TPA: Serikali haijaipa DP World Kandarasi ya undeshaji Bandari ya Dar es Salaam kwa Miaka 100
Ilikuwa hivi

Ni katika Vita ya Viet nam baada ya Rambo kumpiga risasi mpiganaji mvietnam ambaye ni mwenyeji wa vietnam

ndipo akashtukia ndege za kivita Zina pita juu ya misitu mizito ambayo ndani yake alikuwa amejificha Rambo. Huku akifanya unyama mzito kwa wapiganaji wa kiviet nam walio kuwa wanaipigania inchi yao

akiwa chinja Kama wanyama na kuwa tegea mitego mizito wapiganaji hao pasipo mtu yoyote kujua

Madege ya kivita yaliendelea ku landa landa juu ya misitu hiyo huku vikosi vya miguu vikija kwa Kasi kuelekea eneo alipo kuwa amesimama commander huyu baada ya kuskia mlio wa risasi

Na ndipo Rambo alipo gundua kwamba alifanya makosa makubwa kupiga risasi kwa kwa adui yule bila kuitumia sound proof

Basi kwatahadhali kubwa Rambo aliiangalia bunduki yake aliyo kuwa ameishikilia kwa mikono miwili

huku akiwa amejificha kwenye kichaka kizito Cha miiba msituni humo huku akiwa kachuchumaa

Na kuamua kuishikilia kwa mkono mmoja wa kuria

Kisha akaelekeza mkono wake wa kushoto kwenye mfuko wake wa nyuma na kuichomoa bullet sound proof

Kisha taratiibu na kwa tafadhari kubwa akaifunga bullet sound proof

mbele ya bunduki yake ndogo tayari kwa kupiga maadui zake bila kusikika milio mikubwa ya risasi

Lakini kwa sababu vikosi vilikuwa vingi Rambo aliamua kutumia mitego ili kuwa punguza Kwani hakuwa na risasi za kutosha

Unajua kilicho fuata? Ni ukimya baada ya sekeseke zito kutokea msituni humo
 
Hivi sasa ndiyo TICTS ilibinafsishwa kwa hasara wakati wa Mkapa.

Mama anaokoa jahazi linalozama. Kaongea na wajomba zake Dubai huko, huelewi kuwa damu nzito kuliko maji?
Kama inavyosema iyo article 23 (4)
20230607_103314.jpg
 
Muda wote idara za serikali na serikali yenyewe ,ikisema jambo nikama vile wanaomba kura hivi

Tusubirie chadema watoe tamko
 
Tarehe 5 Juni 2023, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilitoa Taarifa kwa Umma kuhusu mwaliko wa Wadau wote kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge la mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania a Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023.

Kufuatia Taarifa hiyo kwa Umma iliyotolewa kupitia tovuti ya Bunge, kumekuwa na upotoshaji katika mitandao ya kijamii kwamba "Serikali imepanga kuipa kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai kandarasi ya undeshaji wa shughuli za Bandari ya Dar es Salaam kwa muda wa miaka mia moja (100)".

Kufuatia kusambaa kwa taarifa hizo, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inapenda kuwajulisha Wateja, Wadau wa Kitaifa a Kimataifa na Umma kwa jumla kwamba, taarifa hizo sio sahihi, ni upotoshaji unaofanywa kwa makusudi na watu wenye nia ovu ya kukwamisha mipango thabiti ya Nchi katika kuongeza ufanisi wa Sekta ya Bandari Nchini kwa maslahi mapana ya Taifa.

Taarifa sahihi ni kuwa, Azimio la Bunge linahusu Mkataba ambao Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaingia na Serikali ya Dubai wenye ukomo wa miezi kumi na mbili (12) kwa ajili ya kutoa nafasi kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujadiliana na Serikali ya Dubai kuhusu maeneo ambayo Serikali hizo mbili zinaweza kushirikiana katika boreshaji na endelezaji wa Sekta ya Bandari Nchini Tanzania.

Ushirikiano wa Nchi mbili za Dubai a Tanzania una lengo la kongeza ufanisi wa huduma za Bandari Nchini, kukuza ajira za Watanzania na kufungua fursa za kiuchumi na kijamii kupitia uwekezaji kwenye baadhi ya maeneo ya Bandari ya Dares Salaam, maeneo huru ya kiuchumi na viwanda (Special Economic and Industrial Zones) kwa kujenga viwanda pamoja na uwekezaji katika mnyororo mzima wa usafirishaji kutoka Bandari za Tanzania kwenda chi za jirani ambazo zinatumia Bandari zetu.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inawaomba Wateja, Wadau na Umma kutambua kwamba, jitihada zote na hatua zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuvutia wekezaji Nchini hususan kwenye maeneo ya Banadari, zinalenga kumaliza changamoto za muda mrefu ikiwemo ucheleweshwaji wa meli, mizigo na kukosekana kwa ufanisi katika Bandari zetu.

View attachment 2648437View attachment 2648438

Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Msiwapige wananchi chenga. Kwani anayelaumiwa ni bandari ya dar es salaam au serikali? Tulitegemea jibu toka waziri sio bandari.
 
hawa DP World ni kampuni ya kimataifa iliyofanikiwa kiuendeshaji imewekeza Dunia nzima na kuna wakati walitaka kuwekeza Kwenye bandari za USA.
Waarabu wanamiliki hisa kadhaa Kwenye hii kampuni lakini kuna hisa zinazomilikiwa na wazungu wa ulaya na USA.
Waendeshaji wa kampuni ni wazungu na wana weledi mkubwa wa biashara ya Usafirishaji wa kimataifa .
Ni mategemeo sasa bandari itaendeshwa kwa weledi na kuvutia wateja wengi na kuipita bandari ya mombasa .
Sasahivi Baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakitumia bandari ya mombasa sababu kuna ubabaishaji mwingi Kwenye bandari ya Daressalaam
 
hawa DP World ni kampuni ya kimataifa iliyofanikiwa kiuendeshaji imewekeza Dunia nzima na kuna wakati walitaka kuwekeza Kwenye bandari za USA.
Waarabu wanamiliki hisa kadhaa Kwenye hii kampuni lakini kuna hisa zinazomilikiwa na wazungu wa ulaya na USA.
Waendeshaji wa kampuni ni wazungu na wana weledi mkubwa wa biashara ya Usafirishaji wa kimataifa .
Ni mategemeo sasa bandari itaendeshwa kwa weledi na kuvutia wateja wengi na kuipita bandari ya mombasa .
Sasahivi Baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakitumia bandari ya mombasa sababu kuna ubabaishaji mwingi Kwenye bandari ya Daressalaam
Unajua hao DP World Wana scandal ya kukwepa Kodi, mfano Djibouti wana kesi nao wanataka kuvunja mkataba
 
Tarehe 5 Juni 2023, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilitoa Taarifa kwa Umma kuhusu mwaliko wa Wadau wote kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge la mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania a Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023.

Kufuatia Taarifa hiyo kwa Umma iliyotolewa kupitia tovuti ya Bunge, kumekuwa na upotoshaji katika mitandao ya kijamii kwamba "Serikali imepanga kuipa kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai kandarasi ya undeshaji wa shughuli za Bandari ya Dar es Salaam kwa muda wa miaka mia moja (100)".

Kufuatia kusambaa kwa taarifa hizo, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inapenda kuwajulisha Wateja, Wadau wa Kitaifa a Kimataifa na Umma kwa jumla kwamba, taarifa hizo sio sahihi, ni upotoshaji unaofanywa kwa makusudi na watu wenye nia ovu ya kukwamisha mipango thabiti ya Nchi katika kuongeza ufanisi wa Sekta ya Bandari Nchini kwa maslahi mapana ya Taifa.

Taarifa sahihi ni kuwa, Azimio la Bunge linahusu Mkataba ambao Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaingia na Serikali ya Dubai wenye ukomo wa miezi kumi na mbili (12) kwa ajili ya kutoa nafasi kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujadiliana na Serikali ya Dubai kuhusu maeneo ambayo Serikali hizo mbili zinaweza kushirikiana katika boreshaji na endelezaji wa Sekta ya Bandari Nchini Tanzania.

Ushirikiano wa Nchi mbili za Dubai a Tanzania una lengo la kongeza ufanisi wa huduma za Bandari Nchini, kukuza ajira za Watanzania na kufungua fursa za kiuchumi na kijamii kupitia uwekezaji kwenye baadhi ya maeneo ya Bandari ya Dares Salaam, maeneo huru ya kiuchumi na viwanda (Special Economic and Industrial Zones) kwa kujenga viwanda pamoja na uwekezaji katika mnyororo mzima wa usafirishaji kutoka Bandari za Tanzania kwenda chi za jirani ambazo zinatumia Bandari zetu.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inawaomba Wateja, Wadau na Umma kutambua kwamba, jitihada zote na hatua zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuvutia wekezaji Nchini hususan kwenye maeneo ya Banadari, zinalenga kumaliza changamoto za muda mrefu ikiwemo ucheleweshwaji wa meli, mizigo na kukosekana kwa ufanisi katika Bandari zetu.

View attachment 2648437View attachment 2648438

Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
The ownership of various US ports by DP World (which had been acquired as part of the P&O deal) was seen as highly controversial by many in the United States even though it was supported by the US president George W. Bush; the US ports were sold shortly afterwards.

P&O operated major US port facilities in New York, New Jersey, Philadelphia, Baltimore, New Orleans, and Miami. Before the deal was secured, the arrangement was reviewed by the Committee on Foreign Investment in the United States headed by the US Treasury Department and including the Departments of State, Commerce, and Homeland Security. It was given the green light, but soon after, both Democratic and Republican members of Congress expressed concern over the potential negative impact the deal would have on port security.

On 22 February 2006, President George W. Bush threatened to veto any legislation passed by Congress to block the deal, which would be the first time in his presidency he would exercise the privilege. In a statement to reporters, Bush claimed, "It would send a terrible signal to friends and allies not to let this transaction go through."[7] On 23 February 2006, DP World volunteered to postpone its takeover of significant operations at the seaports and on 9 March 2006, is said that it would transfer its operations of American ports to a "US entity".[8]

The United States House of Representatives held a vote on 16 March 2006 on legislation that would have blocked the DP World deal, with 348 members voting for blocking the deal, and 71 voting against.[9] DP World later sold P&O's American operations to American International Group's asset management division, Global Investment Group for an undisclosed sum.[10]

In August 2006, DP World signed an agreement with the Port Qasim Authority, to invest in a new container terminal at Port Muhammad Qasim near Karachi and announced that it was in discussions with the Pakistani Government about the development of a container terminal at Gwadar in Balochistan.[11] DP World had been favourite to win the Gwadar concession, but withdrew from the bidding.[12] Gwadar Port was subsequently awarded to PSA (Port of Singapore Authority) and opened in March 2007.[13]
 
Ila ufanisi hasi wa TPA na uteuzi/tengua/tumbua unaweza kushawishi ubinafsishaji!
The Real Dubai Ports Scandal

1 Apr 2008 — Today's Times has a story by Eric Lipton about how this same Dubai and the wider polity to which it belongs, the United Arab Emirates, cannot be ...




View attachment 2649006
The Guardian
https://www.theguardian.com › mar
DP World's controversial history of P&O ownership | P&O Ferries

18 Mar 2022 — When Dubai Ports Ltd first bought up the ports and ships of P&O 16 years ago, the question that preoccupied a country reeling from the
 

PUUZENI TAARIFA ZA BANDARI KUUZWA MIAKA 100 (PUUZENI UPOTOSHAJI UNAOSAMBAZWA KUWA BANDARI YA DAR ES SALAAM IMEUZWA)

Kilichotolewa ni tangazo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutaka maoni ya wadau kuhusu azimio la Bunge la kuridhia mapendekezo ya Serikali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa kiuchumi na kijamii unaolenga uendeshaji na uboreshaji wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Na ni ushirikiano wa miezi 12.

NA SIO KUIPATIA KAMPUNI YA DP WORLD (Dubai World) BANDARI YA DAR ES SALAAM KWA MIAKA 100, AMA KUUZWA KWA BANDARI KWA MIAKA 100 KAMA WAPOTOSHAJI WANAVYODAI.

Wapuuzeni, Serikali ipo makini kulinda maslahi ya nchi na chochote kitakachofanyika, kitafanyika kwa uwazi na mtajulishwa.

Taarifa kwa umma kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) ikitolea ufafanuzi taarifa zilizoenea mtandaoni kuhusu bandari ya Dar es Salaam kuuzwa kwa miaka 100 kwa kampuni ya DP WORLD (Dubai World) ya Dubai.

"Taarifa hizo ni za uongo na upotoshaji zenye lengo la kukwamisha mipango thabiti ya nchi katika kuongeza ufanisi wa sekta ya bandari kwa maslahi mapana ya Taifa" Imeeleza sehemu ya taarifa hiyo kutoka TPA
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-06-07 at 17.14.35.mp4
    22 MB
  • FyAm1nDWcAEneN0.jpg
    FyAm1nDWcAEneN0.jpg
    351.1 KB · Views: 2
  • FyAm1_9XoAIaagv.jpg
    FyAm1_9XoAIaagv.jpg
    197.7 KB · Views: 2
hawa DP World ni kampuni ya kimataifa iliyofanikiwa kiuendeshaji imewekeza Dunia nzima na kuna wakati walitaka kuwekeza Kwenye bandari za USA.
Waarabu wanamiliki hisa kadhaa Kwenye hii kampuni lakini kuna hisa zinazomilikiwa na wazungu wa ulaya na USA.
Waendeshaji wa kampuni ni wazungu na wana weledi mkubwa wa biashara ya Usafirishaji wa kimataifa .
Ni mategemeo sasa bandari itaendeshwa kwa weledi na kuvutia wateja wengi na kuipita bandari ya mombasa .
Sasahivi Baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakitumia bandari ya mombasa sababu kuna ubabaishaji mwingi Kwenye bandari ya Daressalaam
Wabongo wanakuja na mawazo ya kuibiwa, kwamba wao ni matajiri sana na hivyo walinde cha kwao, bull shit.
 
Back
Top Bottom