greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Sasa unaongelea Mamelodi iliyopo Pretoria katika ambayo ipo zaidi latitude 25⁰ kusini. Yani ndiyo nchi yenye baridi zaidi Afrika kama haukuwa na taarifa.Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Tena hilo jiji la Pretoria lina altitude ya 1300 mita, unashangaa mechi kuchezeka mchana.wao Kuna kipindi usiku joto huwa hadi -5⁰C.
Nenda Mbeya uone watu wanavyovaa sweta saa 7 mchana na kuota jua, na hapo joto ni 16⁰C.
Tuache kulalama, tuwekeze kwenye mpira.