[emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu!Waendelee kuimba tu mama huyooo mamaa [emoji119]
Huko nako tunakuja mwezi December.. Tozo ya kuhamisha pesaHatuhamishi pesa ng'ooo, tutakua tunaenda kufanya deposit bank au tunaandika cheque
Waambieni mama D na Jumbe Brown masiempre wawaombee poo, labda watasikilizwa
Endelea kusubiri Kama Kuna siku utaambiwa na serikali kuwa tozo flani ni za kulipia madeniHalijasemwa hivyo! Wamesema ni tozo za uzalendo kwa ajili ya maendeleo yetu ila sio michango ya kulipa madeni
Tulifutiwa au niseme tulisamehewa madeni ya kimataifa wakati wa Kikwete. Madeni ya nchi masikini za Afrika yalifutwa enzi zile kampeni za "Debt relief".Sawa mzee baba ila kwanini hawakusema na miaka yote madeni yalilipwa na nini mbona hatukuona hizi bill zama za Mkapa, Kikwete wala Magufuli
Ndege utakuja kuona yake zitakapototoa, wacha zimalize kulalia kwanza.Habari wakuu,
Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda kwa Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema.
Kwanini Serikali wasingetumia pesa za kununulia ndege zisizozalisha na gharama za kufanya royal tour kufanya yote wanayotaka kufanya. Ni muda wa kufikiria kupunguza matumizi badala ya kututoza kodi mara mbilimbili kuongeza mapato kufanya matumizi yasiyo na kipaumbele au umuhimu.
View attachment 1927435
Nyingine hii[emoji2][emoji116]View attachment 1929180
Hatupoi mwaka huu,Nyingine hii
Dear Customer, Effective Sept 8th 2021 the solidarity levy will be applicable on Banking transactions via Mobile and will continue to apply on Mobile Money tran
Jamaa anaroho mbaya mno[emoji3525]Mwigulu Nchemba acha uhuni jamaa angu
Nahisi tozo ya 'kukojoa' itafuata... na nyingine zitafuata kama ifuatavyo:Hatupoi mwaka huu,
Wamiliki wa gesti wameletewa tozo ya kitanda.
Ndo tunaelekea uko, hawataki tupumueNahisi tozo ya 'kukojoa' itafuata...
Kilaza sana, halafu anajiita daktari wa uchumiJamaa anaroho mbaya mno[emoji3525]