DOKEZO TRA fanyeni kazi zenu ipasavyo, Wahindi na Wachina wanalichezea taifa hili

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ningekushauri uanzishe biashara ufanye alafu uone wewe ungefanyaje!

Lakini kitu usichokifanya huwezi kukielewa na kukitolea maelezo
Hmn mkuu nakuheshimu Sana kwa mabandiko yako mazuri ila swala la wizi wa mali za umma Tena kwa wageni hpn wanatakiwa kulipa Kodi haswaa Kama ingekuwa nimezama ktk duka lako wew unipe risiti ya kutembeleaa bas nisingelalamika kihivyo kwa kuwaa wee Ni mbongo mwezangu tu na pesa hzo zitazunguka hap Happ ndani tuwakamate wahind na wachina tuwafikishe mahakamani haraka Sana
 
Imasikitisha lakini inafikirisha,anachofanya mhindi siyo poa,lakini kiongozi wa serikali anaposema kila mtu ale kufuatana na urefu wa kamba na aangalie asivimbiwe na vilevile anawasihi wateule wake wasigombanie safari,unajua kwanini wanaambiwa wasigombaniwe,aisee nchi inaliwa ndugu.
 
Definition ya Mzalendo please?
Leo siyo somo la uzalendo so tukeeme ujinga na wiz wa mali za umma zinazofanywa na wageni baadhi kwa kuwa ukienda china hkn mambo hayo ya ujanja ujanja
 
Definition ya Mzalendo please?
Au kwako inakuwa ni Uzalendo ni kujiibia lakini Jamii nyingine isiibe? Sheria zipo wazi KOSA ni KOSA tu kwa sote tulio chini ya Sheria.
 
Kauli hyo tusiitafsiri vibaya tuone tu kuwa hakumaanisha hvyo Wala kulamb asali Ni tatizo hapna mkuu Kodi zilipwe
 
Nin kifanyike mkuu wangu
 
Sasa hio kodi unayo Lilia kwamba tunapigwa una uhakika hao wanaokusanya wangeipeleka kwenye maendeleo? Kijana shukuru MUNGU lipa apo bila risit ukale nyama na wanao wewe una uchungu na kodi ambayo anaenda kula mwigulu nchinga
 
Kwahiyo tuwasaidie kukwepa kodi sababu zinaliwa huko juu ?
Kwani hawa wafanya biashara wanalipa kodi au ni wakala tu wa kukusanya kodi na kuwasilisha TRA.Mimi nafikiri mlipa kodi ni mnunuzi ndiyo maana kuna bei mbili tofauti za "bila risiti" na "pamoja na risiti"

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Na kuna wachina pia wako mikocheni wanajiita Hiview international co ltd,hawa wanauza matairi ya magari ya kichina.na wenyewe ukienda pale kwao wanakuuliza live kabisa kama unataka bei ya risiti au isiyo na risiti.
Mpaka unajiuliza inakuwaje nchi yetu inachezewa na hawa wageni kiasi hiki?
 
Nyerer amemzukumu Nani sijui unaongea nn na uko wapi na unafanya nn
 
zinazofanywa na wageni
Hao Wahindi ni Generation ya tano wako hapa na kwa taarifa yako neno "DUKA" tumefundishwa na Wahindi acha chuki zisizoleta tija kwenye Jamii iliyostaarabika.
 
Sasa hio kodi unayo Lilia kwamba tunapigwa una uhakika hao wanaokusanya wangeipeleka kwenye maendeleo? Kijana shukuru MUNGU lipa apo bila risit ukale nyama na wanao wewe una uchungu na kodi ambayo anaenda kula mwigulu nchinga
Sawa mkuu mm napenda nyama kweli hata hvyo nimenunua kwa Bei ya pungufu sna na nikatembeee na mzigo wangu mpk bunju hakuna aliyeoji risiti iko wapi ila swala la kuibiwa Kodi Tena na tra Hilo halipo kbsa kuiba wataiba ila s kwa kiwangi hcho kikubwa na uzuri wakiiba zinabakia hapa ndani
 
Wewe ulipaswa kuangalia kati ya 180k na 230k ipi inakufaa zaidi, kama unaona kulipa kodi ambayo inaenda kulipa madeni ya wala urojo Zenji trillion 10 kila mwaka ni sawa, basi lipa hiyo 230k
Mkuuu huna ushaidi taifa hili Ni duni Kodi zilipwe jmn mm binafi nimechukuwa kwa Bei ya pungufu ila siajapenda walai mm wakupewa risiti ya elf 50 mm kwa Mali ya 230000
 
Kauli hyo tusiitafsiri vibaya tuone tu kuwa hakumaanisha hvyo Wala kulamb asali Ni tatizo hapna mkuu Kodi zilipwe
kodi zilipwe ipasavyo na pesa zinazokusanywa zionekane zikifanya kazi,inauma sana mkuu wa serikali akitoa maneno ambayo yanawasisimua wapigaji na kuwanyong'onyeza wale wasiokua na access na pesa zinazokusanywa,siyo fair.
Kukiwa unequal distribution ya national cake,uzalendo hufifia kwa wale wasiokula.
Ndiyo maana leo hii ikitokea nchi yetu inapigana na nchi nyingine,usistaajabu kuona wananchi wa Tanzania hawajitoi kama kipindi cha vita ya Kagera,kwasababu wanaokula na wanaonwa ni wengi na haohao ndiyo wajitoe kikamilifu kupigana Na siyo mtu apigane ili mwingine ale atakavyo.
 
Hao nawajua, hiyo ndiyo michezo yao ya kila siku.kariakoo nzima wanajulikana.huwa tunawaita shamba la bibi.boss wao ni jamaa flani tulikua nae superdoll anaitwa Katambi sijui kama bado yuko nao mpaka leo.
 
Kwahiyo sisi tuibe ila akiiba Mtanzania mwenye Asili ya Malawi au ya Kihindi inakuwa NONGWA sio?

Kwa hiyo tunakuwa Wabaguzi hadi kwenye Wizi kuwa nani aibe nani asiibe?[emoji848]
Ni vyema mtz aibie taifa kuliko mgeni muda siyo mrefu naanika uuozo wote wa jamaa wale na ushaihid juu nitakwenda mahakamani kulalamikia yaani
 

Naweza kudai risti baada ya manunuzi kama ntaona kabisa kwamba hiyo hela inayopatikana inakwenda kupunguza matatizo yangu ama inakwenda kuliwa tu hovyo hovyo na wengine.

Jibu nitakalopata ndilo litanifanya nidai risiti ama niachane nayo ili nipate punguzo. Ukitaka kupata dawa ya hii tatizo unaanzia mbali mno tangu namna viongozi wanavyopatikana ambao wanakwenda kutupangia bajeti baada ya mimi kulipa kodi.

Kama sijaridhika na hilo zoezi basi pia sintaridhika na wapanga bajeti hence sioni haya ya kulipa kodi endapo nitapata mwanya wa kukwepa.
 
Ni vyema mtz aibie taifa kuliko mgeni muda siyo mrefu naanika uuozo wote wa jamaa wale na ushaihid juu nitakwenda mahakamani kulalamikia yaani
Time Wasting, TRA hawatoki kwenye Sayari ya Mars kila sehemu wapo na wanaona.

Na Mtanzania kuliibia Taifa lako ni KOSA Kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…