Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Hela iliopunguzwa mtailipia sheli😅 unabanwa na plies sikioni wakiachilia wanaenda kubana kidoleNaona kabisa hapa serikali imepunguza viwango kwa shinikizo toka kwa wananchi, lakini kama vitu vingine bado hawajavigusa kama mafuta ya kupikia, gas na mengine.
Nadhani watatafuta sehemu nyingine wakafidie hilo pengo, serikali isimkandamize mwananchi wa kawaida, ibuni na kusimamia vikubwa tulivyojaliwa na Mungu.
Nashauri serikali ingebaki na hivyo viwango vipya bila kuongeza pengine.
Call it whatever ila hio ndio namna tozo inafanya kaziHapana wazo lako haliko sahihi, mtumaji ndo hapaswi kukatwa kodi, hii ndo inaitwa double taxation, miamala inayotakiwa kutozwa kodi ni ile ya kutoka fedha kwa wakala, make anayetoa pesa kwa wakala anahesabika ndo final consumer, na hiyo ndo misingi ya taxations
sahihi kabisa.Wapunguze matumizi kama kununua mashangingi, kulipana posho za kukaa pale Mjengoni na anasa nyingine nyingi.
Nimeandika mara10 nikafuta,..Mbona tayari wamesha tangaza mafuta yatapanda bei kuanzia kesho.
Hawa wapuuzi ni hovyo kabisa.
Tukana tu mkuuNimeandika mara10 nikafuta,..
Nilikuwa nimewatukana bonge la tusi.
Sio kila mtandao mpaka uwe na salio ndio uingie menu ya benki mfano airtelUmeishiwa umeme,umeishiwa salio.Huna Salio huwezi nunua Salio toka account yako ya bank.
Wachawi acheni roho mbaya za kuwaroga walio na faida kwenye Jamii.
Hata tozo nanyi ni waathirika
Na maendeleo msipoyaona mlaume tena?Wangepunguza 60% ikabaki 40% ingependeza zaidi.
Unajua sababu ya mafuta kupanda bei?Mbona tayari wamesha tangaza mafuta yatapanda bei kuanzia kesho.
Hawa wapuuzi ni hovyo kabisa.
Usitukane fuatilia bei duniani ni kiasi gani sasa hivi na usafirishaji bei imeongezeka hivyo bei inapanda automaticallyNimeandika mara10 nikafuta,..
Nilikuwa nimewatukana bonge la tusi.
Voda jeSio kila mtandao mpaka uwe na salio ndio uingie menu ya benki mfano airtel
hawa watu kwanza wangekuwa na nia njema na wananchi wangepunguza matumizi ya serikali ambayo ni makubwa kupita kiasiNimeona kwe taarifa ya habari ya ITV kwamba waziri wa fedha ameidhinisha rasmi punguzo la tozo kwa 30%.
Bado punguzo hili halitoshi kwa tozo hizi zinazoumiza watanzania. Nilitegemea zipunguzwe kwa 90% au zaidi ili zihimilike.
Lakini posho zao hawataki zikatwe chochoteAcheke yeye na Mwigulu
Kero hii haikuwepo ameileta mwenyewe na amekataa kuiondoaMAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
NB, Hili punguzo linamaana gani ?!
Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,
Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.
...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Kodi haitozwi hivyo kwamba kila muamala ni 500, kodi lazima iwe na usawa yule mwenye kidogo alipe kidogo na mwenye kikubwa alipe kikubwaHuyu maza angeweka tozo ya shilingi 500 kila muamala ilikuwa tosha kabisa badala ya hii biashara yao na Mwigulu
Usitukane fuatilia bei duniani ni kiasi gani sasa hivi na usafirishaji bei imeongezeka hivyo bei inapanda automatically