TPDF ranks position 27 in the World!

jazba hazi saidii kukutoa ujinga ulionao kichwani acha upumbavu kubali uelimishwe hata kama ni kuruta umetumwa kuja kutetea waambie kazi ya jeshi sio kujisifu mitandaoni,kazi yao nikushiriki katika shughuli za ujenzi wataifa,ulinzi na mengine mengi yanayofanananao sio kuja hapa kujisifu wanaongoza kwa sijui duniani kuvunja matofali wakati unao jaribu kushindananao wanarusha vyombo sayari ingine
 
Yaani DRC imeizidi Tanzania wakati Rwanda tu waliwapiga vibaya
 
Huyo jamaa anajifanya anaipenda jw, hatuambii Sudan jinsi wanavyofanywa na janjawiri
 
Sijakupata vizuri,

Lkn pia utii na uaminifu ndiyo nguzo muhimu sana za jeshi. Mfano Nigeria ina zana za kisasa kabisa lkn wakawakimbia wanamgambo wa boko haram.
Ni kweli mkuu,hata kdf walienda na vifaru pale westgate,wakaishia kuiba biskuti na juice,ubora unahitaji utiifu kwa 100%,sio zana peke yake
 
Nchi zingine zinarusha vyombo kwenda kwenye sayari zingine je wewe umetengeneza hata ka chombo ka kwenda juu ya paa la nyumba? Wewe unalaumu serikali imekufanyia nini badala ya kujilaumu wewe kuwa hujafanya lolote!!?
 
twende kwa vijana wa kenyatta
Boss, get your facts right....Only the first two pics are of the KDF and Administration police respectively. The other two are not of Kenyan forces. Probably Ugandan.
 
Nina kuunga mkono kabisa, Africa bado tuko kwenye kiza! Sometimes ndiyo maana hata bara lenyewe linaitwa giza maneno mengi sana ila hakuna Lolote. Kuna wengine wanapima jeshi kwa kupasua matofali something funny. Tuna uongozi mbaya sana, Viongozi wa wa Africa vigeu geu, warafi sijui huwa wanawaza nini pamoja na mirasmali iliyopo Africa, nasikia kizungu zangu kabisa!
 
Nchi zingine zinarusha vyombo kwenda kwenye sayari zingine je wewe umetengeneza hata ka chombo ka kwenda juu ya paa la nyumba? Wewe unalaumu serikali imekufanyia nini badala ya kujilaumu wewe kuwa hujafanya lolote!!?
pumbavu wewe mimi nimlipa kodi halali ndomana na ilaumu serikali
 
pumbavu wewe mimi nimlipa kodi halali ndomana na ilaumu serikali
Unalipa kodi wapi. Akili finyu sana wewe. Nimekuuliza wewe umetengeneza hata kifaa cha kurusha kwenda kwenye paa la nyumba?

Halafu unakuja na kutoa povu hapa kuhusu kulipa kodi. Kulipa kodi ni wajibu wa kila raia.
Na ni wajibu wa raia kufanya kazi kwa nguvu na kuvumbua vitu tofauti tofauti.


Wewe hapo ulipo umevumbua kitu gani? Au akili zako zimebebwa na mtu mwingine!!?
 
jinga kabisa nilimvumbua mamako
 
jinga kabisa nilimvumbua mamako
Sasa swala la Mama yangu limetokea wapi. Kama sio wewe ni bwabwa!!?

Wewe ni zuzu kiwango cha PHD. Huna ujualo zaidi ya kutoa ufyuzi na uharo mdomoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…