MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
NB, Hili punguzo linamaana gani ?!
Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,
Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.
...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...
View attachment 1919029