Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali inachukua pesa nyingi kuliko Mungu.Rekebisha kwenye gar mkuu.
Tozo/Kodi kwenye magari ni 100%-120%.
Yaani kama gari umenunua milion 9 hadi kufika bandarini, lakini utatumia milioni 9-12 kuitoa bandarini na kuiingiza road.
asilimia 70 tunashinda vijiweni kunishana simba na yanga, Hatufahamu mifumo ya serikali inaendaje. wacha tupigwe tuUnakuja kukuta asilimia 70 ya watanzania hawapo aware na hivi vitu na kibaya zaidi unakuta hawajali!..
Hivi wakenya na sisi tuna tofauti gani mbona wenzetu raia wao wapo smart sana vichwani mwao!!? Sisi huwa tunakwama wapi?
Baraza la TaifaTataizo hapa ni BT
Mzungu alichelewa kuondokaUnakuja kukuta asilimia 70 ya watanzania hawapo aware na hivi vitu na kibaya zaidi unakuta hawajali!..
Hivi wakenya na sisi tuna tofauti gani mbona wenzetu raia wao wapo smart sana vichwani mwao!!? Sisi huwa tunakwama wapi?
La saba unawakosea mule bungeni kuna PhD kobao na Masters za kutosha tu.Just imagine wafanyabiashara wanatoka mwanza kwenye Kampala kununua mzigo ulotoka China na Uturuki.
Huu ujinga unasababishwa na Bunge letu tukufu kutokana na Akina la saba. TRA tunawaonea (japo wana makandokando yao) lakini shida ilipo tunapajua
Kweli kabisa. Angalau kama ni Kodi 14 angechajiwa another 4M to make 18M t9 be fair.Niliposikia nilikata tamaa. Kuna jamaa yangu aliagiza gari la 14m huko mbele.
Hadi lilipofika mikononi analiendesha, ametumia 16m hivyo kumfanya atumie 30m.
Tutaishia kununa wanayoacha wenye nguvu.
Kodi kubwa alafu matumizi ya hiyo kodi chengaKweli kabisa. Angalau kama ni Kodi 14 angechajiwa another 4M to make 18M t9 be fair.
Cha ajabu hizo kodi sasa zinapigwa na wajanja na ukisema sema sana wana kurestisha in Pisi
Watanzania asilimi 90 ni wajingaUnakuja kukuta asilimia 70 ya watanzania hawapo aware na hivi vitu na kibaya zaidi unakuta hawajali!..
Hivi wakenya na sisi tuna tofauti gani mbona wenzetu raia wao wapo smart sana vichwani mwao!!? Sisi huwa tunakwama wapi?
Hii inauma sana kwakweliKodi kubwa alafu matumizi ya hiyo kodi chenga
Ogopa sana taifa ambalo watu wake kipaumbele namba moja ni K na Dyudyu hata Yesu arudi hilo taifa litakuwa hivyo hivyo.Unakuja kukuta asilimia 70 ya watanzania hawapo aware na hivi vitu na kibaya zaidi unakuta hawajali!..
Hivi wakenya na sisi tuna tofauti gani mbona wenzetu raia wao wapo smart sana vichwani mwao!!? Sisi huwa tunakwama wapi?
😅😅😅Mpka Siku Akili Iwakae Sawa Hizo Kodi Mlipe Tu Tena Nasema Mlipe
Unakuja kukuta asilimia 70 ya watanzania hawapo aware na hivi vitu na kibaya zaidi unakuta hawajali!..
Hivi wakenya na sisi tuna tofauti gani mbona wenzetu raia wao wapo smart sana vichwani mwao!!? Sisi huwa tunakwama wapi?
mh kwa bandari ya Zanzibar uwongo labda KenyaGari tu kodi ni zaidi ya 100% bado tozo mbalimbali za TPA hii nchi ngumu sana. Ndomana wafanyabiashara sahvi wanatumia bandari ya kenya na Znz