TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Walitakiwa walipunguze Kwa 100%,Wangepunguza 60% ikabaki 40% ingependeza zaidi.
Kwani Makampuni si yanalipa Kodi tunapofanya miamala? Kwanini tuilipe Serikali Mara mbili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitakiwa walipunguze Kwa 100%,Wangepunguza 60% ikabaki 40% ingependeza zaidi.
Bado punguzo ni dogo sana! Tuendelee kutumia benki!Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesaini marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya kutuma na kutoa Fedha na kupunguza viwango vya tozo kwa 30%
Pia Serikali imejadiliana na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwango vya tozo wanazotoza kati ya mtandao na mtandao mwingine kwa 10%
Viwango vilivyopunguzwa vitatangazwa rasmi Septemba 01, 2021
Taarifa Kamili:
View attachment 1918332
Bado tozo ni kubwa sana. Zilipaswa kupunguzwa kwa 91%Kwahio Punguzo hilo, litakuwa ni Ongezeko la Asilimia ngapi kutoka tulipokuwepo Awali....
Hii inanikumbusha story ya ukitaka kumchemsha chura ongeza moto kidogo kidogo..., ila huenda hapa ni kuweka moto mkali kuliko ili ukipunguza kidogo mtu aone ahueni ila kumbe bado ni moto mkali
Jeuri yule, alisema tozo tutatoa tuTunatarajia na kumshauri atoke hadharani aombe radhi wafuasi wote wa Kristo Mfalme na kutubu kwa Mungu kwa kupotosha Neno lake Takatifu akiwa katika kiti cha Spika wa Bunge la JMT.
Bado Sana wanatulea utani hawaingekuwa 50% bado tozo kubwa jaman! yaann badala ya elf kumi imekuwa 7 bora ingekuwa 4
Hili sio Punguzo..., Ni punguzo la ONGEZEKO kwahio kwa lugha nyingine ni ONGEZEKO la zaidi ya asilimia 50%Bado tozo ni kubwa sana. Zilipaswa kupunguzwa kwa 91%
Bob Marley n the wailers...!!!nimerudi kidogo form two
Maneno ya wimbo
Get up, stand up (Oh yeah) stand up for your rights (Lord, Lord)
Get up, stand up (In the morning) stand up for your rights (Stand up for your rights)
Get up, stand up (Stand up for your life) stand up for your rights (Stand up for your life)
Get up, stand up (Stand up for your life) don't give up the fight!
Oh I say
Preacher man, don't tell me
Heaven is under the earth
I know you don't know
What life is really worth
It's not all that glitters is gold
'Alf the story has never been told
So now you see the light, eh
Stand up for your rights
Get up, stand up (Lord, Lord) stand up for your rights (What you got to give?)
Get up, stand up (For the life you live) don't give up the fight (Yeah)
Get up, stand up (Life is your right) stand up for your rights (Without life you can't fight)
Get up, stand up (Keep the good time calling) don't give up the fight (Oh Lord)
Most people think
Great god will come from the skies
Take away everything
And make everybody feel high
But if you know what life is worth
You will look for yours on earth
And now you see the light
You stand up for your rights jah
Get up, stand up! (Jah, jah!)
Stand up for your rights! (Oh-hoo!)
Get up, stand up! (Get up, stand up!)
Don't give up the fight! (Life is your right!)
Get up, stand up! (So we can't give up the fight!)
Stand up for your rights! (Lord, lord!)
Get up, stand up! (Keep on struggling on!)
Don't give up the fight! (Yeah!)
We sick an' tired of-a your ism-schism game
Dyin' 'n' goin' to heaven in-a Jesus' name, lord
We know when we understand
Almighty god is a living man
You can fool some people sometimes
But you can't fool all the people all the time
So now we see the light (What you gonna do?)
We gonna stand up for our rights! (Yeah, yeah, yeah!)
So you better
Get up, stand up! (In the morning! git it up!)
Stand up for your rights! (Stand up for our rights!)
Get up, stand up!
Don't give up the fight! (Don't give it up, don't give it up!)
Get up, stand up! (Get up, stand up!)
Stand up for your rights! (Get up, stand up!)
Get up, stand up! (Don't be a neighbour in your neighbourhood)
Don't give up the fight! (Get up, stand up!)
Get up, stand up! (I don't think that should be very good, Lord)
Stand up for your rights!
Get up, stand up!
Don't give up the fight
Mbona tayari wamesha tangaza mafuta yatapanda bei kuanzia kesho.Sio wapunguze waitoe kabisaa,
Hii ni danganya toto utasikia kesho petrol imepanda.
Umeishiwa umeme,umeishiwa salio.Huna Salio huwezi nunua Salio toka account yako ya bank.
Wachawi acheni roho mbaya za kuwaroga walio na faida kwenye Jamii.
Hata tozo nanyi ni waathirika