TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

Sijui hauelewi wapi kwenye mfano wako huo wa IST umenunua 5 milioni na ushuru milioni 5, halagu umekuja kuzungumzia Legacy B4 CIF 12 milioni ushuru wake 24 milioni inamaana hujaona tofauti au? Mara mia hio legacy B4 ingekua 12milion ikaeleweka kwamba ushuru ni bei uliyonunua gari jumla ikawa 24 milioni unachoshangaa kwenye Jetta ndo hicho hicho kipo kwenye Legacy tatizo lipo kubwa sana wasiojua magari wanafanya valuation ya magari...
 
We bwege si ndo ulikuwa unalialia humu ndani upewe kazi usalama wa taifa miaka ya 2010?[emoji23][emoji23][emoji23] kiaz kweli ww
Puumbavu zako, lini uliona natafuta kazi humu? Kuwa dereva wa magari ya serikali tayari unajiona unajua kila kitu? Shenzy
 
Dongo jinga sana hilo, kufanya kazi ya kuendesha magari ya Serikali basi anajiona kama nayey amekuwa kigogo fulani huko.
 
Puumbavu zako, lini uliona natafuta kazi humu? Kuwa dereva wa magari ya serikali tayari unajiona unajua kila kitu? Shenzy
Mm sio dereva ila kuna nyuzi zako nishawah kuzisoma ulikuwa unalilia sana hiyo kaz
 
Ndi hivyo mkuu... Kodi kwa maendeleo ya taifa! Ukiwa nchi maskini hizi inabidi kukubali tu maana haiwezekani ununue gari halafu ulipie mpaka kodi ya kujenga SGR na hapo bado msharara unapigwa kodi ya hatari, na hiyo gari bado utaenda kuipiga kwenye mashimo/mahandaki barabarani
 

Mkuu ibaneza a.k.a La pulga, umeongea point ya maana. Mwenye uelewa na huruma atakubaliana na wewe mkuu. Tunamuomba Raisi wetu atupunguzie atutolee hata nusu ya ushuru tunaotozwa ili sisi tusio na uwezo tuweze kumiliki magari. Hao wabunge hawana huruma wala imani yanajali matumbo yao.
 
Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
TRA hawaangalii bei ya gari uliyonunulia. Wanaangalie bei kwenye internet. Hata kama wewe ulipata kwa bei poa wao wanafanya kitu inaitwa "purchase price uplift" ili utoe kodi nyingi zaidi.

TRA ni waonevu sana kwenye suala la kuingiza magari, simply crooks
 
Siku mkipata akili ya kuacha kutetea upuuzi wa CCM na kuifurusha madarakani, ndio utakuwa mwanzo wa kupata maendeleo ya kweli badala ya hayo ya kuoneshwa picha za madaraja na akina Msigwa wa Ikulu.
Hakuna guarantee ya kupatikana hayo maendeleo kwa kuifurusha CCM pekee.

Baada ya kuifurusha CCM then unamuweka nani?

MwanaCCM aliyeenda CHADEMA kusaka madaraka dakika za majeruhi na genge lake?

Maendeleo hayatakuja automatically kama ushuzi tu kisa CCM imetoka,na hapa ndipo mnapodanganyana.
 
Unaweza ku appeal Kama una karatasi halali za ununuzi wa gari. Tax base wanayoitumia tra ndio inafanya Bei kuwa kubwa so Kama Bei ya gari yaani invoice price plus freight Ni ndogo kuliko tax base waliyotumia kwenye kikokotozi unanafasi ya kuappleal

Tatizo ili appeal lazima ulipe kodi yote!
 
Low tax rates on necessities and higher rates on luxuries.

Unga hauna kodi, madawa hayana kodi, elimu haina kodi, bidhaa za kilimo hazina kodi, etc zote zinafidiwa na kodi kubwa kwenye bidhaa za luxury ikiwemo magari ambayo yanatumiwa kama private luxury vehicles.
 
Ila ukinunua gari za kazi kama fuso, etc kodi haifiki mara mbili ya cif.
 
Serikali inahimiza watu watembee kwa miguu ili kupambana na magonjwa yasiyo ambukiza!
 
Kwa wakati huu.
Gari sio luxury hata kidogo.
 
Magari ya kazi kama ya mizigo ama abiria etc ni public necessity. Magari haya tunayonunua kujirahisishia usafiri binafsi sio personal necessity wala public necessity mana jiulize kila mtu akiwa nalo yatapita wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…