Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Level yenu ni Mashujaa, usijilinganishe na aliyekuacha point 20Mkuu umeona mechi ya leo mlivyoanzisha mpira mlifanya nini au mtatudanganya mnafanya vile kuathiri psychology ya wapinzani?
.
All in all simba ndiyo timu bora zaidi Tanzania round hii ya pili yanga ikikutana na simba itakuwa ni kiama na tuta dedicate magoli yote kwa marehemu mafisango mutesa Patrick.
Sent using Jamii Forums mobile app