Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kodi hailipwi kwa style hii mkuu, hii no kuumizana. Kwani hapo swali madarasa na vituo vya afya vilikuwa havijengwi? Hakuna anayekataa kulipa Kodi lakini this is too muchLIPA KODI; Jenga nchi
Zile Billion 250 malipo ya awali ya ndege wangejenga vituo vingapi? 800, kipi muhimu ndege au zahanati?AWAMU HII YA 6 imeona kitu....
AWAMU HII YA 6 inatambua vyema MALALAMIKO YA BAADHI YA WATANZANIA kuhusu TOZO mbalimbali......
Ila......
IMEONA KITU.....
Ndani ya mwezi tu baada ya makusanyo ya zile BILIONI 63....zikapelekwa kujengewa vituo vya afya zaidi ya 200....
HILI HALIJAWAHI KUTOKEA.....
Ni suala la muda tu WATANZANIA TUTAMUELEWA VYEMA MH.SSH......
#MwanzoMgumu
#SiempreJMT
#TozoKwaMaendeleoYetu
#SemaUtaifanyiaNiniNchiYakoTulivuNaYenyeAmaniKulikoZoteAfrika
Hakika na alisema mtanikumbuka. Sasa hata mwaka halijaisha tushaanza kumkumbuka.Kmmmk walai Magufuli alikuwa mwanaume, nchi ilisonga bila kuumizana wala kelele
Mkuu wangu UVIKO itaisha ndugu.....Zile Billion 250 malipo ya awali ya ndege wangejenga vituo vingapi? 800, kipi muhimu ndege au zahanati?
@Crimea Musiba mwingine wa awamu ya 6 aliyekurithi huyu hapaAWAMU HII YA 6 imeona kitu....
AWAMU HII YA 6 inatambua vyema MALALAMIKO YA BAADHI YA WATANZANIA kuhusu TOZO mbalimbali......
Ila......
IMEONA KITU.....
Ndani ya mwezi tu baada ya makusanyo ya zile BILIONI 63....zikapelekwa kujengewa vituo vya afya zaidi ya 200....
HILI HALIJAWAHI KUTOKEA.....
Ni suala la muda tu WATANZANIA TUTAMUELEWA VYEMA MH.SSH......
#MwanzoMgumu
#SiempreJMT
#TozoKwaMaendeleoYetu
#SemaUtaifanyiaNiniNchiYakoTulivuNaYenyeAmaniKulikoZoteAfrika
Ukweli ni Huu...Habari wakuu,
Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema.
Kwanini Serikali wasingetumia pesa za kununulia ndege zisizozalisha na gharama za kufanya royal tour kufanya yote wanayotaka kufanya. Ni muda wa kufikiria kupunguza matumizi badala ya kututoza kodi mara mbili mbili kuongeza mapato kufanya matumizi yasiyo na kipaumbele au umuhimu.
View attachment 1926880
Mbususu iliyotumika zaidi ya mwaka 1 unaiongezaje thamani ????Tulipe kodi..kwa maendeleo ya Taifa letu..
Dada zetu wa Corner bar,Mwananyamala,Uwanja wa Fisi,Sudan,Kigamboni na kwingineko nchini biashara yao iongezwe thamani waanze kulipa kodi..
Natamani kama unafanya jokes tu nitakuelewa ila kama uko serious....mhhh. shirika la ndege lilikufa kabla ya Corona. Kweli tumefikia mwisho wa kuwaza kukusanya kodi tunawatumia watu dhaifu tutauwa kama tuliyouwa korosho taratibu tu.Mkuu wangu UVIKO itaisha ndugu.....
Hizo ndege zinakwenda KUINUA uchumi wetu BAADA TU ya kufunguliwa kwa anga za kimataifa....
Mkuu hulioni lengo la ROYAL TOUR ?!!!!
Liko kimkakati zaidi sambamba na UNUNUZI WA HIZO NDEGE.....
Ni suala la muda tu tutaelewa.....
Mkuu usisahau SERIKALI hiyohiyo ina mipango mingi mno ya kutekeleza....si sekta ya afya pekee....
#SiempreJMT
#TozoMuhimuKwaMaendeleoYetu
Wanaupiga Mwingi serikaliJana asubuhi namtumia pesa mdau kijijini akiwa na line ya voda mi nikiwa na tigopesa niliona hii issue ni sio,ni WIZI kama wizi mwingine ambapo Serikali ikishirikiana na sekta binafsi(Banks na Makampuni ya simu) Kuwaibia wanyonge.Nilikuwa nimtumie mdau kama laki 1 (100,000 tsh) . Mi asubuhi kucheck sina pesa kwenye tigopesa hivyo ikabidi nihamishe 110,000 toka CRDB kwenda tigopesa.
Kucheck gharama ya muamala huo kwa benk ni tsh 6500 hv. Yaani 5400 na VAT 940. Sasa ikafika hatua ya kutuma tigo pesa kwenda mpesa ikanicost tena tsh 4500. Hapo jumla sh 11,000. Kama gharama ya kuhamisha benk CRDB to tigopesa na tigopesa kwenda Mpesa. Ilibidi nitume 106,000 ili naye aweze kutoa hiyo 100,000.
So jumla ya kuhakikisha mdau anapata 100,000 nilitumia 11,000 ya awali na 6000 jumla 17,000. Hii ni zaidi ya riba ya kukopeshana kwenye mabenki kwa mwaka mzima. Gharama nilioingia ni 17% ya laki 1 ndani ya dk 2 tu za kufanya muamala huo. Wakati mtu angekopa laki 1 angelipa laki 1 na riba elfu 15 ndani ya mwaka mzima.
Kwa hili hatari iliyopo ni kwamba watakaothirika ni ndugu zetu ambao wanatutegemea kwa namna moja au nyingine. Mfano ikiwa Huna pesa kabisa ingebidi ubalance hiyo laki itoshe kila kitu. So huenda yule mdau angepokea 83,000 na kushindwa kutimiza lengo na kama lengo ni matibabu, ada ya shule n.k hapo inakuwa hatari zaidi.
Hatari nyingine ni kwamba tunarudi nyuma miaka 20 hivi. Maana itabidi watu waingie ndani benki kutoa akaunti moja na kuingiza akaunti nyingine na hivyo hatari ni kuwa lengo la kujenga zahanati, madarasa halitatimia kwa kuwa miamala hiyo haina tozo na mwakani itabidi turudi kufuta hili.
Najua kukosea huwa kupo kwa kilabinadamu Including serikali. Wangesawazisha hili mapema kwa kukusanya kidogo mfano 1000 au 500 kwa transactions na namba ya miamala ingekuwa mingi miamala ambayo inafanyika na lengo lingetimia bila kumuumiza mtu wa chini. Hili hawajachelewa ila wakiendelea hivi watapoteza vyote ikiwemo trust kwa wananchi na pesa wanaotegemea kukusanya.
Mkuu usemayo yana MANTIKI...shirika letu la NDEGE limekuwa na changamoto NYINGI MNO NA ZA KUTOSHA TU...Natamani kama unafanya jokes tu nitakuelewa ila kama uko serious....mhhh. shirika la ndege lilikufa kabla ya Corona. Kweli tumefikia mwisho wa kuwaza kukusanya kodi tunawatumia watu dhaifu tutauwa kama tuliyouwa korosho taratibu tu.
😲😲@Crimea Musiba mwingine wa awamu ya 6 aliyekurithi huyu hapa
Kola kona ni maumivu tupuNdiyo faida ya kuwa nchi yenye wananchi mafala. Viongozi wanatumbua na wananchi wanakamuliwa! Tutakiona cha mtema kuni kama hatutakuwa wakali.
Upo sahihi kabisa mkuuTunaposema CCM ni chama haramu na akipaswi kushika hatamu ya uongozi karne hi basi tueleweke.
This is satanic influence
Sasa nyumba yote inavuja hakuna mahali pa kukimbilia kujificha tena.. bado miaka minne, tutafanya ukarabati
Kazi iendeleee.! Kwa sauti ya yezebel