodi imeanza kulipwa karne hii? Au mpagani wewe? Husomi hata Biblia na Quran?
 
Back
Top Bottom