TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

Uchawa utalicost taifa. Tuache dharau na kufumbia macho uvunjifu wa sheria jamani. Hili liwe kama somo kwa serikali kwamba wananchi nao wakiamua kukiwasha inawezekana kabisa kutekeleza majukumu ya kiaskari ambao wanaonekana kushindwa kudhibiti vitendo vya hovyo haswa vikifanywa na mamlaka nyengine za serikali.
 
Big Tarimo kakamatwa mtaani ambako hamna movement ya watu. We unadhani ingekuwa kwenye macho ya watu wangeweza kumfanyia yale bila kudhibitiwa. Mbona wale wa Mwanza walidhibitiwa na raia hadi mkuu wa kituo alipofika kwenye scene.
 
Watumishi wa serikali mnapotumwa kutekeleza majukumu yenu mjitahidi kuchanganya na akili zenu kuepuka kuhatarisha maisha yenu hasa ambao hawavai uniform Kama polisi.Sasa wewe unakamata mtu usiku saatano umevaa kiraia ukizingatia na masuala ya utekaji yalivyozidi inategemea Nini?Ingekuwa mchana angalau kunauwezekano yasingetokea hayo.Ukitumwa changanya na za kwako in kikwete's voice.
 
Hao raia wenye hasira Kali walikua wapi wakati wa mzee Kibao, big Tarimo, Nondo nk waliotekwa kweupe kabisa huku wakiomba msaada? Wanaua watu wanaojua fika sio watekaji huu ni upumbavu wa mitanganyika.
Kira zama na ukurasa wake........ hata hao wengine ipo siku yao........MWENYEZI MUNGU KAWAPA NAFASI YA KUJITAFAKARI...........wasipo rekebisha hilo siku yao yaja........... hata mvua dalili huwa ni mawingu.........na siku ya kufa nyani miti yote hutereza sasa waache waendelee kufanya utumbo wa kutekana waone..............nguvu ya umma haijawai kushindwa hapa duniani toka dunia iumbwe
 
Big Tarimo kakamatwa mtaani ambako hamna movement ya watu. We unadhani ingekuwa kwenye macho ya watu wangeweza kumfanyia yale bila kudhibitiwa. Mbona wale wa Mwanza walidhibitiwa na raia hadi mkuu wa kituo alipofika kwenye scene.

Watu wapo pale wanaangalia au hujaona Ile video?

Nondo juzi katekwa 6am stendi ya Magufuli huku akiomba msaada alisaidiwa na nani?
 
Kule ilibidi wote waishe akiongozwa na "I hate death" , abakie Kishimba, Mpina na Kasheku tu.
 
Samia ni chaguo na mpango wa Mungu, haters mtavukwa na shanga zenu Bure.
 
Kweli hawa ndiyo watakaoangushiwa jumba bovu lakini itakuwa ni kwa mkono wa dhulma maana hapo kila mtu alipiga na siyo wote walioinua mkono kumpiga!
Eeh hapo ili Polisi kujikosha wataenda kuwanyamata maafisa usafirishaji kadhaa ili waonekane hawajashindwa kazi😂 kwa wenye akili hiko kijiwe sio cha kukaa tena. Ni kuhamia location tofauti.
 
Kweli hawa ndiyo watakaoangushiwa jumba bovu lakini itakuwa ni kwa mkono wa dhulma maana hapo kila mtu alipiga na siyo wote walioinua mkono kumpiga!
Eeh hapo ili Polisi kujikosha wataenda kuwanyamata maafisa usafirishaji kadhaa ili waonekane hawajashindwa kazi😂 kwa wenye akili hiko kijiwe sio cha kukaa tena. Ni kuhamia location tofauti.
 
Taratibu watu watajenga ujasiri. Bado ndio mwanzo tu. Ila yajayo yatawafurahisha
 
Shenz type na mjinga ni wewe ambaye uneshindwa kuelewa kuwa TRA ilikosea sana ,kufanya ukamataji nyakati za usiku na kubwa zaidi kushindwa kusoma alama za nyakati.

Hili iwe alart kwa serikali!!
 
wao hawakupaswa kumvizia mt kwa stail ya watekaji, watz wangeamin vp kam n TRA? wakt mtaan kunamatukio ya kikatili yanaendlea? polen familia ila nadhan watz tmeanz kuamka sasa
Mbaya zaidi wamekula dress code za wasiojulikana. Maana kapero na tshirt ndio code hatari sana katika matukio ya ambush.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…