TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

Sio kweli,umeongea kishabiki sana. Hakuna gari la million 15 lenye ushuru wa million 60.

Kikawaida yaan layman ushuru huwa sawa na CIF,mfano kama gari ni million 5 bas we andaa tu million 5 ya ushuru
Twende kwa vitendo naweza kupata gari kwa usd10000 kikotoo cha depreciation cha tra kikalazimisha ni 12590usd hiyo ndo itakuwa cif na ndo base ya kodi inapolala sasa kwanini isifike milioni 60?
 
Twende kwa vitendo naweza kupata gari kwa usd10000 kikotoo cha depreciation cha tra kikalazimisha ni 12590usd hiyo ndo itakuwa cif na ndo base ya kodi inapolala sasa kwanini isifike milioni 60?
Niatajie aina ya gari na mwaka,nitakuambia cif yake halafu na kodi yake tuone kama bei itakuwa ni million 15 halafu kodi ikaja million 60.

Me nakomaa na hapo hapo milioni 15 kwa 60,yaan kodi iwe Mara NNE ya CIF.
 
Hoja dhaifu kabisa Tanzania nchi changa bado tunahitaji nondo kwa ujenzi wa miundombinu so hayo magari yakichoka kabisa tunayeyusha kupata nondo
Yale mameli mabovu yaliyokuwa yamerundika feri pale miaka ya 90's hadi yakawa machaka ya vibaka, hivi sasa yote yameliwa na wafanyabiashara wa vyuma chakavu. Hata yale magari yaliyopata ajali na kushindwa kukarabatiwa. Kwa hiyo hoja ya "dumping place" ya huyo jamaa uliyemjibu ni kweli haina mashiko kwa sasa.
 
Kuna viwanda vingapi vya kuyeyusha magari skrepa kuwa nondo ?
Acha kuchekesha mdau, unaposikia vyuma vya alama za barabarani na madaraja vinaibwa unadhani vibapelekwa wapi!? Hiyo ni biashara kubwa kabisa duniani. Hakuna siku chuma chakavu kikakosa soko.
 
Niatajie aina ya gari na mwaka,nitakuambia cif yake halafu na kodi yake tuone kama bei itakuwa ni million 15 halafu kodi ikaja million 60.

Me nakomaa na hapo hapo milioni 15 kwa 60,yaan kodi iwe Mara NNE ya CIF.
Mkuu hebu niwekee rate ya depreciation ya tra kama unaifahamu make hata kwenye website yao haipo ndo hapo wanapoanza kuwapiga watu kwa overate cif. Site ya tra utakutana na import duty 25% excise on cc 10% excise on age 30% na vat 20% hutaona rate ya depreciation wanakuvizia gari ifike wakubambike rate ya kukuumiza, pia hapohapo kumbuka kodi nayo tena inatozwa kodi
 
Ndio maana nchi haisongi mbele kila kitu kipo juu, makodi sijui nini, pump attendant nao wanalazimishwa kulipia vitambulisho vya wamachinga...aise mbona ni balaa, mtu unaishi kwa mawazo 😀
 
Ila huwa nikifikiria hapa naonaga hamna haja ya kujenga viwanda vya magari maana serikali inapata hela ndefu kuliko hata walio tengeneza yani..[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
 
Sio kweli,umeongea kishabiki sana. Hakuna gari la million 15 lenye ushuru wa million 60.

Kikawaida yaan layman ushuru huwa sawa na CIF,mfano kama gari ni million 5 bas we andaa tu million 5 ya ushuru
Siyo magari yote ushuru utakua sawa na bei ya kununulia gari.

Kuna mfano umetolewa wa Subaru Legacy BM9, ushuru umeenda zaid ya mara 4 ya ile pesa ya kununulia gari,
Na mengine mengi.
 
Hapo ndipo mnakoseaga kila sehemu mnaingiza michadema na miccm yenu. Ushawahi ona Mbunge Wa upinzani anatetea hili? Wote ni wachumia tumbo tu kwa taarifa yako hawakuwazii wewe,wanawawazia mademu zao,familia zao tu. Wewe wanakutumia kama mtaji Wa kufanikisha azma yao
Yah! Wabunge wa ccm!!!! Wao ni kama tu mbuzi,wapo zaidi ya 300 huko bungeni,wa chadema wamebaki sijui 6? Sasa wataamua nini ikiwa hayo manguruwe yameshaamua?
 
Mhh bongo kuna makanjanja sana...sisi watu wengi weusi sio waaminifu.
Unataka kuaminisha umma kuwa bound na yard zoote zilizopo Tanzania yanapouzwa magari ni kanjanja au una maana yako mwenyewe..?
 
Yupo hapahapa TZ lakini haelewi hata bajeti ya serikali.
 
Siyo magari yote ushuru utakua sawa na bei ya kununulia gari.

Kuna mfano umetolewa wa Subaru Legacy BM9, ushuru umeenda zaid ya mara 4 ya ile pesa ya kununulia gari,
Na mengine mengi.
Sio kweli,narudi hapa na ushahidi wa kumvua mtu nguo
 
Ni bora uagize gari lako hilo kwa kupitia mawakala wa Zambia mkuu.
 
Back
Top Bottom