MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Hii naiunga mkono. Hizi ni initiatives za muda mrefu na mjadala ulishaanza kwenye corridors za wataalam wa kodi toka awamu ya 4.
Waliofanikisha wanastahili pongezi na nishani za kitaifa ( kama zipo kwa raia) maana wataweka msingi wa mfumo wa kukusanya kodi kwenye dunia hii ya teknolojia ya mawasiliano.
Waliofanikisha wanastahili pongezi na nishani za kitaifa ( kama zipo kwa raia) maana wataweka msingi wa mfumo wa kukusanya kodi kwenye dunia hii ya teknolojia ya mawasiliano.