DOKEZO TRA mulikeni hawa Wachina, wanahujumu uchumi wetu. Hawalipi kodi ipasavyo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hii ni NUSU kwa NUSU.[emoji1484]
cc: MWANAKA
 

Attachments

  • IMG_0096.JPG
    218 KB · Views: 5
Ukwepaji kodi na rushwa vipo Dunia nzima. Itakuchukua muda mrefu kuendelea endapo unataka halali.

Binafsi nipo tayari kuchukua risiti ya nusu bei, ili hela inayobaki nifanyie mambo mengine.

Si kila kinachozungumzwa duniani ndicho kinachotendeka. Wanatuhubiri kuwa wazalendo lakini wao wanapiga.
 

hiyo ipo hata ulaya na america.. biashara ili isife lazima ujanja uwepo..

hujui hata makampuni makubwa kama voda, tbl, pwc, tigo, total zinaajiri wataalamu wa kodi ambao wanapewa bonus na mishahara mikubwa wakisaidia kukwepa kodi
 
Wako wapi aisee nina shida ya godoro
 
Ndo uwe unaenda kununua dukani... Unapunguziwa being halafu unaleta unaaa..

Sijapunguziwa bei, ni ‘bei ya kiwandani’ tena ni fixed.... wenyewe wanaita ‘wholesale price’.
 
Kariakoo maduka ya wahindi ya machine na spares huko nako balaa! Nusu bei kitu cha kila siku.
 
we mleta mada yaelekea hujawahi hata kuuza pipi ndo maana umeleta habari kama hii..otherwise ungejua jinsi mazingira ya biashara yalivyo magumu nchi hii usingeandika huu upupu.

Uko sahihi.
 
hiyo ipo hata ulaya na america.. biashara ili isife lazima ujanja uwepo..

hujui hata makampuni makubwa kama voda, tbl, pwc, tigo, total zinaajiri wataalamu wa kodi ambao wanapewa bonus na mishahara mikubwa wakisaidia kukwepa kodi

Kwahiyo haramu ikifanywa na wengi inageuka halali..? [emoji848]
 
Mleta mada ni Muongo sana! We utakua sio mzalendo bali ni mnaa na mnoko tu! Kwanini hukuelekea TRA siku hyo hyo kuripoti na ushahidi ulikuwa nao? Na bado zaidi unakuja kuleta habari nusu humu jamvini!? Nenda Police au TRA.
 
Mleta mada ni Muongo sana! We utakua sio mzalendo bali ni mnaa na mnoko tu! Kwanini hukuelekea TRA siku hyo hyo kuripoti na ushahidi ulikuwa nao? Na bado zaidi unakuja kuleta habari nusu humu jamvini!? Nenda Police au TRA.

Uko sahihi.
Nimeamua kutumia jukwaa hili kutoa dukuduku nikiamini TRA pia wako humu, uongo na unoko wangu uko wapi ndugu nimeweka sehemu ya risiti hapo.... huko police wala sikuwa na lengo la kukukamatisha endelea kuhujumu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…