TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

Wananchi wamechoka na huu utekaji. Ona sasa kijana wa watu ameuwawa bure kwasababu wa wapuuz wanaoteka raia. Rais inabidi achukue notes apa achukue hatua
 
Ndiyo walewale, wangefanikiwa kumteka huyo mmiliki wa X6 ungesikia ni wasiojulikana. Muuaji kauawa so it's all well and good, people are bloody tired with these murderers.
Hiyo spin mliyokuja nayo eti ni TRA employee you know what? I don't buy that shit, go and tell it to the birds.
NB: Operation za TRA zinapaswa kuwa na escort ya polisi waliovaa sare rasmi, ndiyo sheria ilivyo otherwise ni yaleyale majambazi AKA wasiojulikana.
Na iwe angalau mchana basi. Tatizo vyombo vyote vya serikali vya Tanzania vinafanya kazi kwa kutumia ubabe na kuvizia. Na ukichunguza sana, hawa hata kama ni TRA wa kweli utakuta walikuwa wanafukizia deal ili wahongwe wapate fedha za kutumia weekend.
 
Hii ni kusudi tu

Watekaji wanajulikana ila wakija kila mtu anaufyata mfano yule Bonge alipiga kelele hakuna aliyejitokeza, kwa kibao hakuna aliejitokeza

Kwa Nondo tena kweupe kabisa hakuna aliethubutu hata kufungua mdomo

Leo hii mnajua kabisa hawa ni tra mnaamua kuwakomesha

Sasa rungu liwafikie wote waliohusika

Maana wanaokuja na bangili mkiwaona mnakaa kimya, hawa tofauti mnajifanya vifua mbele

Shenz type
Sio kweli,kama wangejua kuwa wale ni TRA wasingefanya kitendo kile.
Mi nadhani wananchi wameanza kujihami na matukio ya utekaji unaopelekea watu wanaumizwa na kuuwawa ama kupotezwa kabisa.
Hawajui ni nani yuko nyuma ya hili.
 
Hao mbons rahisi ytuu....basi tuu tunajichelewesha wenyewe
Mkuu ingekuwa rahisi Kama unavyosema wangeshakamatwa na wangeacha siku nyingi. Ila kwa sababu Yana baraka ya wanaopanga nani aishi na nani tumuuwe ndiyo maana yanaendelea na yataendelea sana. Ila hii njia walioamua raia ndiyo njia sahihi iliyobaki. Misiba ikiwa pande zote mbili za watekwaji na watekaji watakaa kwenye vikao vyao kukubaliana kuacha.
 
View attachment 3170823
=============

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Mlitaka wenyewe afe, jsribuni kusoma hali halisi ya wananchi na matukio, ama mmejifubgia sana kwenye ma AC hamjui kinachoendelea?
 
Mkuu ingekuwa rahisi Kama unavyosema wangeshakamatwa na wangeacha siku nyingi. Ila kwa sababu Yana baraka ya wanaopanga nani aishi na nani tumuuwe ndiyo maana yanaendelea na yataendelea sana. Ila hii njia walioamua raia ndiyo njia sahihi iliyobaki. Misiba ikiwa pande zote mbili za watekwaji na watekaji watakaa kwenye vikao vyao kukubaliana kuacha.
Hili nalo neno....hapa ni mwendo wa jino kwa jino au sio
 
Mkuu ingekuwa rahisi Kama unavyosema wangeshakamatwa na wangeacha siku nyingi. Ila kwa sababu Yana baraka ya wanaopanga nani aishi na nani tumuuwe ndiyo maana yanaendelea na yataendelea sana. Ila hii njia walioamua raia ndiyo njia sahihi iliyobaki. Misiba ikiwa pande zote mbili za watekwaji na watekaji watakaa kwenye vikao vyao kukubaliana kuacha.
Naomba hii comment iwe ya kufungia mwaka 2024. Superb
 
Back
Top Bottom