Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TPA anakanusha kama Nani?? Ile Document sio ya TPA ni ya BUNGE
Utakuta hata ye mwenyewe hajui, labda swali lako ulielekeze kwa mwenye rimoti!.Samia atoke huko aliko aje atuambie Kwa nini anauza ikulu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utakuta hata ye mwenyewe hajui, labda swali lako ulielekeze kwa mwenye rimoti!.
Hata wakati Loliondo inauzwa, WALIANZA KWA KUKANA..
Wameshaanza kuhaha na sasa wanataka kupotosha ili mpango wao ufanikiwe. Nimeona Press release ya TPA wao wanadai kuwa Mkataba ni wa miezi 12 kuwasaidia kuindesha bandari .... sasa kama ni kweli kulikuwa na haja gani ya kupeleka hiyo issue Bungeni na kutafuta maoni ya watu!!?TPA anakanusha kama Nani?? Ile Document sio ya TPA ni ya BUNGE
Ukute unakaa kwa Shemeji yako,muda huu unasubiria Dada wa kazi akuite kula Ugali wa mchana
HIvi wee Ng'ombe Idugunde unapotosha kwa manufaa ya nani yako?
Mkuu naomba soft copy yake niuchambue
Aione Lucas mwashambwaSamia atoke huko aliko aje atuambie Kwa nini anauza ikulu
Ni Wapumbavu sana sanaWameshaanza kuhaha na sasa wanataka kupotosha ili mpango wao ufanikiwe. Nimeona Press release ya TPA wao wanadai kuwa Mkataba ni wa miezi 12 kuwasaidia kuindesha bandari .... sasa kama ni kweli kulikuwa na haja gani ya kupeleka hiyo issue Bungeni na kutafuta maoni ya watu!!?
Hivi sasa ndiyo TICTS ilibinafsishwa kwa hasara wakati wa Mkapa.Kama kweli hamjabinafisha barikiweni