Hmn mkuu nakuheshimu Sana kwa mabandiko yako mazuri ila swala la wizi wa mali za umma Tena kwa wageni hpn wanatakiwa kulipa Kodi haswaa Kama ingekuwa nimezama ktk duka lako wew unipe risiti ya kutembeleaa bas nisingelalamika kihivyo kwa kuwaa wee Ni mbongo mwezangu tu na pesa hzo zitazunguka hap Happ ndani tuwakamate wahind na wachina tuwafikishe mahakamani haraka SanaNingekushauri uanzishe biashara ufanye alafu uone wewe ungefanyaje!
Lakini kitu usichokifanya huwezi kukielewa na kukitolea maelezo
Au kwako inakuwa ni Uzalendo ni kujiibia lakini Jamii nyingine isiibe? Sheria zipo wazi KOSA ni KOSA tu kwa sote tulio chini ya Sheria.Definition ya Mzalendo please?
Kauli hyo tusiitafsiri vibaya tuone tu kuwa hakumaanisha hvyo Wala kulamb asali Ni tatizo hapna mkuu Kodi zilipweImasikitisha lakini inafikirisha,anachofanya mhindi siyo poa,lakini kiongozi wa serikali anaposema kila mtu ale kufuatana na urefu wa kamba na aangalie asivimbiwe na vilevile anawasihi wateule wake wasigombanie safari,unajua kwanini wanaambiwa wasigombaniwe,aisee nchi inaliwa ndugu.
Nin kifanyike mkuu wanguMfumo wa kukusanya KODI Tanzania ni mbaya ni si muafaka kwa biashara za kisasa kuanzia uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi mpaka ufanyaji wa biashara husika.
Kuanzia biashara za jumla mpaka za rejareja na uchuuzaji.
Kwenye uzalishaji na hata utoaji wa huduma.
Kote huko mfumo wa kukusanya kodi si muafaka kabisa na unazo loopholes nyingi ambazo zinatoa manufaa kwa mlipakodi kukwepa au kulipa pungufu na zinatoa manufaa binafsi kwa Zakayo mkusanya kodi kutajirika zaidi.
Ndio maana hawakubali kufanya marekebisho au kuleta mfumo muafaka kwa kuwa kuna watu wanafaidika.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kwani hawa wafanya biashara wanalipa kodi au ni wakala tu wa kukusanya kodi na kuwasilisha TRA.Mimi nafikiri mlipa kodi ni mnunuzi ndiyo maana kuna bei mbili tofauti za "bila risiti" na "pamoja na risiti"Kwahiyo tuwasaidie kukwepa kodi sababu zinaliwa huko juu ?
Nyerer amemzukumu Nani sijui unaongea nn na uko wapi na unafanya nnWakati wewe unawaza Ngono wao huwa wanakula Pilipili nyingi ili kupunguza hamu ya tendo la Ndoa ili akae Dukani au Kiwandani kutafuta pesa.
Nyerere aliwazulumu kila kitu Nyumba na Magari na kuwafanya masikini wa kutupa ila Wazanaki bado Masikini lakini Wahindi wamerudi na leo tunashukuru ndio walipakodi wakubwa hapa Nchini.
Mungu mkubwa huwezi kuzulumu ukabaki salama.
Hao Wahindi ni Generation ya tano wako hapa na kwa taarifa yako neno "DUKA" tumefundishwa na Wahindi acha chuki zisizoleta tija kwenye Jamii iliyostaarabika.zinazofanywa na wageni
Sawa mkuu mm napenda nyama kweli hata hvyo nimenunua kwa Bei ya pungufu sna na nikatembeee na mzigo wangu mpk bunju hakuna aliyeoji risiti iko wapi ila swala la kuibiwa Kodi Tena na tra Hilo halipo kbsa kuiba wataiba ila s kwa kiwangi hcho kikubwa na uzuri wakiiba zinabakia hapa ndaniSasa hio kodi unayo Lilia kwamba tunapigwa una uhakika hao wanaokusanya wangeipeleka kwenye maendeleo? Kijana shukuru MUNGU lipa apo bila risit ukale nyama na wanao wewe una uchungu na kodi ambayo anaenda kula mwigulu nchinga
Mkuuu huna ushaidi taifa hili Ni duni Kodi zilipwe jmn mm binafi nimechukuwa kwa Bei ya pungufu ila siajapenda walai mm wakupewa risiti ya elf 50 mm kwa Mali ya 230000Wewe ulipaswa kuangalia kati ya 180k na 230k ipi inakufaa zaidi, kama unaona kulipa kodi ambayo inaenda kulipa madeni ya wala urojo Zenji trillion 10 kila mwaka ni sawa, basi lipa hiyo 230k
Labda tutumie Mashine za Kisukuma zinazoitwa "Lufindo" ili kuleta tija zaidi katika ukusanyaji.Mfumo wa kukusanya KODI Tanzania ni mbaya
kodi zilipwe ipasavyo na pesa zinazokusanywa zionekane zikifanya kazi,inauma sana mkuu wa serikali akitoa maneno ambayo yanawasisimua wapigaji na kuwanyong'onyeza wale wasiokua na access na pesa zinazokusanywa,siyo fair.Kauli hyo tusiitafsiri vibaya tuone tu kuwa hakumaanisha hvyo Wala kulamb asali Ni tatizo hapna mkuu Kodi zilipwe
Hao nawajua, hiyo ndiyo michezo yao ya kila siku.kariakoo nzima wanajulikana.huwa tunawaita shamba la bibi.boss wao ni jamaa flani tulikua nae superdoll anaitwa Katambi sijui kama bado yuko nao mpaka leo.Na kuna wachina pia wako mikocheni wanajiita Hiview international co ltd,hawa wanauza matairi ya magari ya kichina.na wenyewe ukienda pale kwao wanakuuliza live kabisa kama unataka bei ya risiti au isiyo na risiti.
Mpaka unajiuliza inakuwaje nchi yetu inachezewa na hawa wageni kiasi hiki?
Ni vyema mtz aibie taifa kuliko mgeni muda siyo mrefu naanika uuozo wote wa jamaa wale na ushaihid juu nitakwenda mahakamani kulalamikia yaaniKwahiyo sisi tuibe ila akiiba Mtanzania mwenye Asili ya Malawi au ya Kihindi inakuwa NONGWA sio?
Kwa hiyo tunakuwa Wabaguzi hadi kwenye Wizi kuwa nani aibe nani asiibe?[emoji848]
Habari za muda,
Nimeenda Kariakoo kuchukua spare fln ya gari nikafika pale mitaa ya fire nikauliza Bei akasema Bei ya spare hyo Ni 230000 lkn bila risti ataniuzia kwa 180000 mbya Zaid naona wanaongea billa kupepeza macho Wal kuongea kwa chini chini alisema kwa lafudhi ya kihindi " hey rfk hyo nitapatia wee kwa 180000 bila risiti na Kama unataka risiti nitakukatia ya elfu 50 sawaaa alisikika muhindi akiniambia maneno hayo bila kupepeza macho na pale kulikuepo na wateja wengi wamejazana dirishani
Wakt naongea na muhindi nikasika Tena dad ake na huyu muhind akimuambia mteja kifaha unachotaka nitakupa kwa laki tano bila risiti full mbaya Zaid wanaongea kwa saut kubwa sana.
Sas najiuliza mbona tunachezewa hivi na vyombo vipo na mamlaka zipo inamaana hawajuui kinachoendelea kariakoo kweli Kama mmeshindwa kazi kwanini msinipe hyo kazi niweze kuwa identify kila moja na tuwafikishe mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi.
The same kwa wachina Ni wakwepa Kodi maarufu sna Hapa nnchini na mamlaka zipo na vyomb vipo tutaendelea kuchezewa hadi lini na Hawa wageni?
Imebakia kidg sna nimzabe makofi muhindi yule kwa hasira zangu huku mimi nikilimwa matozo mengi wkt Kuna wapuuzi kadhaa hawalipi Kodi na Wal hawafikishwi mahakamani.
TRA Kama mmeshindwa Kaz bas mtupishe tufanye mmepewa dhamana kusimamia na kukusanya Kodi ila mpo tu mnawaza maposho na Kaz hamafanyi.
Hili taifa ni majanga kwa kweli tunaliwa sna na watu wanaokuja kujifanya wawekezaji.
Time Wasting, TRA hawatoki kwenye Sayari ya Mars kila sehemu wapo na wanaona.Ni vyema mtz aibie taifa kuliko mgeni muda siyo mrefu naanika uuozo wote wa jamaa wale na ushaihid juu nitakwenda mahakamani kulalamikia yaani