Real time monitoring inafanyikia wapi hivi unafahamu nishati, hasa ya umeme ilivyo sensitive kwenye maswala ya national security.
Ndugu ata huko mamtoni kwenye wazalishaji binafsi serikali kuwamudu kuna strategy za kuwakagua kupitia regulator sikia tu, maana kuna watu washaanza kulilia TANESCO igawanye wakati usimamizi wa inventory ya mafuta ya kupikia tu kwetu shida, tunataka kuchezea sensitive areas za usalama wa nchi.
Pamoja na nchi tajiri kuachia private firms kuzalisha umeme; ikifika kwenye swala kusimamia national grid ni la serikali.
TANESCO na ukubwa wake unaenda tengeneza GIS electrical system inayofanya real time monitoring ya power supply Tanzania halafu control ipo India.
You people are not serious, tusione watu wanafanya vitu huko kwa wenzetu tukachukulia poa wana system zao ambazo zimewekewa ringfenced with national security in mind.
Kama ni admin system ya kawaida sidhani kama inahitaji real time monitoring.