Tozo za Miamala: Serikali yapunguza viwango kwa 30%. Watoa huduma za simu waridhia kupunguza 10%
Binafsi nimekereka sana kwa Serikali kupunguza Tozo.
nilikuwa najisikia faraja na fahari kuchangia na haswa nilipo sikia ndani ya mwezi 1 tulichangia zaidi ya 40Billion.
 
Bado kubwa sana aiseeh!! Washanogewa[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Mlisema tozo haziwezi kubadilika kwamba ni sheria, leo mnajikosha kupunguza 30%.....endeleeni kufanya mizaha, wekeni na kwenye bili za maji mkusanye za kutosha, maana haya ma VIIEITE yanafakamia sana mafuta.....
 
Hatua nzuri lakini bado makampuni ya simu yanapiga fedha kubwa sana kupitia tozo za miamala serikali iendelee na iwabane hii 10% ni kidogo/kiduchu sana makampuni wapunguze wafike angalau 40%
 
izo asilimia wanataka kutuvuruga tu waseme kwa hela labd kutoka 1000 hd 600 izo asilimia wabaki nazo
 
Mimi tusitafutane pesa yangu natuma kwenye basi kwenda upareni kwa mama,tena kirahisi sana leo nimetuma asubuhi saa saba mama kashapata ,vichenchi vinavyobaki akiba benk ya makabwela ,kama baba yako na mama ni wapare ,unapozaliwa tu una bachelor of economic
Economics havae!
 
Binafsi nimekereka sana kwa Serikali kupunguza Tozo.
nilikuwa najisikia faraja na fahari kuchangia na haswa nilipo sikia ndani ya mwezi 1 tulichangia zaidi ya 40Billion.
 
Mfano mwanzo nilikuwa nalipa gharama za kutuma 1,000/- unapndisha hadi 2,000/- baadae unashusha Hadi 1500/- kweli wajinga ndio waliwao!
 
Ndugu gayi toka aende India kutibiwa karudisha mwili tuu Akili zimebakia huko huko. Nadhani ndio maana kichaa aliyeko kuzimu alisema huwa anateua vichaa wenzie. Walio kuwa wabishi tulipo kuwa tukiwaambia inchi inaendeshwa na vichaa sasa kwa kauli hizi wanaanza kuelewa.
 
Back
Top Bottom