Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Ndio mnashtuka sasa!View attachment 2624250
0.25P + 0.1(1.25P) + 0.18(1.35P) = 62.25%
Kwa kodi hizi za kimafia haziwezi zikaleta maendeleo, ni sawa na kichaa aanetaka kuibeba ndoo kwa kuingiza miguu yake na kujaribu kuibeba,
Na hii mikodi yote iliyokuwepo kuna kipi kipya cha kujitambia kilicholetwa na hizi kodi ? Na bado mnaendelea kuomba mikopo kutoka nje what the hell justifies huu unyama ?