Tozo za Miamala: Serikali yapunguza viwango kwa 30%. Watoa huduma za simu waridhia kupunguza 10%
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesaini marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya kutuma na kutoa Fedha na kupunguza viwango vya tozo kwa 30%

Pia Serikali imejadiliana na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwango vya tozo wanazotoza kati ya mtandao na mtandao mwingine kwa 10%

Viwango vilivyopunguzwa vitatangazwa rasmi Septemba 01, 2021

Taarifa Kamili:

View attachment 1918332
Bado punguzo ni dogo sana! Tuendelee kutumia benki!
 
Kwahio Punguzo hilo, litakuwa ni Ongezeko la Asilimia ngapi kutoka tulipokuwepo Awali....

Hii inanikumbusha story ya ukitaka kumchemsha chura ongeza moto kidogo kidogo..., ila huenda hapa ni kuweka moto mkali kuliko ili ukipunguza kidogo mtu aone ahueni ila kumbe bado ni moto mkali
Bado tozo ni kubwa sana. Zilipaswa kupunguzwa kwa 91%
 
Tunatarajia na kumshauri atoke hadharani aombe radhi wafuasi wote wa Kristo Mfalme na kutubu kwa Mungu kwa kupotosha Neno lake Takatifu akiwa katika kiti cha Spika wa Bunge la JMT.
Jeuri yule, alisema tozo tutatoa tu
 
Bado ni nyingi sana. Serikali ibuni vyanzo vingine vya mapato sio kunyonya raia wanyonge.
 
nimerudi kidogo form two
Maneno ya wimbo
Get up, stand up (Oh yeah) stand up for your rights (Lord, Lord)
Get up, stand up (In the morning) stand up for your rights (Stand up for your rights)
Get up, stand up (Stand up for your life) stand up for your rights (Stand up for your life)
Get up, stand up (Stand up for your life) don't give up the fight!
Oh I say
Preacher man, don't tell me
Heaven is under the earth
I know you don't know
What life is really worth
It's not all that glitters is gold
'Alf the story has never been told
So now you see the light, eh
Stand up for your rights
Get up, stand up (Lord, Lord) stand up for your rights (What you got to give?)
Get up, stand up (For the life you live) don't give up the fight (Yeah)
Get up, stand up (Life is your right) stand up for your rights (Without life you can't fight)
Get up, stand up (Keep the good time calling) don't give up the fight (Oh Lord)
Most people think
Great god will come from the skies
Take away everything
And make everybody feel high
But if you know what life is worth
You will look for yours on earth
And now you see the light
You stand up for your rights jah
Get up, stand up! (Jah, jah!)
Stand up for your rights! (Oh-hoo!)
Get up, stand up! (Get up, stand up!)
Don't give up the fight! (Life is your right!)
Get up, stand up! (So we can't give up the fight!)
Stand up for your rights! (Lord, lord!)
Get up, stand up! (Keep on struggling on!)
Don't give up the fight! (Yeah!)
We sick an' tired of-a your ism-schism game
Dyin' 'n' goin' to heaven in-a Jesus' name, lord
We know when we understand
Almighty god is a living man
You can fool some people sometimes
But you can't fool all the people all the time

So now we see the light (What you gonna do?)
We gonna stand up for our rights! (Yeah, yeah, yeah!)
So you better
Get up, stand up! (In the morning! git it up!)
Stand up for your rights! (Stand up for our rights!)
Get up, stand up!
Don't give up the fight! (Don't give it up, don't give it up!)
Get up, stand up! (Get up, stand up!)
Stand up for your rights! (Get up, stand up!)
Get up, stand up! (Don't be a neighbour in your neighbourhood)
Don't give up the fight! (Get up, stand up!)
Get up, stand up! (I don't think that should be very good, Lord)
Stand up for your rights!
Get up, stand up!
Don't give up the fight
Bob Marley n the wailers...!!!

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Ili Kujua Punguzo la Kweli unapaswa Kujua Ongezeko la tangu awali kwa hili punguzo ni Ongezeko la kiasi gani....

Kumbuka Tuzo zilikuwepo..., Zikaongezeka Maradufu..., Hili Punguzo ni kupunguza hilo Ongezeko

Kwahio Serikali imepunguza Ongezeko. Correct Statement ni Serikali Kuongeza Tuzo kwa Asilima kadhaa ni dhihaka kwa watumiaji
 
Nikweli punguzo za tozo hazitoshi aaisee tunapambbana sana kujijenga pamoja na kukosa ajira lakini bado mambo yanazidi kuwa magumu tukijutahidi kuinuka tunarudi chini serikali itafute namna nyingine ya kupata hela au idili na wanaotaka hizo tozo sisi bado sanaa kumudu haya makato...
 
Umeishiwa umeme,umeishiwa salio.Huna Salio huwezi nunua Salio toka account yako ya bank.
Wachawi acheni roho mbaya za kuwaroga walio na faida kwenye Jamii.
Hata tozo nanyi ni waathirika
 
Tutafanya mahesabu ngoja watoe mkeka mpya wa viwango vya tozo
 
Umeishiwa umeme,umeishiwa salio.Huna Salio huwezi nunua Salio toka account yako ya bank.
Wachawi acheni roho mbaya za kuwaroga walio na faida kwenye Jamii.
Hata tozo nanyi ni waathirika

Sema serikali hili swala naomba waliwaze mara mbili mbili tutaanza kutembea suruale zimetoboka sasa...
 
Back
Top Bottom