TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

Pole mkuu lakini Kama ilo gari ni miaka ya 1999 lazima iwe ivyo maana Kodi ya uchakavu inclusive

Hii ya uchakavu ni kichekesho sana, mbona uchakavu wa imports za misaada hulipiwi kodi, ukiitafakari shida zetu na hasa umasikini wa akili inauma sana, barabara mbovu, pesa shida, usafiri shida, mwananchi anajitegemea kwa asilimia 90 matumizi yake, hivi Africa imefikia hadhi ya kudai kodi ya uchakavu kweli? When we import more than export itoshe kufahamu tuna shida zaidi ya hao wa ng'ambo, ni aibu sana kudai hii kodi na ni ukoloni uliojaa kejeli
 
Lengo ni kuleta unafuu kwa mwananchi wa kawaida.
Serikali ikiendelea kutafsiri umiliki wa gari ni anasa,hapo imemnyima mwananchi fursa ya unafuu wa maisha.
Inaonekana,wataalamu wanaogopa kusema ukweli,kuwa ukipunguza idadi na viwango vya kodi katika uingizaji magari nchini,magari yataingia kwa wingi na Serikali itapata kodi na tozo nyingi katika ununuzi wa mafuta.(Waliondoa tozo ya 'Road licence' kutozwa kwenye magari na piki piki,na sasa Serikali inapata zaidi katika ununuzi wa mafuta bila ya mwenye chombo cha moto kuona kero!!!).

Ujasiri,na ubunifu na uelewa wa watoa maamuzi wameshindwa kufahamu kuwa 'Ruhusu wananchi wamiliki magari kwa wingi,ili upate kodi kubwa wakati wananunua 'Petrol au Dizeli'

Visingizio kuwa hatuna barabara,na kutafsiri gar sio muhimu ,dhana hii imeendelea kukwamisha vichocheo vya maendeleo,na kumfanya mwananchi kujitafutia maendeleo binafsi.

Dhana ya gari kuwa anasa ni uchawi, ni mbadala wa akili ya mkoloni kuhusu elimu na technology enzi hizo mpaka leo, kiongozi gani wa umma ambaye hatembelei gari la umma at our expense we the tax payers? Look at wabunge they use cars that they wouldn't use/buy if they weren't wabunge most of them, government officials as well, TRA individuals hao wapumbavu wanamiliki magari multiples at our expense. Mtoto anatambaa eti kisa ni mchawi akiruka na ungo nae anaona yuko sawa na wanaotembea na kukimbia.
 
Maelezo yako yanaturudisha pale pale, ushuru wa gari bongo ni mkubwa mno kuliko gharama ya gari lenyewe.

Safi mkuu akili kubwa sana, Kuna kisa kimoja jamaa akiwa anaendesha gari alivofika kwenye roundabout nae akaamua afanye roundabout kwenye hiyo roundabout na ndio ikawa Safari yake.
 
Wanafanya hivyo ku-avoid tanzania kuwa dumping place

Dumping place!! really? kwa hadhi ipi tuliyonayo hivi hayo magari na usafi wetu wa miji na kaya kipi ni uchafu? Mungu atusaidie tuokoke kiakili, sarcastic, mental masterbation kwa Africa ni vimbwanga. Tujitafakari kwa hili.
 
Sio kweli,narudi hapa na ushahidi wa kumvua mtu nguo
Twende kwa mifano dhahiri Legacy BM9 2010 na VW Jetta ya 2010...tena kwa VW jamaa wa valuation ni wavivu kiasi kwamba kwa VW zote wameweka flat rate kuanzia VW Jetta, Golf, Touran etc CIF wameweka ni $9000
 

Attachments

  • Screenshot_20200615-084146_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20200615-084146_Samsung Internet.jpg
    131.6 KB · Views: 14
  • Screenshot_20200615-084105_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20200615-084105_Samsung Internet.jpg
    158.9 KB · Views: 10
  • Screenshot_20200615-084027_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20200615-084027_Samsung Internet.jpg
    164 KB · Views: 13
  • Screenshot_20200615-083920_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20200615-083920_Samsung Internet.jpg
    119 KB · Views: 13
Umasikini wa kufikiri wa wafanya maamuzi wetu. Kwa nini serekale isijenge hiyo miundombinu mingi ili namna za kiuchumi nazo zitanuke!? Maisha ya leo, gari sio anasa tena ni kifaa muhimu katika utafutaji wa kipato.
 
Nchi kama South Africa ndio inatakiwa kuwa na kile mnachokiita "protectionism" maana wao wanazalisha magari yao hata kwa under licencing. Sasa sisi hadi toothpicks tunaagiza China.
 
Sio kweli,umeongea kishabiki sana. Hakuna gari la million 15 lenye ushuru wa million 60.

Kikawaida yaan layman ushuru huwa sawa na CIF,mfano kama gari ni million 5 bas we andaa tu million 5 ya ushuru

Usiongee usichokijua mkuu, mimi nimeagiza gari nje bei under 20milioni, ushuru wake sawa na new model kwa hapa bongo. Sasa sijajua unabisha nini. Raisi kama raisi angetoa amri viongozi wote kwanzia mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa n.k kuingiza gari walipie ushuru kama tunavyolipia sisi wananchi kwa hela ileile kama haitawauma, naamini ingewaumiza sana na kupelekea kuliongelea bungeni. Lakini kwakuwa wanaingiza magari yao free bila kulipia unadhani atakufikiria wewe, si ndio anafurahia kukunyonya 😡😡 watu wa sampuli hiyo pepo wataisikia tu, na jehanam itawahusu.
 
Usiongee usichokijua mkuu, mimi nimeagiza gari nje bei under 20milioni, ushuru wake sawa na new model kwa hapa bongo. Sasa sijajua unabisha nini. Raisi kama raisi angetoa amri viongozi wote kwanzia mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa n.k kuingiza gari walipie ushuru kama tunavyolipia sisi wananchi kwa hela ileile kama haitawauma, naamini ingewaumiza sana na kupelekea kuliongelea bungeni. Lakini kwakuwa wanaingiza magari yao free bila kulipia unadhani atakufikiria wewe, si ndio anafurahia kukunyonya [emoji35][emoji35] watu wa sampuli hiyo pepo wataisikia tu, na jehanam itawahusu.
Nnachobisha ni ushuru kuwa Mara NNE ya CIF,kama wewe ulinunua million 20 means ulilipa ushuru wa million 80 na hivyo jumla ya gharama kamili za gari kuwa milioni 100
 
Hii ishu nakumbuka last week nlikua namwagizia mshkaji vits ya mwaka 2003. Yaan gar inatoka kule mpaka inaingia bongo ni dola 1700. Ila huku ushuru wake ni milion 4 na upuuz mpka unajiuliza kisa nin kutufanyia hvi.
Hizi wanazofanya ni dhambi ....na hapa sijui sheria ya kodi inasemaje? Au serikali gari wameona ni kitu cha anasa sana kiasi kwamba inaonekana ni kosa mtu wa kawaida kumiliki gari? Kwanini kukomoana hivi?
Halafu Juzi hapa nimesikia kumbe wabunge hupata msamaa wa kodi za. Magari wakiagiza! Yaani Huko kiongozi anayevuna laki tatu kwa siku ndiyo anasamehewa wewe masikini unaedundulizwa ndio unapigwa nyundo!
Ifikie pahala wa tz tujifunze riot
 
Twende kwa mifano dhahiri Legacy BM9 2010 na VW Jetta ya 2010...tena kwa VW jamaa wa valuation ni wavivu kiasi kwamba kwa VW zote wameweka flat rate kuanzia VW Jetta, Golf, Touran etc CIF wameweka ni $9000
Nikuulize swali? Unavoagiza ist ya 2002-2005 kwa million 5 halafu unakuja kulipa million 5 ushuru na hapo kwenye hyo legacy B4 cif 12m na ushuru 24m kuna tofaut gani?

Hapo kwenye hicho kijetta hata me nna mashaka nacho kwa gari kama hyo tena ya 2010 ambayo inathamani kuliko ist iuzwe million 6 bei sawa na ist ya 2003..something must be wrong somewhere
 
walioweka sheria kipindi hicho walijua gari ni anasa kumbe wakati huu gari si anasa ni kichocheo cha uchumi kupitia kodi za mafuta itakayotumia
 
Nnachobisha ni ushuru kuwa Mara NNE ya CIF,kama wewe ulinunua million 20 means ulilipa ushuru wa million 80 na hivyo jumla ya gharama kamili za gari kuwa milioni 100
Aliyesema Mara nne ni nani? Wengi wanaolalamika ni ushuru kuzidi gharama za gari inaweza kufika sometimes Mara mbili au tatu hizo ni kodi za kukomoana mzee sio fair
 
Karibuni TZ,ndo mnajua leo!?

Ukiona watu na magari yao njiani waheshimu
 
Decision makers wa nchi hii ndo wanafanya maisha yawe magumu kuliko hali halisi.

Magari yakiwa mengi nchini serikali itafaidika maradufu kuliko kukaba kwenye hiyo kodi ya kuagiza tu ambayo imekwamisha watu wengi tu kumiliki magari ya ndoto zao.

Kuna sekta kibao tu zingekua ikiwa pamoja na ajira kuongezeka.
Siku mkipata akili ya kuacha kutetea upuuzi wa CCM na kuifurusha madarakani, ndio utakuwa mwanzo wa kupata maendeleo ya kweli badala ya hayo ya kuoneshwa picha za madaraja na akina Msigwa wa Ikulu.
 
Sio kweli,umeongea kishabiki sana. Hakuna gari la million 15 lenye ushuru wa million 60.

Kikawaida yaan layman ushuru huwa sawa na CIF,mfano kama gari ni million 5 bas we andaa tu million 5 ya ushuru
Dogo usijifanye mjuaji sana utadhani wewe ndio Makonda katika nchi hii, gari za bei na ushuru wa namna hiyo zipo nyingi tu. Kwa kukusaidia tu tafuta gharama ya Prado ya mwaka 2019, halafu urudi hapa.
 
Dogo usijifanye mjuaji sana utadhani wewe ndio Makonda katika nchi hii, gari za bei na ushuru wa namna hiyo zipo nyingi tu. Kwa kukusaidia tu tafuta gharama ya Prado ya mwaka 2019, halafu urudi hapa.
We bwege si ndo ulikuwa unalialia humu ndani upewe kazi usalama wa taifa miaka ya 2010?[emoji23][emoji23][emoji23] kiaz kweli ww
 
Back
Top Bottom