TPDC yaingia mkataba na Kampuni ya Uingereza ya Baker Botts kwa ajili ya ushauri wa Kisheria

TPDC yaingia mkataba na Kampuni ya Uingereza ya Baker Botts kwa ajili ya ushauri wa Kisheria

Makamba hafai kwa lolote serikalini, asiuhadaa umma wa watanzania. Hakuna kitu kitabadilika chini yake zaidi ya kuongezeka kwa matatizo. Acha aendelee kuuficha ukweli ila muda utaweka bayana ndipo huyo aliyembeba atamtua kwa uzito atakao mpa.
Bado tunaye sana...

2030 anachukuwa fomu alafu Riz anakuwa mgombea mwenza, mzee wa Mtama anakuwa PM au Foreign Affairs.

Akipitishwa mwingine kugombea nfs ya mshika usukani basi atafundwa amchukuwe Riz kama mgombea mwenza ili mbele ya sfr mshika usukani anatengenezewa mazingira magumu yasiyovumilika serikalini na chamani ili ajiengue mwenyewe ili riz akaimu nfs kwa mujibu wa Katiba na hapo tayari ndoto zitakuwa zimetia kama za Karume Dynasty na Mwinyi Dynasty.

All in all nfs 3 za mshika usukani, PM na Foreign Affairs 2031... lazima zitacheza kwa hao wa3 tu.

Political Barometer (utabiri wa kisiasa siyo jinai)
Mungu ukifika mwezi wa tatu, fanya kama mwaka jana.
Nani sasa this time?

Mtakuwa nchi ya aina gani hiyo duniani?

Hilo roho limeishatambikiwa limeenda one-off.

Hahahaaa.... mkuu, you have made my day.
 
Si tuliambiwa negotiations zitakiwa under kabudi le profee. Lkn pia wizara nzimaya nishati haina wataalam wa ushauri?
 
Kwa jinsi nilivyokuwa namwona Waziri Makamba niliona ni mtu mwenye uwezo sana na 'visionary'.. 'unfortunately
I was mistaken..'
Bado tunaingia mikataba ya ajabu ajabu.. Anaweka marafiki kwenye mashirika ya kimkakati kama Tanesco, anaacha baadhi ya Wakurugenzi wenye asili ya 'Malawi' kuliendesha TPDC n.k.
 
Profesa Kabudi ni mtaalamu wa negotiations
Mtaalam wa negotiations aliyesomea na hata kwenye wasifu wake ipo ni Prof. Luoga Governor, tena ana mastery (ubobezi) ya sheria za kimataifa za fedha, biashara na mikataba. Kabudi ni mbobezi wa sheria za kawaida tu, ila ana ujasiri kuzidi simba dume kwenye kukabili mabeberu, alafu anaogopa kama ukoma senti tano ya serikali, sifa ambazo Watz wengi hawana. Kwenye usafi wa maadili namlinganisha Kabudi na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa Tz Mhe. Lameck Mfalila.
 
Kwa jinsi nilivyokuwa namwona Waziri Makamba niliona ni mtu mwenye uwezo sana na 'visionary'.. 'unfortunately
I was mistaken..'
Bado tunaingia mikataba ya ajabu ajabu.. Anaweka marafiki kwenye mashirika ya kimkakati kama Tanesco, anaacha baadhi ya Wakurugenzi wenye asili ya 'Malawi' kuliendesha TPDC n.k.
Labda mama amemtega Makamba ajimalize kwa mafuta yake mwenyewe ili 2030 apoteze sifa. Mama mjanja yule, teuzi zake zingine siyo ulaji au ujiko bali zinaweza kuwa za kimkakati kuelekea 2030 ili wahusika waogelee tabia zao kama nguruwe anavyoogelea kwenye kinyesi chake na matapishi yake akisubiria uje umuogeshe kumbe asijuwe kinachofuata ni nyundo, kisu na maji ya moto.
 
Kwa jinsi nilivyokuwa namwona Waziri Makamba niliona ni mtu mwenye uwezo sana na 'visionary'.. 'unfortunately
I was mistaken..'
Bado tunaingia mikataba ya ajabu ajabu.. Anaweka marafiki kwenye mashirika ya kimkakati kama Tanesco, anaacha baadhi ya Wakurugenzi wenye asili ya 'Malawi' kuliendesha TPDC n.k.
Umeandika vizuri lakini ulipoweka tuu wenye asili ya malawi nikajua na wewe ni kopo tuu kama Makamba
 
Mkuu acha kwanza 'vetting' zifanyike na mamlaka husika ili mbivu na mbichi zijulikane..
Mkuu mimi kinachonipa shida ni kwamba sioni uaminifu wa Makamba kwa mama sawa na kiapo chake, yaani kuna wateule wengine ambao wameteuliwa na Oligarchy, majina yao kutangazwa na KM na mama kupewa tu jukumu la kuwaapisha.

Maana yake ni kwamba wanawezakuwa loyal kwa wateuzi wao kuliko kwa Supervisor wao mama (insubordination). Hapo ndipo Deep State inapozaliwa!
 
Mkuu mimi kinachonipa shida ni kwamba sioni uaminifu wa Makamba kwa mama sawa na kiapo chake, yaani kuna wateule wengine ambao wameteuliwa na Oligarchy, majina yao kutangazwa na KM na mama kupewa tu jukumu la kuwaapisha.

Maana yake ni kwamba wanawezakuwa loyal kwa wateuzi wao kuliko kwa Supervisor wao mama (insubordination). Hapo ndipo Deep State inapozaliwa!
Mkuu umenena vyema.. Makamba angeweza kufanya vizuri katika Wizara zisizokuwa 'Ministries of interest'.. Kwa Wizara hii baadhi ya 'Walezi ' wake kisiasa wanaihemea sana Wizara hii na ndiyo yenye mlango mkubwa wa 'grand corruption'.. Ndiyo maana katika Wizara hii anaonekana
'too weak to shine'..
 
Mkuu mimi kinachonipa shida ni kwamba sioni uaminifu wa Makamba kwa mama sawa na kiapo chake, yaani kuna wateule wengine ambao wameteuliwa na Oligarchy, majina yao kutangazwa na KM na mama kupewa tu jukumu la kuwaapisha.

Maana yake ni kwamba wanawezakuwa loyal kwa wateuzi wao kuliko kwa Supervisor wao mama (insubordination). Hapo ndipo Deep State inapozaliwa!
Hii inafanya nione watu kama rais wa mawe, riz, Mtama Jr, mzee wa Bumbuli wakiwa wamewahishwa kukalia kuti kavu mapema ya 2030 bila wao kujuwa.
 
Kuna mahali tulikosea sana kama nchi maana si kwa mapigo haya tunayopigwa mkuu. Inafika level unaona kama uko ndotoni hv lakini ndiyo hali halisi.
Hapa ndipo pale ambapo kila mtu alikuwa anapalilia kufika, nadhani wale waliokuwa wanataka asifike mwisho ndani ya mioyo yao najua wanatubu although in rael life they cant open their mouth to kuongea, namkumbuka jamaa yangu mmoja ambaye now anabadirika taratibu ahahahaaaaa!.

👉Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
 
Mkuu umenena vyema.. Makamba angeweza kufanya vizuri katika Wizara zisizokuwa 'Ministries of interest'.. Kwa Wizara hii baadhi ya 'Walezi ' wake kisiasa wanaihemea sana Wizara hii na ndiyo yenye mlango mkubwa wa 'grand corruption'.. Ndiyo maana katika Wizara hii anaonekana
'too weak to shine'..
Hahahaaa... Ministries of Interest. Umetumia Linguistic Intelligence kutupatia new terminology. Ila umeongea vitu empirical, nadhani intellectuals watakuelewa mkuu.
 
Hakuna mtu pale, tuvumilie tu maana unaweza kufa mapema bure, ukifuatilia Mambo ya nchi hii!! Hata hivyo wanakula kulingana na urefu wa kamba zao. Hakuna namna
 
Ndio haya tunayopigia kelele kila siku kuna wataalamu wa mikataba ya mafuta huko serikalini wamewaka stance based na uelewa wao.

Anaingia raisi analazimisha majadaliano ikibidi nchi iondoe bargaining chip zake ilimaradi asifiwe na wapuuzi kama hakina Zitto ambao uwezo wa kuelewa hiyo mikataba unaishia kwenye kelele za local content wakati negotiations za mradi wenyewe ni very complicated.

Matokeo yake kuharakisha mikataba wizara anapewa mtu kama January he is only a good leader kama angekuwa anashirikiana na technocrats wa wizara na taasisi zake. Yeye ana marafiki zake wanaoandika ujinga huko Twitter na analysis za upuuzi anadhani wanajua mambo na kufuata ushauri ndio tunaishia kuelekea huku tunapokwenda.

Lini Tanzania iliwahi shinda kesi nje ya nchi kwa kutumia mawakili wa kigeni; kesi ya ndege S.A tulishinda wenyewe kwengine kote chali.

Huyu mtu anatakiwa kutolewa hapo nishati hiyo wizara ni so sensitive for national security kupewa mtu ambae mpaka sasa ameshadhihirisha ni wa ovyo and clueless yeye na team yake.


Anatolewaje wakati anapeleka mgao
 
Back
Top Bottom