Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Gari ambazo ni mtori ni zile za bei ya chini ya 7.5m!Mkuu huogopi kuuziwa mbuzi kwenye gunia?, maana ndo tatizo kubwa ambalo wengi wanalikimbia kununua magari bongo
Utakuta labda namba ni ya miaka kibao nyuma. Which means imetembea sana bongo na ishapitia sana mafundi.
Ila ukinunua gari ya usajili December last year au usajili wa February mwaka huu ambazo zinauzwa 8-9m kwa sasa kwa zile economical kama RAUM, IST, VitZ n.k huwezi kuta gari ni mbovu. Labda anaekuuzia awe ni mtu asiyejua nini maana ya gari na hela zake ni za kuunga unga.
Cha muhimu ujue gari.