peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Serikali ya punguza tozo la miamala kwa 30%View attachment 1918334View attachment 1918335
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya punguza tozo la miamala kwa 30%View attachment 1918334View attachment 1918335
Pongezi kwa lipi ewe mataga wa lumumba?Pongezi
Unatengeneza tatizo unapiga kadhaa kisha unalitatua kwa kupunguza kidoogo halafu unapongezwaWaziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 31, 2021 ametia saini mabadiliko ya tozo za miamala ambapo serikali imepunguza 30% na makampuni ya simu Kupunguza 10% kutoka kwenye gharama za awali za ufanyaji wa miamala.
Mataga: Tozo ilipwe serikali ya ccm oyeeee!Serikali chini ya CCM ni wajinga sana, yaani wametengeneza tatizo kisha wanalitatua ili ionekane serikali chini ya mama Samia ni sikivu, wajinga ndio waliwao wasifikiri watanzania ni wajinga kiasi hicho…
Kamanda Ccm hawafai.Unatengeneza tatizo unapiga kadhaa kisha unalitatua kwa kupunguza kidoogo halafu unapongezwa
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Serikali ya punguza tozo la miamala kwa 30%View attachment 1918334View attachment 1918335
Kweli unaitendea salary slip yako haki, kwani siku zote uko front.Hakuna mkate ngumu mbele ya chai.
Hakika mitandao imekuwa ni sauti ya wananchi na si hili Bunge.
Waliohamia Burundi-kama wapo- Waziri awaombe warudi.